Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Wakati vijana wameingia mtaani waliitisha mkutano wakasema Rais Ruto asikilize hao vijana wanateseka wanahitaji ajira na mengineyo. Mh Ruto akagoma kusaini akaamua kuwasikiliza.
Hawakurudi kumpongeza Ruto waliitisha tena mkutano wakasisitiza akae nao, Ruto akaagiza anataka kuonana na viongozi wao, Wakajibu hawana viongozi gen z wao wanataka Ruto aondoke.
Mh Ruto akawajibu wasahau hilo na hayo makundi yanayoendelea atayamaliza kwakuwa wanaokutana kwa maandamano kuanzia sasa n wahuni na wezi hawezi vumilia
Leo hii wameitana tena wanaomba vijana waache kuandamana hahah wanaharibu mali za watu na makanisa
Kumbe hawakujua haya madhara ya maandamano yatawagusa pia waakaona ni rahisi
Sasa leo hiii madaktari wa kujitolea wamejitoa wameamua kuachana kabisa na kusaidia majeruhi
Wakati huo video inayoonesha askari akimtishia Daktari baada ya kupewa dose ya tear gas na alipoulizwa na daktari why me akaambiwa hapo hatujaanza kama unabaki endelea kuwepo hapa
Wahuni wa Raila Odinga sasa mjiandae na mazishi, ujinga Ruto hataki tena na tena.
Hawakurudi kumpongeza Ruto waliitisha tena mkutano wakasisitiza akae nao, Ruto akaagiza anataka kuonana na viongozi wao, Wakajibu hawana viongozi gen z wao wanataka Ruto aondoke.
Mh Ruto akawajibu wasahau hilo na hayo makundi yanayoendelea atayamaliza kwakuwa wanaokutana kwa maandamano kuanzia sasa n wahuni na wezi hawezi vumilia
Leo hii wameitana tena wanaomba vijana waache kuandamana hahah wanaharibu mali za watu na makanisa
Kumbe hawakujua haya madhara ya maandamano yatawagusa pia waakaona ni rahisi
Sasa leo hiii madaktari wa kujitolea wamejitoa wameamua kuachana kabisa na kusaidia majeruhi
Wakati huo video inayoonesha askari akimtishia Daktari baada ya kupewa dose ya tear gas na alipoulizwa na daktari why me akaambiwa hapo hatujaanza kama unabaki endelea kuwepo hapa
Wahuni wa Raila Odinga sasa mjiandae na mazishi, ujinga Ruto hataki tena na tena.