Nawashangaa sana viongozi !! Maaskofu na Masheikh...
Wanataka amani gani wakati rasilimali za watanzania zinaibwa kweupe?
Kwani nini hawa viongozi wa dini hawakemei maovu ya serikali??
Kwanza Tanzania hakuna amani, kuna utulivu.
Amani gani mtoto amerudishwa ada shule, mlo mmoja, nyumba za tembe/
Vibaka, wezi,machangudoa na malaya wameongezeka.
Jamani tuwaambia hawa viongozi wa dini
Jamani CCM ni mfumo. Tena mfumo hasa. Ili kuumaliza mfumo wowote, lazima uufumue. Kazi kweli kweli.
Wanaojiita Maaskofu musifikiri ni Maaskofu kweli.
Wengine ni Maustadh walishapandikizwa kuwa Maaskofu miaka mingi tangu wakiwa wadogo. Lengo moja tu. Kuua Ukristu. We know this.
Ulishawahi kusikia kesi za ulawiti katika dini ya Uyahudi?
Hakuna.
Leo tuna mapadri feki (waislamu) walio vaa ngozi za ukasisi, wanalawiti watoto. Tunaambiwa "Padri kabaka mtoto". Wizi mtupu!