Viongozi wa dini, Wanaharakati na wanasiasa itisheni maandamano ya amani kushinikiza upatikanaji wa Katiba Mpya

Viongozi wa dini, Wanaharakati na wanasiasa itisheni maandamano ya amani kushinikiza upatikanaji wa Katiba Mpya

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Sitasema mengi ila eleweni huu si wakati wa kuendelea kutoa matamko bali ni wakati wa kuchukua hatua na hatua mojawapo ni kudai kupatikana kwa katiba mpya.

Nawashauri mkutane na mpange siku ya kuitisha maandamano ya amani kuwataka watawala watupatie katiba mpya.

Maandamano ni haki ya kikatiba na yapo kwa mujibu wa sheria hivyo ni haki yetu na watawala wameapa kulinda Katiba na si vinginevyo.

Matamko hayawezi kuleta mabadiliko tunayoyataka.
 
Back
Top Bottom