Viongozi wa Jeshi, Polisi na usalama wastaafu ruksa kujiunga na upinzani

Viongozi wa Jeshi, Polisi na usalama wastaafu ruksa kujiunga na upinzani

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Viongozi wa Jeshi na Polisi wastaafu ruksa kujiunga na upinzani. Hii itasaida kupunguza wizi wa kura na haki maana nyie ndiye mlikuwa viongozi mnawasaidia kuiba kura.

Sasa mpo mtaani mnaona umuhimu wa katiba nzuri na haki kwa wananchi. Lakini mna jukumu kama raia sasa kuchangia kwenye demokrasia ya nchi yenu. Mlifikiri wanawapenda sasa wamewasahau.

Nendeni upinzani na jumuia tofauti za kudai haki na msikubali kufa mkiwa mnajutia mliofanya na kuwa walevi. Saidieni nchi nendeni kwenye vikao vya majadiliano ya kudai haki hii itasaidia nchi na itafanya udikteka ufikirie mara mbili

Hakuna sheria yoyote inawazuia kuwa wanasiasa na wana harakati. Acheni unyonge na kujifikirisha nyie ni wa chama fulani au lazima mle matapishi yenu
 
Hili ni kosa kubwa upinzani mnafanya kuingiza mapandikizi yanayolipwa pensheni na chama tawala.

Tegemeeni anguko kila mara
 
RIP Imran Kombe
Apson Mwangonda..

Ugua pole Mabere Marando ..


Sec Advisory level 4
 
Hili ni kosa kubwa upinzani mnafanya kuingiza mapandikizi yanayolipwa pensheni na chama tawala.

Tegemeeni anguko kila mara

Mbona CCM kuna Polisi, usalama, na wanajeshi wastaafu. Tofauti ni nini? Yaani wakiwa CCM sawa wakienda upinzani ni tatizo??? Unaongelea anguko gani. Kama unasema CCM wana 100% ya wabunge anguko gani unaliongelea
 
Back
Top Bottom