Viongozi wa jumuiya ya kikiristo Tanzania tatizo la katiba mpya hamlioni?

Viongozi wa jumuiya ya kikiristo Tanzania tatizo la katiba mpya hamlioni?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Naomba kuwauliza viongozi wa dini ya kikristo kupitia jumuiya yao mapungufu ya muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba na mchakato mzima unavyokwenda hawayaoni?Kwanini wanashindwa kuunganisha nguvu na makundi mengine ya kijamii katika kuhakikisha taifa linapata si katiba mpya tu bali katiba bora?

Viongozi wa kikristo chukueni hatua msije kumbuka shuka wakati kumekucha.

Halikadhalika viongozi wa BAKWATA sina uhakika kama nao wamejiunga na makundi mengine kudai haki hii ya kupata katiba mpya.

Viongozi wa dini wamekuwa maarufu sana kukemea ufisadi na maovu mengine ya watawala ambayo msingi wake ni pamoja na katiba hii mbovu tulionayo na kwahivyo sitarajii kuwaona wakijitenga katika kupigania katiba bora.
 
Naomba kuwauliza viongozi wa dini ya kikristo kupitia jumuiya yao mapungufu ya muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba na mchakato mzima unavyokwenda hawayaoni?Kwanini wanashindwa kuunganisha nguvu na makundi mengine ya kijamii katika kuhakikisha taifa linapata si katiba mpya tu bali katiba bora?

Viongozi wa kikristo chukueni hatua msije kumbuka shuka wakati kumekucha.

Halikadhalika viongozi wa BAKWATA sina uhakika kama nao wamejiunga na makundi mengine kudai haki hii ya kupata katiba mpya.

Viongozi wa dini wamekuwa maarufu sana kukemea ufisadi na maovu mengine ya watawala ambayo msingi wake ni pamoja na katiba hii mbovu tulionayo na kwahivyo sitarajii kuwaona wakijitenga katika kupigania katiba bora.
Rekebisha kichwa cha huu uzi au wakati unaandika ukakumbuka kuna waislamu eti halikadhalika viongozi wa Bakwata!
kwanini usiseme viongozi wakiislamu kama ulivyosema viongozi wa kikristo punguzeni chuki.
 
Naomba kuwauliza viongozi wa dini ya kikristo kupitia jumuiya yao mapungufu ya muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba na mchakato mzima unavyokwenda hawayaoni?Kwanini wanashindwa kuunganisha nguvu na makundi mengine ya kijamii katika kuhakikisha taifa linapata si katiba mpya tu bali katiba bora?

Viongozi wa kikristo chukueni hatua msije kumbuka shuka wakati kumekucha.

Halikadhalika viongozi wa BAKWATA sina uhakika kama nao wamejiunga na makundi mengine kudai haki hii ya kupata katiba mpya.

Viongozi wa dini wamekuwa maarufu sana kukemea ufisadi na maovu mengine ya watawala ambayo msingi wake ni pamoja na katiba hii mbovu tulionayo na kwahivyo sitarajii kuwaona wakijitenga katika kupigania katiba bora.
Una maana gani kusema WAKRISTO huku ukusema hujui ya BAKWATA ama point yako ni ipi hapa?
 
Una maana gani kusema WAKRISTO huku ukusema hujui ya BAKWATA ama point yako ni ipi hapa?
Nina uhakika na ukimya wa viongozi wa jumuiya ya kikristo ila sina uhakika kuhusu BAKWATA na ndio maana nimewataja kwa tahadhari kidogo.
 
Mkuu viongozi wa dini inawezekana wanausoma upepo kwanza ukoje..., si unawafahamu viongozi wetu wa dini?
 
Rekebisha kichwa cha huu uzi au wakati unaandika ukakumbuka kuna waislamu eti halikadhalika viongozi wa Bakwata!
kwanini usiseme viongozi wakiislamu kama ulivyosema viongozi wa kikristo punguzeni chuki.

Sina uhakika kuhusu BAKWATA kwani teyari kuna taasisi za kiislamu zimejiunga na sijiu kama ziko chini ya BAKWATA.
 
Naomba kuwauliza viongozi wa dini ya kikristo kupitia jumuiya yao mapungufu ya muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba na mchakato mzima unavyokwenda hawayaoni?Kwanini wanashindwa kuunganisha nguvu na makundi mengine ya kijamii katika kuhakikisha taifa linapata si katiba mpya tu bali katiba bora?

Viongozi wa kikristo chukueni hatua msije kumbuka shuka wakati kumekucha.

Halikadhalika viongozi wa BAKWATA sina uhakika kama nao wamejiunga na makundi mengine kudai haki hii ya kupata katiba mpya.

Viongozi wa dini wamekuwa maarufu sana kukemea ufisadi na maovu mengine ya watawala ambayo msingi wake ni pamoja na katiba hii mbovu tulionayo na kwahivyo sitarajii kuwaona wakijitenga katika kupigania katiba bora.

Mimi ningeshauri, viongozi wa DINI na TAASISI ZA DINI wasishiriki kwenye muungano huu wa vyama vya siasa. Mimi ningeshauri kuwa viongozi wa DINI na TAASISI ZA DINI zifanye muungano wao. Kuungana na vyama vya siasa itakuwa ni nafasi kubwa sana ya CHAMA CHA MASOGANGE kukosoa harakati hizi.
 
Rekebisha kichwa cha huu uzi au wakati unaandika ukakumbuka kuna waislamu eti halikadhalika viongozi wa Bakwata!
kwanini usiseme viongozi wakiislamu kama ulivyosema viongozi wa kikristo punguzeni chuki.

umevurugwaaa wewe na udini
 
Jumuiya za kikristo wakisema.kikwete hata saini muswada
 
wanaogopa wasije kuambiwa wanauza sembe au kufutiwa ushuru wa vitu wanavyoagiza toka nje ya nchi kuambiwa walipie mapato Tra.
 
Wakristo zanzibar wametengwa, kamati ya katiba imekutana na shura ya maimamu wakristo wakatengwa. Wao wafanyaje?
 
Msiwachagulie Upande Viongoz wa Dini waacheni wa dili na mambo ya Kiroho kwan hata huko kuna changamoto kibao!
 
Naomba kuwauliza viongozi wa dini ya kikristo kupitia jumuiya yao mapungufu ya muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba na mchakato mzima unavyokwenda hawayaoni?Kwanini wanashindwa kuunganisha nguvu na makundi mengine ya kijamii katika kuhakikisha taifa linapata si katiba mpya tu bali katiba bora?

Viongozi wa kikristo chukueni hatua msije kumbuka shuka wakati kumekucha.

Halikadhalika viongozi wa BAKWATA sina uhakika kama nao wamejiunga na makundi mengine kudai haki hii ya kupata katiba mpya.

Viongozi wa dini wamekuwa maarufu sana kukemea ufisadi na maovu mengine ya watawala ambayo msingi wake ni pamoja na katiba hii mbovu tulionayo na kwahivyo sitarajii kuwaona wakijitenga katika kupigania katiba bora.


Mkuu usiwategemee sana hao, mara nyingi wanakuwa pamoja na serikali ya CCM. Ebu waulizie kampeni ya madini na ukiukwaji wa haki za binadamu wameifikisha wapi? Walinyazishwa na kuna fununu kwamba baadhi walinunuliwa na makampuni na kupewa vijizawadi na hata kuwafanya wake kimya. Si unawaona jinsi walivyo busy na kumwalika mzee wa mvi kwenye harambee zao?

Ukweli ni kwamba inabidi tujipiganie wenyewe tu hao wamsubirie Mungu aje na atoe hukumu sawasawa na matendo yao. Kwenye kampeni ya migodini walikuwa pamoja mpaka alipokua huku kwetu Tarime wakazuiwa na walipiga kelele nyingi tukajua basi ukombozi wa kweli umekuja. Wewe walipopandishwa midege kwenda South kimya?

Achana kabisa kuwategemea hao kwenye suala la Katiba,

Mungu atatulinda tu tutapita bila shida yoyote maana hakuna popote ambapo nguvu ya umma ilishindwa.
 
Mkuu usiwategemee sana hao, mara nyingi wanakuwa pamoja na serikali ya CCM. Ebu waulizie kampeni ya madini na ukiukwaji wa haki za binadamu wameifikisha wapi? Walinyazishwa na kuna fununu kwamba baadhi walinunuliwa na makampuni na kupewa vijizawadi na hata kuwafanya wake kimya. Si unawaona jinsi walivyo busy na kumwalika mzee wa mvi kwenye harambee zao?

Ukweli ni kwamba inabidi tujipiganie wenyewe tu hao wamsubirie Mungu aje na atoe hukumu sawasawa na matendo yao. Kwenye kampeni ya migodini walikuwa pamoja mpaka alipokua huku kwetu Tarime wakazuiwa na walipiga kelele nyingi tukajua basi ukombozi wa kweli umekuja. Wewe walipopandishwa midege kwenda South kimya?

Achana kabisa kuwategemea hao kwenye suala la Katiba,

Mungu atatulinda tu tutapita bila shida yoyote maana hakuna popote ambapo nguvu ya umma ilishindwa.

Kweli hawa ni wanafiki wakubwa!
 
Back
Top Bottom