Viongozi wa Kenya kabla ya kuapishwa huhojiwa na kutaja utajiri wao hadharani

Viongozi wa Kenya kabla ya kuapishwa huhojiwa na kutaja utajiri wao hadharani

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Hakika KATIBA ya KENYA ni Moja ya KATIBA BORA sana AFRIKA.Upatikanaji wa Viongozi Wao ni wa UWAZI sana kila Mwananchi ANAJUA kwani Wananchi wanaruhusiwa Kutoa Taarifa zao kwa Vyombo MAALUM ikiwemo na Bunge.

Viongozi wateule Wanafika mbele ya Bunge kuhojiwa Maisha yao Elimu Biashara na Utajiri wao Tofauti kabisa na Hapa TANGANYIKA kwani hapa Tanganyika tunasikia Watu Wameteuliwa Kesho wanaapishwa na kuanza kazi.Kuna haja ya kuwa na KATIBA ya Aina hiyo ili kuwe na UWAZI wa Upatikanaji wa VIONGOZI.

Hayati Baba wa Taifa alikuwa na AZIMIO la ARUSHA lilikuwa na Baadhi ya Miiko kwa Viongozi lakini halikuwa na UWAZI kwa Wananchi Namna Viongozi Wanavyochujwa mpaka Kuapishwa.

Bado Wajanja WAKALIUA baada ya Kuona linawabana KIMASLAHI. Bw. Mudavadi amehojiwa na ameiambia KAMATI ya BUNGE kuwa ana UTAJIRI wa Sh.Bil.77 kwa Tanganyika Sio RAHISI kujua.

Naipongeza sana KATIBA BORA ya Kenya

1666063667545.jpg
 
Hakika KATIBA ya KENYA ni Moja ya KATIBA BORA sana AFRIKA.Upatikanaji wa Viongozi Wao ni wa UWAZI sana kila Mwananchi ANAJUA kwani Wananchi wanaruhusiwa Kutoa Taarifa zao kwa Vyombo MAALUM ikiwemo na Bunge.

Viongozi wateule Wanafika mbele ya Bunge kuhojiwa Maisha yao Elimu Biashara na Utajiri wao Tofauti kabisa na Hapa TANGANYIKA kwani hapa Tanganyika tunasikia Watu Wameteuliwa Kesho wanaapishwa na kuanza kazi.Kuna haja ya kuwa na KATIBA ya Aina hiyo ili kuwe na UWAZI wa Upatikanaji wa VIONGOZI.

Hayati Baba wa Taifa alikuwa na AZIMIO la ARUSHA lilikuwa na Baadhi ya Miiko kwa Viongozi lakini halikuwa na UWAZI kwa Wananchi Namna Viongozi Wanavyochujwa mpaka Kuapishwa.

Bado Wajanja WAKALIUA baada ya Kuona linawabana KIMASLAHI. Bw. Mudavadi amehojiwa na ameiambia KAMATI ya BUNGE kuwa ana UTAJIRI wa Sh.Bil.77 kwa Tanganyika Sio RAHISI kujua.

Naipongeza sana KATIBA BORA ya Kenya

View attachment 2390687
Rasimu ya pili ya Warioba irudi mezani tuandike katiba mpya.
 
Nchi ya Giningi, Raisi akipewa kipochi manyoya,au akapigwa mikuyenge ya kutosha anateua na kuapisha kabla hata hajavaa kyupi.Uliona wapi rais anateua usiku wa manane?.Huyo si anakuwa kwenye kinena kweli anagegeda au kugegedwa? Haraka ya nini? Si usubiri uoge japo janaba? Sijamtaja mtu,,,nimekaa hapa.
 
Back
Top Bottom