Viongozi wa kisiasa Tanzania kutolipa kodi ni uzalendo?

Viongozi wa kisiasa Tanzania kutolipa kodi ni uzalendo?

mmaroroi

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2008
Posts
4,635
Reaction score
2,271
Viongozi wa Tanzania kuanzia Bungeni wamekuwa wakipitisha sheria mbalimbali za kuipatia serikali mapato kupitia kodi. Lakini viongozi mbalimbali wao hawalipi kodi kupitia mishahara yao na posho.

Je, viongozi wa aina hii ni wazalendo kwa nchi yao?

Je, unaweza kuhimiza wengine wafanye kitu ambacho wewe hukifanyi?
 
Back
Top Bottom