Viongozi wa kisiasa waache kuwakashfu viongozi wa dini kwenye mikutano yao

Viongozi wa kisiasa waache kuwakashfu viongozi wa dini kwenye mikutano yao

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Namsikia Lema akiwakoromea viongozi wa dini kwa maneno ya dhihaka na dharau kwa kuwa tu hawajahudhuria mkutano wa siasa, kana kwamba na wao ni wanasiasa au wanalazimika kufanya hivyo.

Wana hiyari ya kuja au kutokuja, wasipokuja hawana kosa na wakija pia hawana kosa, iweje wasipokuja uwaone wajinga?

CHADEMA sio dini ni chama cha siasa, wafanye siasa waachane na viongozi wa dini. Nimemsikia pia kiongozi Mmoja wa chama tawala akisema ni kosa kwa viongozi wa dini kuhudhuria mikutano ya siasa jambo ambalo sio kweli.

Hakuna kosa lolote viongozi wa dini kuhudhuria mikutano ya siasa ni ulevi tu wa madaraka unaowafanya wajisahau.

Poleni viongozi wa dini, maneno ya Lema ni kashfa kwetu sote.
 
Namsikia lema akiwakoromea viongozi wa dini kwa maneno ya dhihaka na dharau ! Kwa kuwa TU hawajahudhuria mkutano wa siasa, kana kwamba na wao ni wanasiasa au wanalazimika kufanya hivyo..Wana hiyari ya kuja au kutokuja ,wasipokuja hawana kosa na wakija pia hawana kosa..iweje wasipokuja uwaone wajinga? Chadema sio dini ni chama Cha siasa ,wafanye siasa waachane na viongozi wa dini ..nimemsikia pia kiongozi Mmoja wa Cha tawala akisema ni kosa kwa viongozi wa dini kuhudhuria mikutano ya siasa ,jambo ambalo sio kweli hakuna kosa lolote viongozi wa dini kuhudhuria mikutano ya siasa ni ulevi TU wa madaraka unaowafanya wajisahau ,poleni viongozi wa dini maneno ya lema ni kashfa kwetu sote
Swala la bandari sio swala la kisiasa wala la kidini, ni suala la kisheria. Wote tunatakiwa kulishiriki
 
Mimi ukiniuliza namheshimu nani kati ya kiongozi wa dini ama wa siasa lazima nitakwambia wa kisiasa.

Kwangu mwenyekiti wa nyumba 10 ama wa mtaa ana heshima kuliko askofu wa kanisa ama mufti mkuu sijui nani.

Dini ni utapeli kama utapeli mwingine, mungu hayupo. Hao wapo kukusanya pesa wanazoita sadaka waende kuhonga.
 
Namsikia lema akiwakoromea viongozi wa dini kwa maneno ya dhihaka na dharau ! Kwa kuwa TU hawajahudhuria mkutano wa siasa, kana kwamba na wao ni wanasiasa au wanalazimika kufanya hivyo..Wana hiyari ya kuja au kutokuja ,wasipokuja hawana kosa na wakija pia hawana kosa..iweje wasipokuja uwaone wajinga? Chadema sio dini ni chama Cha siasa ,wafanye siasa waachane na viongozi wa dini ..nimemsikia pia kiongozi Mmoja wa Cha tawala akisema ni kosa kwa viongozi wa dini kuhudhuria mikutano ya siasa ,jambo ambalo sio kweli hakuna kosa lolote viongozi wa dini kuhudhuria mikutano ya siasa ni ulevi TU wa madaraka unaowafanya wajisahau ,poleni viongozi wa dini maneno ya lema ni kashfa kwetu sote
Niwapongeze hao viongozi wa DINI AMBAO hawakufika kwenye kikao cha wana majungu,
NI KILIO KIKUBWA KWA WALE WALIOKUWA WANAAGIZA KONTENA 10,2 ZINALIPIWA USHURU,8 ZINAPITA BURE,HAWA NDIO TATIZO KUBWA,WAMEHONGA WANASIASA MADOLARI ILI KUJARIBU KUKWAZA SUALA HILI.
 
Niwapongeze hao viongozi wa DINI AMBAO hawakufika kwenye kikao cha wana majungu,
NI KILIO KIKUBWA KWA WALE WALIOKUWA WANAAGIZA KONTENA 10,2 ZINALIPIWA USHURU,8 ZINAPITA BURE,HAWA NDIO TATIZO KUBWA,WAMEHONGA WANASIASA MADOLARI ILI KUJARIBU KUKWAZA SUALA HILI.
Kwani Tanzania inaenda kupata nini kwenye uwekezaji wa bandari? (Remuneration)
 
Kwani Tanzania inaenda kupata nini kwenye uwekezaji wa bandari? (Remuneration)
Ufanisi wa kipekee kabisa, ujanja ujanja unakwenda kujifia,wigo mpana zaidi wa kibiashara,ongezeko la mapato almost Mara 4 zaidi ya sasa,kuhusu ajira am not sure, ispokuwa mizigo itafurika BANDARINI katika kiwango cha kushangaza na itaudumiwa kwa haraka HII ni kwa sababu business = connectivity!,Jamaa wameenea sana Far east!
 
Ufanisi wa kipekee kabisa, ujanja ujanja unakwenda kujifia,wigo mpana zaidi wa kibiashara,ongezeko la mapato almost Mara 4 zaidi ya sasa,kuhusu ajira am not sure, ispokuwa mizigo itafurika BANDARINI katika kiwango cha kushangaza na itaudumiwa kwa haraka HII ni kwa sababu business = connectivity!,Jamaa wameenea sana Far east!
Hizi ni porojo tu tushazichoka hazina tofauti na kina mbarawa mkiulizwa ukomo wa mkataba mnakuwa wakali
 
Ufanisi wa kipekee kabisa, ujanja ujanja unakwenda kujifia,wigo mpana zaidi wa kibiashara,ongezeko la mapato almost Mara 4 zaidi ya sasa,kuhusu ajira am not sure, ispokuwa mizigo itafurika BANDARINI katika kiwango cha kushangaza na itaudumiwa kwa haraka HII ni kwa sababu business = connectivity!,Jamaa wameenea sana Far east!
Kweli kabisa mwambaaa Hawa kuku wamebanwa kende ndio maana unaona makelele
 
Mimi ukiniuliza namheshimu nani kati ya kiongozi wa dini ama wa siasa lazima nitakwambia wa kisiasa.

Kwangu mwenyekiti wa nyumba 10 ama wa mtaa ana heshima kuliko askofu wa kanisa ama mufti mkuu sijui nani.

Dini ni utapeli kama utapeli mwingine, mungu hayupo. Hao wapo kukusanya pesa wanazoita sadaka waende kuhonga.
Wewe ni mpumbavu na inawezekana kwenu mna asili ya uchawi ? Kwani siasa haikusanyi pesa? Uwepo wa mungu upo mwilini mwako ..wewe ni kichaa umeathiriwa na uchawi ndio maana huwezi kuheshimu mungu Wala dini
 
Hizi ni porojo tu tushazichoka hazina tofauti na kina mbarawa mkiulizwa ukomo wa mkataba mnakuwa wakal
KATIKA HALI YA KAWAIDA HATA WEWE UNAPOFANYA BIASHARA FULANI,SI TEGEMEO LAKO BIASHARA ITAKWAMA ,ISPOKUWA WAKATI UNAENDELEA NA NA BIASHARA IKATOKEA JAMBO LA OVYO ,HAPO NDIPO INAINGIA #INCLUSION#!,AMBAYO ITAKUWA NA HOJA YA MSNGI YA KUIKATAA BIASHARA YENYEWE.
 
Mimi ukiniuliza namheshimu nani kati ya kiongozi wa dini ama wa siasa lazima nitakwambia wa kisiasa.

Kwangu mwenyekiti wa nyumba 10 ama wa mtaa ana heshima kuliko askofu wa kanisa ama mufti mkuu sijui nani.

Dini ni utapeli kama utapeli mwingine, mungu hayupo. Hao wapo kukusanya pesa wanazoita sadaka waende kuhonga.
Nakuunga mkono
 
Mwalimu alionya sana siasa kuchanganywa na DINI.

Anasema "KIONGOZI aliyeishiwa hoja anaanza KUZUNGUMZIA UDINI, anatoka mfano kuhusu sensa na kuhesabiwa anasema hawakuweka kipengele Cha DINI kwenye KUHESABU WATU kwasababu DINI haihusiani na MASUALA ya maendeleo. SELIKALI inataka kujua Idadi ya WATU kwa LENGO la KUPANGA maendeleo, Elimu, shule , maji nk.

Anasema mkitaka kujua Idadi ya WATU wahesabuni kanisani na misikitini wanapokuja KUUNGAMA dhambi. ".

N:B. UKRISTO SIO DINI.
 
Niwapongeze hao viongozi wa DINI AMBAO hawakufika kwenye kikao cha wana majungu,
NI KILIO KIKUBWA KWA WALE WALIOKUWA WANAAGIZA KONTENA 10,2 ZINALIPIWA USHURU,8 ZINAPITA BURE,HAWA NDIO TATIZO KUBWA,WAMEHONGA WANASIASA MADOLARI ILI KUJARIBU KUKWAZA SUALA HILI.
Yaleyale! Ni bandar ya Dar tu sio bandari zote! Wakati mkataba unasema Sea and Lake Ports!
 
Back
Top Bottom