pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Kweli kabisa, ushawishi wa Kenya kwenye bara hili sio wa kupuuzwa. Nyang'au anang'ata na kupuliza vidole vyote, AU, AGOA, EAC, COMESA na cha gumba, AfCFTA.Asante sana, lazima tuchezee ipasavyo huu uwanja wa COMESA. Karne ya sasa haipaswi kununia miungano kama hii.
Kweli kabisa, ushawishi wa Kenya kwenye bara hili sio wa kupuuzwa. Nyang'au anang'ata na kupuliza vidole vyote, AU, AGOA, EAC, COMESA na cha gumba, AfCFTA.
Its reality.Aha haaa
That's a wishful thinking.
Asante sana, lazima tuchezee ipasavyo huu uwanja wa COMESA. Karne ya sasa haipaswi kununia miungano kama hii.
Nashangaa kuona nchi yangu si mwanachama. Sijui hawa wahuni wa ccm huwa wanawaza nini hasa.
Tulijitoa zamani. Kwa maana comesa ni duplication ya SADC. Hivyo tukaonelea Bora tuondoke comesa na kubaki EAC na SADC yetu.
You've got Him off this thread for good.Ok but I do believe that some of the countries in COMESA are not part and parcel of EAC or SADC.