Viongozi wa nyumba 10, Mabalozi na Wenyeviti wa vitongoji, kata, tarafa tumieni namba za nyumba kubaini Panyaroad

Viongozi wa nyumba 10, Mabalozi na Wenyeviti wa vitongoji, kata, tarafa tumieni namba za nyumba kubaini Panyaroad

Checnoris

Senior Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
123
Reaction score
269
Nyumba zote nchi zina namba, sensa security inaweza kuona kila nyumba yenye mwizi. Tumieni, hakikisheni mnajua namba za nyumba mitaani kwako na ubainishe zenye wahuni a.k.a panyaroad.

Fanya hivi,
Andika mitaa yote na majina ya wamiliki, wapangaji na namba ya nyumba.

1. Andika namba ya "Peleka namba ya nyumba yenye panyaroad."

2. Viongozi wa nyumba 10, Mabalozi na Wenyeviti wa vitongoji, kata na tarafa tumieni namba za nyumba kubaini Panyaroad Kwa hili, hamna la kujitetea!
 
Hao viongozi kwanza wana hasira mgao wa Sensa umewapita.
 
Hao jamaa wanaoitwa panyaroad wameshachoka kuishi ukikamata ua tu usimchekee hata kidogo,
 
Serikali haina Bali na wewe you have to take ur own initiatives
Kuna maeneo sungusungu wanalinda kwa msimu wakiibuka panyaroad unaona mwenyekiti anaanzisha sungusungu kukitulia tu sungusungu wanaacha kulinda panyaroad wanarudi, sasa hapa sielewi inakuajekuaje?
 
Kuna maeneo sungusungu wanalinda kwa msimu wakiibuka panyaroad unaona mwenyekiti anaanzisha sungusungu kukitulia tu sungusungu wanaacha kulinda panyaroad wanarudi, sasa hapa sielewi inakuajekuaje?
Panya road ni mradi wa Siri wa Sungusungu!!
 
Back
Top Bottom