Jilinde mwenyewe ukisubiri Serikali utauliwa na panyaroad nunua Silaha yako Mpya tembea nayo usiku , hasa sime.Sisikii popote mpango wa hi suala. Mwenye update tafadhali. Tunaishi kwa wasiwasi
Jamani jamani jamani jamani jamani jamaniJilinde mwenyewe ukisubiri Serikali utauliwa na panyaroad nunua Silaha yako Mpya tembea nayo usiku , hasa sime.
Na nyumba wanazoishi Zina namba na majina ya mitaa. What the heckWanataoka kwenye maeneo yanaitwa uswahilini malezi ziro
Serikali haina habari na wewe you have to take ur own plann to deal with them so called panyaroadJamani jamani jamani jamani jamani jamani
Kuna maeneo sungusungu wanalinda kwa msimu wakiibuka panyaroad unaona mwenyekiti anaanzisha sungusungu kukitulia tu sungusungu wanaacha kulinda panyaroad wanarudi, sasa hapa sielewi inakuajekuaje?Serikali haina Bali na wewe you have to take ur own initiatives
Panya road ni mradi wa Siri wa Sungusungu!!Kuna maeneo sungusungu wanalinda kwa msimu wakiibuka panyaroad unaona mwenyekiti anaanzisha sungusungu kukitulia tu sungusungu wanaacha kulinda panyaroad wanarudi, sasa hapa sielewi inakuajekuaje?