Viongozi wa Serikali za Wanafunzi Vyuoni waomba walipwe mishahara na Serikali, Kama Wafanyakazi wengine

Viongozi wa Serikali za Wanafunzi Vyuoni waomba walipwe mishahara na Serikali, Kama Wafanyakazi wengine

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
My take.
Hii ndio Habari mpya kwa siku ya leo, kwamba vijana hao wamependekeza awanafunzi wenzao wanaochaguliwa kuwa Viongozi wa Serikali za Wanafunzi wawe wanalipwa mishahara na serikali, (Yaani Wale Marais wa vyuo na mawaziri wao)
=========
Viongozi wa Serikali ya Wanafunzi kwenye vyuo vya kati na vyuo vikuu wameomba serikali kuwalipa mishahara kila mwezi pamoja na kuanzishwa kwa mfumo utakaowawezesha vijana kupata ajira baada ya kuhitimu vyuo.

Soma Pia: Sheikh Ibrahim Bombo: Serikali ianzishe utaratibu wa kulipa mishahara kwa Viongozi mbalimbali wa Dini kutokana na kazi nzuri wanayoifanya
 
Wawe wanalipwa mishahara, wajifunze wizi na ubadhirifu angali wako mzizinii, je wakifikia Majanini, itakuajeee? Lol

Wanataka kusoma au Pesaa? Mxxxxxxiiiiiiieeeeew zao. Lol
😆😆😆😆
 
Hii yote ni sababu ya ukosefu wa ajira, ni janga zito sana na halichukuliwi kwa uzito wake unaostahili.
Kwa hiyo,kwa ufupi vijana wanahitaji kupatiwa ruzuku kama wale wanufaika walengwa wa kaya masikini za TASAF?Boom haziwatoshi.
 
Nikiwa kama naibu waziri wa afya katika chuo x, naunga hoja mkono
 
My take.
Hii ndio Habari mpya kwa siku ya leo, kwamba vijana hao wamependekeza awanafunzi wenzao wanaochaguliwa kuwa Viongozi wa Serikali za Wanafunzi wawe wanalipwa mishahara na serikali, (Yaani Wale Marais wa vyuo na mawaziri wao)
=========
Viongozi wa Serikali ya Wanafunzi kwenye vyuo vya kati na vyuo vikuu wameomba serikali kuwalipa mishahara kila mwezi pamoja na kuanzishwa kwa mfumo utakaowawezesha vijana kupata ajira baada ya kuhitimu vyuo.
Vioja haviishi? Hizo hela za mishaara zitatoka mfuko upi? Na hao ndio viongozi wa kesho?
 
Zanzibar kupitia kwa mercenary wao waliomtuma kutawala nchi fulani ya wanaodanganyika Inapokea pesa nyingi sana toka kwenye hilo koloni.

Kwahiyo wanaweza kuwalipa siyo tu viongozi wa serikali ya wanafunzi, hata mateja na mashoga wote waliozagaa mitaa yote ya Zanzibar
 
My take.
Hii ndio Habari mpya kwa siku ya leo, kwamba vijana hao wamependekeza awanafunzi wenzao wanaochaguliwa kuwa Viongozi wa Serikali za Wanafunzi wawe wanalipwa mishahara na serikali, (Yaani Wale Marais wa vyuo na mawaziri wao)
=========
Viongozi wa Serikali ya Wanafunzi kwenye vyuo vya kati na vyuo vikuu wameomba serikali kuwalipa mishahara kila mwezi pamoja na kuanzishwa kwa mfumo utakaowawezesha vijana kupata ajira baada ya kuhitimu vyuo.
Ukata mgumu, kila Kona, kila mtu mpaka watoto ni majambazi,
Ni haki Yao, wanajua wazazi wao wanavyopigika
 
Wanalipwa kutoka kwenye michango ya uanachama kwenye vyama vya wanafunzi vyuoni.
 
My take.
Hii ndio Habari mpya kwa siku ya leo, kwamba vijana hao wamependekeza awanafunzi wenzao wanaochaguliwa kuwa Viongozi wa Serikali za Wanafunzi wawe wanalipwa mishahara na serikali, (Yaani Wale Marais wa vyuo na mawaziri wao)
=========
Viongozi wa Serikali ya Wanafunzi kwenye vyuo vya kati na vyuo vikuu wameomba serikali kuwalipa mishahara kila mwezi pamoja na kuanzishwa kwa mfumo utakaowawezesha vijana kupata ajira baada ya kuhitimu vyuo.

Soma Pia: Sheikh Ibrahim Bombo: Serikali ianzishe utaratibu wa kulipa mishahara kwa Viongozi mbalimbali wa Dini kutokana na kazi nzuri wanayoifanya
Upumbavu mtupu
 
Kwani akuna pesa inaliwapwa na wanafunzi kwa ajiri ya serikali yao? Watumie hyo pesa yani unakuta chuo kina wanafunzi 10000 kila mwanafunzi analipa 20000 Jumla milioni 200 serikali ya wanafunzi kwann wasikate uko.
 
Kuna umuhimu wa somo la uchumi kufundishwa kwa kila course huko vyuo vikuu,yani huyu mtoto anaonekana kabisa ni empy head kabisa ukisikiliza hoja yake ya pili ni hajui kabisa namna ambavyo ajira zinazalishwa.
Hizi ndio product za zile shule za Kata za Jakaya Kikwete & na rafikiye Lowassa.
 
Back
Top Bottom