mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hakika niliamini baada ya Simba kuingia kwenye uwekezaji uendeshwaji wake hautakuwa wa kienyeji wa kusikiliza majungu ya mitaani.
Mpaka sasa sijajua sababu za msingi za kumfukuza yule kocha. Kocha aliyeipa Simba ubingwa wa Tanzania, kocha aliyeifikisha Simba robo fainal Afrika mashindano magumu kabisa.
Endapo Viongozi wa Simba mtaendelea kusikiliza Majungu na fitina za wasioitakia mema Simba basi mtawafukuza makocha wa Dunia nzima.
ANGALIZO: Hawa makocha wasaidizi wazawa, makocha wa makipa,makocha wa viungo wazawa ndio chanzo kikubwa cha kufukunzwa kwa Makocha wa kigeni wana majungu sana ili wao washike nafasi wakati uwezo mdogo.
Mo Dewji kuwa makini la sivyo uwekezaji utakushinda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka sasa sijajua sababu za msingi za kumfukuza yule kocha. Kocha aliyeipa Simba ubingwa wa Tanzania, kocha aliyeifikisha Simba robo fainal Afrika mashindano magumu kabisa.
Endapo Viongozi wa Simba mtaendelea kusikiliza Majungu na fitina za wasioitakia mema Simba basi mtawafukuza makocha wa Dunia nzima.
ANGALIZO: Hawa makocha wasaidizi wazawa, makocha wa makipa,makocha wa viungo wazawa ndio chanzo kikubwa cha kufukunzwa kwa Makocha wa kigeni wana majungu sana ili wao washike nafasi wakati uwezo mdogo.
Mo Dewji kuwa makini la sivyo uwekezaji utakushinda.
Sent using Jamii Forums mobile app