Viongozi wa Simba mnachekesha mnamfukuza kocha aliyewafikisha robo fainali mnaleta msiyemjua?

Hama timu we si mwanasimba lialia
 
Toka Bashite ateuliwe rasmi kuwa s
sinia adivaiza, mambo yanaenda vizuri sana.
 
Ni nyie washabiki mlikuwa mnapiga makelele kuwa hamumtaki Patrick Ausems (uchebe) leo mnamuone tena wathamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manara sijui anajiaikiaje na ile press yake ya kijinga ya kimponda aussems kipenzi cha wanamsimbazi.
Na bado mtamkumbuka sana kwa uswahili wenu. Leo eti Ausems, Ausems. Wakati alipofungwa na Mwadui na kutoa sare na prisons mlilalama kutwa kucha mitandao eti hatumtaki uchebe hatumtaki uchebe.

Nyie mashabiki ndio watu wa kwanza kumfukuzisha kazi uchebe, walichofanya viongozi wenu kuhitimisha tu.
Leo mambo yanawaendea kombo mnawatupia lawama viongozi wenu mkijisahau nafasi yenu mliyoitumia kumfukisha kazi uchebe.

Acheni unafiki nyie mashabiki wa simba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya simba yanakuhusu nini wewe ndala? Hatujazoea kufungwa sisi wa msimbazi. Kufungwa sio kawaida yetu hasa hapa tz.
 
Tanzania hatuishiwi na maajabu. Dondoka mitaa ya msimbazi ukajionee mnyama simba anaongozwa na kuku kishingo
 

Lakini Mo shida pia ni Bahili. Ukijiuliza kwanini alishandwa kuwa secure Okwi , Niyonzima na wengi.

Mimi naamini Mo ndio inaiharibu Simba. Hata huyu Kocha wa Sasa kamleta yeye na uwezo wake ni mdogo
 
Tanzania ndio maana kila siku nawaambia mpira hautakaa uje kuendelea. Team imefungwa tu mechi moja tayari mfarakano wa hali ya juu kila mtu anaongea lake.

Kweli tuna upeo mdogo sana wa kupambanua mambo.
We nawe ni wale wale tu. Upeo wako unakuambia mfarakano umeanza mechi ya ya mwisho ya Polisi. Kumbukumbu zako hazikuambii kua games mbili kabla ya Polisi Simba ame struggle sana kupata ushindi.

Chini ya Uchebe Kama sio halftime Basi kwenye dakika za 70-80 Mnyama anakua ashamaliza biashara, kilichobaki ni kucheza kusubiri dakika au kujazia ushindi.
 
Kwani duniani kocha ni Uchebe tu, mbona makocha wengi tu wakibongo wanamzidi mbinu za mpira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulimfukuza Uchebe kwa sababu viwango vya wachezaji vilishuka sana hasa Mkude, Chama, Dilunga, Wawa.

Na hata haya matokeo mabaya chanzo chake ni Uchebe. Simba walifanya haraka kuleta kocha Mbelgiji, wangemwacha kwanza Matola angalau mechi 5 waone uwezo wake.

Naamini angefanya vizuri kuliko Uchebe na Sven


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…