Viongozi wa Simba mnawaficha nini Mashabiki kuhusu kinachoendelea huko Misri?

Viongozi wa Simba mnawaficha nini Mashabiki kuhusu kinachoendelea huko Misri?

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Wanasimba wana haki yakujua kile kinachoendelea kuhusu timu yao, lakini kinachofanyika ni uhuni tu usiyokuwa na maana yoyote..

Tunatangaziwa Simba inacheza mechi za kirafiki na timu za madaraja ya chini. Mechi zinafanyika pasipo mashabiki na wala hakuna chombo chochote cha habari kinachorusha matangazo hayo ya moja kwa moja.

Baadae hao hao Simba wanajitokeza hadharani kweny Simba App na kutupa matokeo ya mechi wazizojifungia na kusema wameshinda, Hapo inafikirisha sana.

Haya mambo ya kujificha kisha baadae mnatoka hadharani na kusema mmeshinda hayana ukweli wowote.. Simba acheni kudanganya mashabiki wenu, uhakika wa matokeo mnayoyatoa unatokea wapi?

Mashabiki wa Simba amkeni mapema maana naiona aibu kubwa hapo mbeleni
 
Maandalizi hayo yasikupe shida.
Bayern katoka suluhi na mtoto mdogo, utopolo kamfunga kaiza goli nje ndo ujue mazoezi hayo
 
Mbaya zaidi watz hawa kadri siku zinavyoenda ndio wanaishiwa akili kabisa
Kila kitu ni individual,siwezi acha familia yangu nihangaike na maisha ya matajiri,kama simba inachukua maamuzi bila kushirikisha wadau hakuna shida waxha tutaona wapi wanaelekea,sasa tunaomba tusonge mbele kila mtu alipe tozo na afuruhi na familia yake,hatutaki mambo ya jumlajumla,kila mtu apambane na hali yake.
 
Mechi zinafanyika pasipo mashabiki na wala hakuna chombo chochote cha habari kinachorusha matangazo hayo ya moja kwa moja.
Sasa mzee ulitaka waingie mtaani wazoe mashabiki kwa lazima kuja kuangalia mechi za kirafiki? Watu wana kazi zao, usifikiri ni sawa na Bongo ambapo utakuta watu wapo klabuni muda wote hadi unajiuliza hiyo production inafanyika muda gani!
 
Wanasimba wana haki yakujua kile kinachoendelea kuhusu timu yao, lakini kinachofanyika ni uhuni tu usiyokuwa na maana yoyote..

Tunatangaziwa Simba inacheza mechi za kirafiki na timu za madaraja ya chini. Mechi zinafanyika pasipo mashabiki na wala hakuna chombo chochote cha habari kinachorusha matangazo hayo ya moja kwa moja.

Baadae hao hao Simba wanajitokeza hadharani kweny Simba App na kutupa matokeo ya mechi wazizojifungia na kusema wameshinda, Hapo inafikirisha sana.

Haya mambo ya kujificha kisha baadae mnatoka hadharani na kusema mmeshinda hayana ukweli wowote.. Simba acheni kudanganya mashabiki wenu, uhakika wa matokeo mnayoyatoa unatokea wapi?

Mashabiki wa Simba amkeni mapema maana naiona aibu kubwa hapo mbeleni


KWELI STRESS NA AFYA YA AKILI NI JANGA. KWA NINI SISI YANGA TUSIBURUDIKE NA YETU. KWANINI TUNATAKA KUONA YA SIMBA? UKIWA IDLE PIA NI TATIZO SANA. MAMBO YA NGOSWE AACHIWE NGOSWE
 
Mbaya zaidi watz hawa kadri siku zinavyoenda ndio wanaishiwa akili kabisa
FB_IMG_1722234147217.jpg
 
Back
Top Bottom