wanagundu?Ni kweli Hans Pope aliwahi kutumikia kifungo cha maisha ambapo alikaa gerezani kwa zaidi ya miaka 10 kwa kosa la uhaini kabla ya kupata msamaha wa Raisi, Rage naye ni kweli aliwahi kutumikia kifungo baada ya kuhukumikwa kwa makosa ya ubadhilifu akiwa Katibu Mkuu wa TFF, alitoka gerezani kwa msamaha wa Raisi, hata hivyo Rage aliendelea na mapambano dhidi ya hukumu iliyompeleka gerezani na mwishowe akashinda rufaa yake na hivyo kuhesabika kuwa hakuwa na hatia na hukumu iliyompeleka gerezani kuwa batili. Wambura sikumbuki na sidhani kama amewahi kama amewahi kuhukumiwa kifungo jela, ila amewahi kukumbana na vifungo vya uongozi wa mpira wa miguu. Yupo mwingine wa Simba Hassan Hassanol amewahi kukaa mahabusu muda mrefu sana kama miaka 3, lakini kwa sasa yupo nje kwa dhamana na kesi yake inaendelea kuunguruma.
manara aliwahi kukaa lupango kwa utapeli wa magariNi kweli Hans Pope aliwahi kutumikia kifungo cha maisha ambapo alikaa gerezani kwa zaidi ya miaka 10 kwa kosa la uhaini kabla ya kupata msamaha wa Raisi, Rage naye ni kweli aliwahi kutumikia kifungo baada ya kuhukumikwa kwa makosa ya ubadhilifu akiwa Katibu Mkuu wa TFF, alitoka gerezani kwa msamaha wa Raisi, hata hivyo Rage aliendelea na mapambano dhidi ya hukumu iliyompeleka gerezani na mwishowe akashinda rufaa yake na hivyo kuhesabika kuwa hakuwa na hatia na hukumu iliyompeleka gerezani kuwa batili. Wambura sikumbuki na sidhani kama amewahi kama amewahi kuhukumiwa kifungo jela, ila amewahi kukumbana na vifungo vya uongozi wa mpira wa miguu. Yupo mwingine wa Simba Hassan Hassanol amewahi kukaa mahabusu muda mrefu sana kama miaka 3, lakini kwa sasa yupo nje kwa dhamana na kesi yake inaendelea kuunguruma.
Tofauti na hao wote yaliwatokea wakiwa nje ya Simba huyu wasasa 'rafiki wa Simba' yanatokea ndani ya Simba na fedha ya klabu toka ndani ya akaunti ya klabu.Ni kweli Hans Pope aliwahi kutumikia kifungo cha maisha ambapo alikaa gerezani kwa zaidi ya miaka 10 kwa kosa la uhaini kabla ya kupata msamaha wa Raisi, Rage naye ni kweli aliwahi kutumikia kifungo baada ya kuhukumikwa kwa makosa ya ubadhilifu akiwa Katibu Mkuu wa TFF, alitoka gerezani kwa msamaha wa Raisi, hata hivyo Rage aliendelea na mapambano dhidi ya hukumu iliyompeleka gerezani na mwishowe akashinda rufaa yake na hivyo kuhesabika kuwa hakuwa na hatia na hukumu iliyompeleka gerezani kuwa batili. Wambura sikumbuki na sidhani kama amewahi kama amewahi kuhukumiwa kifungo jela, ila amewahi kukumbana na vifungo vya uongozi wa mpira wa miguu. Yupo mwingine wa Simba Hassan Hassanol amewahi kukaa mahabusu muda mrefu sana kama miaka 3, lakini kwa sasa yupo nje kwa dhamana na kesi yake inaendelea kuunguruma.
Viongozi wa Simba wana matatizo gani na sheria? Rage alifungwa, Hans Pope alifungwa, Wambura alifungwa na huyu Aveva naye anaenda kufungwa.
Kwanini hivi?
Haji hakufungwa lakini almanusra. Alikuwa tapeli wa kuwauzia magari watu wa mikoani. Kijiwe chake kilikuwa Kariakoo.Nkwabi yupo hatiani mo alifungwa kifungo cha nje
Haji hakufungwa lakini almanusra. Alikuwa tapeli wa kuwauzia magari watu wa mikoani. Kijiwe chake kilikuwa Kariakoo.
Wewe wasema Mkuu.Kwa hiyo Simba ni club ya mataperi