Viongozi wa Simba, Simba Day imekwisha tayari sasa nguvu tuelekeze kwenye Ngao tarehe 8 Agosti, 2024, Utopolo wameshaanza ushirikina

Viongozi wa Simba, Simba Day imekwisha tayari sasa nguvu tuelekeze kwenye Ngao tarehe 8 Agosti, 2024, Utopolo wameshaanza ushirikina

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nawashauri viongozi wangu wa Simba, Yanga ni timu ya kawaida sana endapo ujanja wao wa nje ya uwanja mtaudhibiti, wao wanajifanya wamewekeza kwenye tarehe 4 lakini nataka niwaambie kuwa Utopolo walikuwepo uwanja wa Ndege wakati kikosi chetu kinashuka kikitokea Misri kwenye maandalizi.

Baadhi ya washirikina wao walikuwa wanachukua mchanga uliokuwa unakanyagwa na baadhi ya wachezaji wetu ili wakawafanyie ushirikina.

Utopolo ss hv wanatafuta kujua kambi yenu iko wapi, mazoezi mnafanya wapi, kazi hiyo wamempa msemaji wao aliyefunguliwa.Yeye hapo ndio anapoonekana umuhimu wake kwa sababu kuna watu ndani yetu wanampa michongo yote.

Hakikisheni kila hatua dua, kuelekea tarehe 8 tuhakikishe hakuna mjinga yoyote kwao anayejua siri zetu, mpeni kazi hiyo mzee Hassan Dalali, ushahidi unaonyesha kuwa hajawahi kufungwa na Yanga kizembe.

Mzee Dalali na Kajuna ndio mafia wa kweli katika Simba.

Tarehe 8 ndio watajua kama wana timu ama wana wastaafu.
 
Endeleeni kuwaza mpira wa ushirikina karne ya lo hii, mpira ni mchezo wa wazi.
 
ITAKAVYOKUWA TAREHE 8.8.2024


Jean Othos Baleke 1
Aziz Ki 2
Prince Dube 1
Maxi Nzengeli 2


Yanga 6 - 0 MAKOLO

Tunzeni hii risiti


 
Nawashauri viongozi wangu wa Simba, Yanga ni timu ya kawaida sana endapo ujanja wao wa nje ya uwanja mtaudhibiti, wao wanajifanya wamewekeza kwenye tarehe 4 lakini nataka niwaambie kuwa Utopolo walikuwepo uwanja wa Ndege wakati kikosi chetu kinashuka kikitokea Misri kwenye maandalizi.

Baadhi ya washirikina wao walikuwa wanachukua mchanga uliokuwa unakanyagwa na baadhi ya wachezaji wetu ili wakawafanyie ushirikina.

Utopolo ss hv wanatafuta kujua kambi yenu iko wapi, mazoezi mnafanya wapi, kazi hiyo wamempa msemaji wao aliyefunguliwa.Yeye hapo ndio anapoonekana umuhimu wake kwa sababu kuna watu ndani yetu wanampa michongo yote.

Hakikisheni kila hatua dua, kuelekea tarehe 8 tuhakikishe hakuna mjinga yoyote kwao anayejua siri zetu, mpeni kazi hiyo mzee Hassan Dalali, ushahidi unaonyesha kuwa hajawahi kufungwa na Yanga kizembe.

Mzee Dalali na Kajuna ndio mafia wa kweli katika Simba.

Tarehe 8 ndio watajua kama wana timu ama wana wastaafu.
Acha uongo wewe mmeanza kutapatapa mara uchawi mara tunanunua timu mpira ni uwanjani.mchanga uko wapi uwanja wa ndege.waafrika mmelogwa na nani.akili zenu kila siku ni kuwaza uchawi leteni timu uwanjani acheni kujihami.kaizer chiefs nani aliwaroga?
 
Picha lilianza vyura wameingia Dar saa 9 usiku.

Anyway, nilitegemea Simba wangeweka utaratibu fulani pale JKNIA ili wale waandishi au wanaojifanya waandishi wasiwakaribie na wasiwazonge wachezaji.
 
Nawashauri viongozi wangu wa Simba, Yanga ni timu ya kawaida sana endapo ujanja wao wa nje ya uwanja mtaudhibiti, wao wanajifanya wamewekeza kwenye tarehe 4 lakini nataka niwaambie kuwa Utopolo walikuwepo uwanja wa Ndege wakati kikosi chetu kinashuka kikitokea Misri kwenye maandalizi.

Baadhi ya washirikina wao walikuwa wanachukua mchanga uliokuwa unakanyagwa na baadhi ya wachezaji wetu ili wakawafanyie ushirikina.

Utopolo ss hv wanatafuta kujua kambi yenu iko wapi, mazoezi mnafanya wapi, kazi hiyo wamempa msemaji wao aliyefunguliwa.Yeye hapo ndio anapoonekana umuhimu wake kwa sababu kuna watu ndani yetu wanampa michongo yote.

Hakikisheni kila hatua dua, kuelekea tarehe 8 tuhakikishe hakuna mjinga yoyote kwao anayejua siri zetu, mpeni kazi hiyo mzee Hassan Dalali, ushahidi unaonyesha kuwa hajawahi kufungwa na Yanga kizembe.

Mzee Dalali na Kajuna ndio mafia wa kweli katika Simba.

Tarehe 8 ndio watajua kama wana timu ama wana wastaafu.
Ulipomtaja tu hapo Rafiki yangu na Mtani wangu wa Kihaya Idi Kajuna 'Kigulu' na Sifa ulizompa nimekukubali uko vyema.
 
Ulipomtaja tu hapo Rafiki yangu na Mtani wangu wa Kihaya Idi Kajuna 'Kigulu' na Sifa ulizompa nimekukubali uko vyema.
Kama Simba ikicheza apa Tanzania inalogwa basi waombeni Tff hii mechi waihamishie Nchi nyingine na marefa watokee uko tuone kama Simba ita toboa.
 
Back
Top Bottom