Umewachoka peke yako..acha kujumlisha na wengine...ukichoka Kaa pembeni tupisheIfike mda muheshimu na muelewe Simba ni timu kubwa na yenye heshima kubwa Afrika,
Hiki ni nini sasa!View attachment 2688977
Sa umevhoka nini na jezi haijazinduliwa. Unataka zianze kutapakaa kariakoo(feki) kabla OG haxijaingia sokoni?Ifike mda muheshimu na muelewe Simba ni timu kubwa na yenye heshima kubwa Afrika,
Hiki ni nini sasa!View attachment 2688977
hazina ubora wa kuweka kwenye begi bora wangeweka kwenye shangazi kaja ingependeza zaidiUmeumizwa na begi? ulitaka waziweke kwenye mfuko wa rambo? au shangazi kaja?
Nyani wa pori la utopolo wanaumia sana