Viongozi wa Simba vaeni jezi za timu yenu kama hamuwezi vaeni za Yanga.

Viongozi wa Simba vaeni jezi za timu yenu kama hamuwezi vaeni za Yanga.

Pesanyingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
1,157
Reaction score
1,983
Jana tarehe 3/8/2024 ilikuwa ni siku ya Simba day. Ni siku ya pekee kwa wapenzi wa Simba katika kutambulisha wachezaji wapya, bench la ufundi, jezi n.k.
Tunajuwa viongozi siku zote wanakuwa mfano, ila hapo unyamani kuna baadhi ya viongozi hawosomeki sijuwi ni hawataki kuonyesha utambulisho wao au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia.
Hapa nitamzungumzia "JARIBU TENA". Simba day ni sikukuu, ni sherehe, ni tamasha, ni burudani lakini mwenzetu mbona havai jezi za Simba? Kama Jana amevaa kanzu. Kama hapendi jezi za Simba basi avae za Yanga.
 
Lini umemuona amevaa jezi za Simba , Try again pale Simba yupo kazini , hashabikii Simba wala Yanga, yupo kimaslahi zaidi
 
Yanga mko busy na mnyama uwanja uko tupu
 
🔥
 

Attachments

  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    10 KB · Views: 5
  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    33 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-08-04-08-50-29-023_com.instagram.android-edit.jpg
    Screenshot_2024-08-04-08-50-29-023_com.instagram.android-edit.jpg
    576.4 KB · Views: 2
Kiukweli sababu ya msingi viongozi wa Simba tutokuvaa jezi zao ni mdhamini wao mkuu ambaye ni M-BET, hii ni kampuni ya kamari, kwa muislam safi kama Try Again / Mangungu/Dalali inakuwa ngumu sana kuvaa jezi zinazofanya promotion ya kamari na wakati dini ya kiislam ili jambo iliweka clear kabisa kama kamari ni HARAMU.

Ukivaa jezi manake unapingana na maandiko moja kwa moja.
 
Kiukweli sababu ya msingi viongozi wa Simba tutokuvaa jezi zao ni mdhamini wao mkuu ambaye ni M-BET, hii ni kampuni ya kamari, kwa muislam safi kama Try Again / Mangungu/Dalali inakuwa ngumu sana kuvaa jezi zinazofanya promotion ya kamari na wakati dini ya kiislam ili jambo iliweka clear kabisa kama kamari ni HARAMU.

Ukivaa jezi manake unapingana na maandiko moja kwa moja.
Sasa kwann wanasapoti timu yao kuwa sponsored na kamari?
 
Sasa kwann wanasapoti timu yao kuwa sponsored na kamari?
SImba ni timu ya wanachama wenye dini mchanganiko, ni ngumu kuleta hoja ya dini na wakati huna option ya mdhamini atakayeleta mpunga mrefu,hizi betting ndio kampuni zenye pesa ndefu.

Unafahamu kama bakhresa kuna mashindano alikataa kuipeleka azam kwasabbu sponsor alikuwa kampuni ya pombe??
 
Kiukweli sababu ya msingi viongozi wa Simba tutokuvaa jezi zao ni mdhamini wao mkuu ambaye ni M-BET, hii ni kampuni ya kamari, kwa muislam safi kama Try Again / Mangungu/Dalali inakuwa ngumu sana kuvaa jezi zinazofanya promotion ya kamari na wakati dini ya kiislam ili jambo iliweka clear kabisa kama kamari ni HARAMU.

Ukivaa jezi manake unapingana na maandiko moja kwa moja.
Hata kushabikia tu timu ya mpira ni haramu, bila kujali inavaa jezi gani
 
Jana tarehe 3/8/2024 ilikuwa ni siku ya Simba day. Ni siku ya pekee kwa wapenzi wa Simba katika kutambulisha wachezaji wapya, bench la ufundi, jezi n.k.
Tunajuwa viongozi siku zote wanakuwa mfano, ila hapo unyamani kuna baadhi ya viongozi hawosomeki sijuwi ni hawataki kuonyesha utambulisho wao au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia.
Hapa nitamzungumzia "JARIBU TENA". Simba day ni sikukuu, ni sherehe, ni tamasha, ni burudani lakini mwenzetu mbona havai jezi za Simba? Kama Jana amevaa kanzu. Kama hapendi jezi za Simba basi avae za Yanga.
Siku Yanga anakabidhiwa Kombe msimu uliopita, Rais Eng. Hersi alivaa jezi ya Yanga?
 
SImba ni timu ya wanachama wenye dini mchanganiko, ni ngumu kuleta hoja ya dini na wakati huna option ya mdhamini atakayeleta mpunga mrefu,hizi betting ndio kampuni zenye pesa ndefu.

Unafahamu kama bakhresa kuna mashindano alikataa kuipeleka azam kwasabbu sponsor alikuwa kampuni ya pombe??
Sasa si wajiuzulu tu?

Unakuwaje kiongozi wa timu ambayo ina najisi imani yako huku ukiwa huna mamlaka kukataa?
 
Kiukweli sababu ya msingi viongozi wa Simba tutokuvaa jezi zao ni mdhamini wao mkuu ambaye ni M-BET, hii ni kampuni ya kamari, kwa muislam safi kama Try Again / Mangungu/Dalali inakuwa ngumu sana kuvaa jezi zinazofanya promotion ya kamari na wakati dini ya kiislam ili jambo iliweka clear kabisa kama kamari ni HARAMU.

Ukivaa jezi manake unapingana na maandiko moja kwa moja.
Sa si wakafanye kazi huko kusiko ruhusu kubeti, ila fedha zitokanazo na wazamini wa bet zinalika siyo dhambi?
 
Back
Top Bottom