Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Timu kubwa kama Simba ambayo inafahamika dunia nzima haiwezi kuwa na watu wa hovyo hovyo na duni kama huyu kijana , huyu kwanza ana kashfa zisizo na idadi za kupiga picha za aibu na kuzisokomeza mtandaoni bila haya wala aibu ( Haifahamiki kama ana wazazi au la )
Huwezi kuwa na Mhamasishaji wa timu duni kama huyu ambaye hajui mpira , Hii timu ina wanachama na mashabiki wazito sana , kuanzia serikalini hadi kwenye vyama vya siasa , sasa kwa Mtembea uchi kama huyu anayejinadi kumpa kazi ndani ya Simba , ni sawa na kutukana wana Simba .
Waliompa kazi hii wanamjua vizuri sana tabia zake za kishenzi za mapicha ya utupu mitandaoni , ni lazima wawajibike , vinginevyo tutawatimua kabla hawajatudhalilisha zaidi .
Huwezi kuwa na Mhamasishaji wa timu duni kama huyu ambaye hajui mpira , Hii timu ina wanachama na mashabiki wazito sana , kuanzia serikalini hadi kwenye vyama vya siasa , sasa kwa Mtembea uchi kama huyu anayejinadi kumpa kazi ndani ya Simba , ni sawa na kutukana wana Simba .
Waliompa kazi hii wanamjua vizuri sana tabia zake za kishenzi za mapicha ya utupu mitandaoni , ni lazima wawajibike , vinginevyo tutawatimua kabla hawajatudhalilisha zaidi .