Viongozi wa Simba Who is Lameck Lawi hadi mnagombana na vitimu vidogo?

Viongozi wa Simba Who is Lameck Lawi hadi mnagombana na vitimu vidogo?

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Beki Lameck Lawi ni beki mzuri lakini sio wa kumgombea, acheni utoto mliopewa kazi ya kusajili.

Lawi ni difenda wa kawaida sana, Lawi hafiki hata robo ya Ibrahim Bacca.

Lawi hafiki hata nusu ya Bakary Nondo Mwamnyeto.

Hata kwa Kennedy, Lawi hamzidi kitu difenda huyo.

Lawi hana tofauti na Hussein Kaze.

Kinachomfanya mujidhalilidhe kwa kugombana na Coastal ni nini? Urefu wake? Wembamba wake? Lawi ana nini?

Tafuteni madifenda wengine, nyie wakubwa sana, kugombea mchezaji na Coastal ni mnajishusha sana wazee wangu, sana tena.

Simba kwa level mliyofikia ingawa mmeshajishusha sana kwa uongozi wa Try again haipaswi kufikiria wachezaji aina ya Lawi.Simba inatakiwa ku think big.

Kama hakuna madifenda msione haya kumrudisha Kennedy au tafuteni wachezaji wengine, msimu mzima huu hamkuona mabeki wa kati hadi mnalia lia na Coastal, come on.
 
Lawi Level za Kmc, simba inaonyesha wenye uelewa wa mpira wachache sana.
Bora wawaachie coastal mchezaji wao.
 
kuna timu imetokea ubelgiji (belgium) ikitaka saini yake kwa zaidi ya billioni 10 na timu hiyo ipo ligi kuu aliyocheza samatta ,,,,,,,,,,sasa za kijasusi jasusi tuuuu simba wakaona fursa ya hela sema walishindwa kamilisha malipo yake up to wiki hii inaanza so waka i HIJACK juu kwa juu ili wa belgiji wakija wafikie kwao simba na sio coastal
 
Wazee walioko simba wako kutafuta 10% hawako kuisaidia Simba hivyo kabsa
 
kuna timu imetokea ubelgiji (belgium) ikitaka saini yake kwa zaidi ya billioni 10 na timu hiyo ipo ligi kuu aliyocheza samatta ,,,,,,,,,,sasa za kijasusi jasusi tuuuu simba wakaona fursa ya hela sema walishindwa kamilisha malipo yake up to wiki hii inaanza so waka i HIJACK juu kwa juu ili wa belgiji wakija wafikie kwao simba na sio coastal
Figisu za Mo akionaga hela anakuwa kama mwehu
 
Beki Lameck Lawi ni beki mzuri lakini sio wa kumgombea, acheni utoto mliopewa kazi ya kusajili.

Lawi ni difenda wa kawaida sana, Lawi hafiki hata robo ya Ibrahim Bacca.

Lawi hafiki hata nusu ya Bakary Nondo Mwamnyeto.

Hata kwa Kennedy, Lawi hamzidi kitu difenda huyo.

Lawi hana tofauti na Hussein Kaze.

Kinachomfanya mujidhalilidhe kwa kugombana na Coastal ni nini? Urefu wake? Wembamba wake? Lawi ana nini?

Tafuteni madifenda wengine, nyie wakubwa sana, kugombea mchezaji na Coastal ni mnajishusha sana wazee wangu, sana tena.

Simba kwa level mliyofikia ingawa mmeshajishusha sana kwa uongozi wa Try again haipaswi kufikiria wachezaji aina ya Lawi.Simba inatakiwa ku think big.

Kama hakuna madifenda msione haya kumrudisha Kennedy au tafuteni wachezaji wengine, msimu mzima huu hamkuona mabeki wa kati hadi mnalia lia na Coastal, come on.
Timu ndogo ni ipi!
 
kuna timu imetokea ubelgiji (belgium) ikitaka saini yake kwa zaidi ya billioni 10 na timu hiyo ipo ligi kuu aliyocheza samatta ,,,,,,,,,,sasa za kijasusi jasusi tuuuu simba wakaona fursa ya hela sema walishindwa kamilisha malipo yake up to wiki hii inaanza so waka i HIJACK juu kwa juu ili wa belgiji wakija wafikie kwao simba na sio coastal
Hivi hivi ndo mlipigwa kwa kibu Denis...
 
Beki Lameck Lawi ni beki mzuri lakini sio wa kumgombea, acheni utoto mliopewa kazi ya kusajili.

Lawi ni difenda wa kawaida sana, Lawi hafiki hata robo ya Ibrahim Bacca.

Lawi hafiki hata nusu ya Bakary Nondo Mwamnyeto.

Hata kwa Kennedy, Lawi hamzidi kitu difenda huyo.

Lawi hana tofauti na Hussein Kaze.

Kinachomfanya mujidhalilidhe kwa kugombana na Coastal ni nini? Urefu wake? Wembamba wake? Lawi ana nini?

Tafuteni madifenda wengine, nyie wakubwa sana, kugombea mchezaji na Coastal ni mnajishusha sana wazee wangu, sana tena.

Simba kwa level mliyofikia ingawa mmeshajishusha sana kwa uongozi wa Try again haipaswi kufikiria wachezaji aina ya Lawi.Simba inatakiwa ku think big.

Kama hakuna madifenda msione haya kumrudisha Kennedy au tafuteni wachezaji wengine, msimu mzima huu hamkuona mabeki wa kati hadi mnalia lia na Coastal, come on.
Acha nikisapoti hata nikitukanwa.
 
Beki Lameck Lawi ni beki mzuri lakini sio wa kumgombea, acheni utoto mliopewa kazi ya kusajili.

Lawi ni difenda wa kawaida sana, Lawi hafiki hata robo ya Ibrahim Bacca.

Lawi hafiki hata nusu ya Bakary Nondo Mwamnyeto.

Hata kwa Kennedy, Lawi hamzidi kitu difenda huyo.

Lawi hana tofauti na Hussein Kaze.

Kinachomfanya mujidhalilidhe kwa kugombana na Coastal ni nini? Urefu wake? Wembamba wake? Lawi ana nini?

Tafuteni madifenda wengine, nyie wakubwa sana, kugombea mchezaji na Coastal ni mnajishusha sana wazee wangu, sana tena.

Simba kwa level mliyofikia ingawa mmeshajishusha sana kwa uongozi wa Try again haipaswi kufikiria wachezaji aina ya Lawi.Simba inatakiwa ku think big.

Kama hakuna madifenda msione haya kumrudisha Kennedy au tafuteni wachezaji wengine, msimu mzima huu hamkuona mabeki wa kati hadi mnalia lia na Coastal, come on.
Unadhani hawa akina mangungo akili zao zinajua unayosema?
Wamejaa dharau lakini ukweli ni kwamba kwa sasa Simba ni mbovu kwenye uongozi hivyo usitarajie mabadiliko makubwa ya kikosi.
 
Kwanza simba ndio kwanza walianza thank you mara gafla anatangazwa lawi kha
 
Beki Lameck Lawi ni beki mzuri lakini sio wa kumgombea, acheni utoto mliopewa kazi ya kusajili.

Lawi ni difenda wa kawaida sana, Lawi hafiki hata robo ya Ibrahim Bacca.

Lawi hafiki hata nusu ya Bakary Nondo Mwamnyeto.

Hata kwa Kennedy, Lawi hamzidi kitu difenda huyo.

Lawi hana tofauti na Hussein Kaze.

Kinachomfanya mujidhalilidhe kwa kugombana na Coastal ni nini? Urefu wake? Wembamba wake? Lawi ana nini?

Tafuteni madifenda wengine, nyie wakubwa sana, kugombea mchezaji na Coastal ni mnajishusha sana wazee wangu, sana tena.

Simba kwa level mliyofikia ingawa mmeshajishusha sana kwa uongozi wa Try again haipaswi kufikiria wachezaji aina ya Lawi.Simba inatakiwa ku think big.

Kama hakuna madifenda msione haya kumrudisha Kennedy au tafuteni wachezaji wengine, msimu mzima huu hamkuona mabeki wa kati hadi mnalia lia na Coastal, come on.
Unampond Lameck Lawi lakini unashindwa kutoa pendekezo la beki gani mzuri zaidi ya Lawi. Eti afadhali ya Kennedy Juma! Hujui kuwa huyo Kennedy Juma ulimjua baada ya Simba kusajili?
 
Beki Lameck Lawi ni beki mzuri lakini sio wa kumgombea, acheni utoto mliopewa kazi ya kusajili.

Lawi ni difenda wa kawaida sana, Lawi hafiki hata robo ya Ibrahim Bacca.

Lawi hafiki hata nusu ya Bakary Nondo Mwamnyeto.

Hata kwa Kennedy, Lawi hamzidi kitu difenda huyo.

Lawi hana tofauti na Hussein Kaze.

Kinachomfanya mujidhalilidhe kwa kugombana na Coastal ni nini? Urefu wake? Wembamba wake? Lawi ana nini?

Tafuteni madifenda wengine, nyie wakubwa sana, kugombea mchezaji na Coastal ni mnajishusha sana wazee wangu, sana tena.

Simba kwa level mliyofikia ingawa mmeshajishusha sana kwa uongozi wa Try again haipaswi kufikiria wachezaji aina ya Lawi.Simba inatakiwa ku think big.

Kama hakuna madifenda msione haya kumrudisha Kennedy au tafuteni wachezaji wengine, msimu mzima huu hamkuona mabeki wa kati hadi mnalia lia na Coastal, come on.
Umeongea points tupu ila subiri matusi kutoka kwa makolo wenzio utaaambiwe we uto
 
Back
Top Bottom