Viongozi wa TFF na bodi ya ligi wawe wajiuzulu kwa kushindwa kutafuta suluhu ya sintofahamu ya dabi ya Kariakoo

Viongozi wa TFF na bodi ya ligi wawe wajiuzulu kwa kushindwa kutafuta suluhu ya sintofahamu ya dabi ya Kariakoo

Alpaslan Bey

Senior Member
Joined
Nov 4, 2023
Posts
121
Reaction score
163
Ukweli ni kwamba, kwa nchi ambayo viongozi wake wanawajibika ilitakiwa mpaka mchana wa leo viongozi wa TFF na bodi ya ligi wawe wamejiuzulu kwa kushindwa kutafuta suluhu ya sintofahamu ya jana.

Kuna wakati unajiuliza hivi hawa viongozi wa mpira ikitokea wamepewa madaraka makubwa na ghafla tukavamiwa kama taifa, je watakuwa na uwezo wa kutulinda kweli?

Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Mpira ni suala la usalama wa taifa, hebu tujiulize hasara ambayo watu wamepata kwa siku ya leo, nguvu na hamasa ya mashabiki ilivyokufa. Tunaruhusu vipi usalama wa taifa letu ukachezewa??

Kuna siku hawa viongozi wanaweza kutuletea majanga makubwa sana.
 
Viongozi wote wa hii nchi hawapo Serious, Taasisi nyingi zinaendeshswa kijanja janja na mazoea kibao.

Usichukulie serius mambo ya Hii nchi.
Wananchi wenyewe wapumbavu na wajinga.
Wanawake ni wajinga wanaume ni wapumbavu.
 
Hamna wakujiuzulu nafasi yoyote ile kama unatamani cheo Tff subiri uchaguzi mkuu uje uchukue fomu
 
Viongozi wote wa hii nchi hawapo Serious, Taasisi nyingi zinaendeshswa kijanja janja na mazoea kibao.

Usichukulie serius mambo ya Hii nchi.
Wananchi wenyewe wapumbavu na wajinga.
Wanawake ni wajinga

Hawa wachache hawajustify na kutupa sabahu ya kusema viongozi wote wa taasisi zote hawapo serious japo baadhi ya taasisi kama ulivyosema viongozi wake wana shida.
 
Ukweli ni kwamba, kwa nchi ambayo viongozi wake wanawajibika ilitakiwa mpaka mchana wa leo viongozi wa TFF na bodi ya ligi wawe wamejiuzulu kwa kushindwa kutafuta suluhu ya sintofahamu ya jana.

Kuna wakati unajiuliza hivi hawa viongozi wa mpira ikitokea wamepewa madaraka makubwa na ghafla tukavamiwa kama taifa, je watakuwa na uwezo wa kutulinda kweli?

Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Mpira ni suala la usalama wa taifa, hebu tujiulize hasara ambayo watu wamepata kwa siku ya leo, nguvu na hamasa ya mashabiki ilivyokufa. Tunaruhusu vipi usalama wa taifa letu ukachezewa??

Kuna siku hawa viongozi wanaweza kutuletea majanga makubwa sana.


Dah, Kwa kweli Yanga mmeumia Sana..! Ndo hivyo Dabi ishaahirishwa.! Poleni Watani

Hamna namna.!

Sasa kusema eti ni Jambo la Usalama Wa Taifa inabidi ufafanue usitishe Watu ,nchi Ina amani kbs..!


Kosa ni Wale Mabaunsa sijui nani Kawatuma Kuzuia Mazoezi Ya Simba..!

Halafu, eti Wameshindwa kutafuta suluhu ,kwani Wewe ni Suluhu ipi inaizungumzia?

Bodi wameshasema Dabi Wataipangia Siku ingine,Suluhu Gani wewe unataka.,.. Mtani ukiendelea kulalamika ujue unajichoresha.!

Mabaunsa wamechomesha..!
 
Dah, Kwa kweli Yanga mmeumia Sana..! Ndo hivyo Dabi ishaahirishwa.! Poleni Watani

Hamna namna.!

Sasa kusema eti ni Jambo la Usalama Wa Taifa inabidi ufafanue usitishe Watu ,nchi Ina amani kbs..!


Kosa ni Wale Mabaunsa sijui nani Kawatuma Kuzuia Mazoezi Ya Simba..!

Halafu, eti Wameshindwa kutafuta suluhu ,kwani Wewe ni Suluhu ipi inaizungumzia?

Bodi wameshasema Dabi Wataipangia Siku ingine,Suluhu Gani wewe unataka.,.. Mtani ukiendelea kulalamika ujue unajichoresha.!

Mabaunsa wamechomesha..!
Mimi ni shabiki wa Simba sports club ila hili jambo ukilitazama kwa kufuata mapenzi ya timu huwezi kuona kama lina athari kwa raia na taifa kwa ujumla
 
Back
Top Bottom