mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hakika inashangaza sana kuona Viongozi wa Klabu ya Yanga na WAPENZI wa Klabu hiyo wanagomea sheria ya mavazi iliyotolewa na TFF.
Watanzania sio nchi ya wahuni,kiongozi kama Kocha lazima uvae mavazi ya heshima kama suti,track sute au hata shati na suruali.
Kitendo cha Kocha kuvaa vipensi sio sahihi ,vipensi ni mavazi ya kihuni.Tanzania ni nchi yenye kuheshimu Maadili. Tunaushauri Uongozi wa Yanga uheshimu sheria ya mavazi kwa Kocha wao.
Watanzania sio nchi ya wahuni,kiongozi kama Kocha lazima uvae mavazi ya heshima kama suti,track sute au hata shati na suruali.
Kitendo cha Kocha kuvaa vipensi sio sahihi ,vipensi ni mavazi ya kihuni.Tanzania ni nchi yenye kuheshimu Maadili. Tunaushauri Uongozi wa Yanga uheshimu sheria ya mavazi kwa Kocha wao.