Mkuu, una maana kocha anafanya ya Maxime wa Mtibwa? Siamini. Lingine kumbuka timu inafanya vizuri na kawaida kwa kocha yoyote kuendelea na wachezaji waliopo kama wanafanya vizuri.
Tunayaona hayo hata ulaya. Kukitokea majeruhi atapata nafasi yake. Pia kuna masuala ya kadi za njano. Nafasi itakuja tu lakini hawezi kupangua winning formula iliyopo.