Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,396
- 4,080
Viongozi wa Yanga mwambie ukweli kocha Nabi kuwa klabu ya simba ilikwishacheza nusu fainal klabu bingwa na fainal kombe la shirikisho inaonekana haijui vizuri Simba.
Kama alikuwa anadhani yeye ni kocha wa kwanza kuingiza klabu za tanzania nusu fainal basi kachemka.
Makocha wa Simba walishacheza nusu fainal na fainal ila atakuwa kocha wa kwanza kuiingia Yanga.
Simba ni klabu kubwa sana.
Kama alikuwa anadhani yeye ni kocha wa kwanza kuingiza klabu za tanzania nusu fainal basi kachemka.
Makocha wa Simba walishacheza nusu fainal na fainal ila atakuwa kocha wa kwanza kuiingia Yanga.
Simba ni klabu kubwa sana.