Viongozi wa yanga wanaihujumu timu

wakimataifa.

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
1,625
Reaction score
558
Kuna maneno mengi sana kwenye magroup yakiwahushisha asilimia kubwa kuihujumu timu aidha kuihujumu GSM
Wanadai wanawambia sana taratibu za kusaidia timu wanaonekana waongo wanawasikiliza sana waongo ambao hawasaidii timu
Wanadai hawaamini tena yanga kutokuchukua ubingwa mwaka huu
 
 

Kama kuna uwezekano, ungerudia kuiandika hii mada yako upya ili ieleweke. Ni ushauri tu lakini. Mimi sijaelewa kitu.
 
Sawa
Sisi tunachukua kombe
Ninyi endeleeni kugombana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…