fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
haya ni mambo muhimu sana kwa maendeleo ya yanga ndani ya miaka 10 ijayo:
1.kujenga uwanja
2.kumnunulia gari kila mchezaji
3.kununua ndege kwa ajili ya usafiri
4.kujenga sanamu ya tabu mangara tabu makao makuu ya yanga
5.kuanzisha maduka ya kuuza bidhaa za yanga nchi nzima
6.kushirikiana na azam tv kuitangaza yanga dunia nzima
7.kuanzisha timu ya yanga kwenye kila nchi afrika mashariki
5.
1.kujenga uwanja
2.kumnunulia gari kila mchezaji
3.kununua ndege kwa ajili ya usafiri
4.kujenga sanamu ya tabu mangara tabu makao makuu ya yanga
5.kuanzisha maduka ya kuuza bidhaa za yanga nchi nzima
6.kushirikiana na azam tv kuitangaza yanga dunia nzima
7.kuanzisha timu ya yanga kwenye kila nchi afrika mashariki
5.