Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 999
- 1,683
Shida ipo mkuu JPM hutuma watu wazito kama walivyofanya BURUNDI
Una hakika gani kuwa mdudu hatunaye TZ? Usimcheke anayeteseka.Wao wamekikumbatia kidudu Corona kwa sasa.
Akwenda Ndiyo hakwendaNa maanisha akwenda yeye
Watu wametapeliwa pesa zao za Korosho...Hivi ni kwa nini hata barabarani unakopita mwili hakuna raia wamejipanga kupunga mikono? Ni wachache sana kwa kiongozi Mkuu wa nchi aliyepita. Au hawakuhamasisha?
hata balozi wao hapa nchini ni mwakilishi, sisi tulipeleka maraisi wawili wastaafu, hii ni dharau, Mkapa aliwasaidia sana, wangeonyesha hata unafiki tu.Wametuma wawakilishi.
Nimeona bendera zao pia zinapepea nusu mlingoti.
Kazi ya kuhamasisha anaiweza Makonda, Makonda angeweza hata kuwakusanya wana siasa wa mikoa jirani kwa posho ili waje wajae mabarabarani.
Hawampendi Magufuli kwa ubabe wake amejikuta mpweke waziri mkuu wa Burundi kamtoa kimasomasoMaana naona ni kama Waziri Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwa sababu ya Korona au hawakuona umuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA?
Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame, nao wamegoma?
Nakumbuka alipokufa Moi, Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au?
Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe,
Hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao wala kutoa hifadhi wa wakimbizi kutoka kwao.
View attachment 1519387
Kwaheri mzee Baba, Watanzania tunatosha.
Ni heshima ya Mkapa mwenyewe na sio MagufuliKupeperusha bendera nusu mlingoti kwa siku tatu ni ishara tosha tupo nao pamoja. Covid wameikumbatia na imewapenda zaidi.
Kenyatta hapendi unafiki,, watanzania wengi tuna unafiki wa kuwango cha juu,,,
Hahah hapo umeua mzee baba.Sio kumwamini tu so far ameshaplay part gani yenye tija kwa taifa zaidi ya uongo tu?
Ndege waliyopanda ilipata hitilafu njiani ikalazimika kurudi NairobiWrite your reply...labda na wao wametuma wawakilishi wao
Raila tangu kipindi kile aseme Magu hapokei simu za wenzake wa E/Africa naona urafiki wake na mkuu uliishia pale.
Aarh hio noma hopefully mambo ya Corona ndio yamefanya wasije lkn ikiwa ni mambo ya mzee baba hawatembelei na wao wakalipa kisasi then kidiplomasia kuna cha kurekebisha hapo.
Nilitegemea rais wa Burundi aje maana kule kwao mambo ya Corona nao 'yameshaisha'kama bongo ila nilivyoona nae katuma mwakilishi nikaona hii inafikirisha kidogo.
Burundi ame winKwenye shida ndipo utapi mjua yupi rafiki yupi mnafiki.
Kumbe Hamjaelewa kitu,; Keny ni wataalam wa kucheza na Fursa. Kuna tetesi wanazalisha takwimu ili Wavute Mpunga Mrefu Sham on themKenyatta: Kenya isilinganishwe na nchi zinazoficha takwimu za Corona ambazo pia hazina uhuru wa habari na demokrasia. Yani Tanzania iliyokuwa ya mfano inapigwa madongo na Kenya.
Kenyatta hawezi kuja kwenye nchi ya hivyo.
Ungeelewa na hata Kubobea tu katika Itifaki na Principles zake Kuu wala usingeshangaa kutowaona leo akina Rais Museveni na Rais Kagame Mkuu.
Kakudanganya naniKumbe Hamjaelewa kitu,; Keny ni wataalam wa kucheza na Fursa. Kuna tetesi wanazalisha takwimu ili Wavute Mpunga Mrefu Sham on them