Ukienda kucheza vilabu vikubwa ujue unaweza kupoteza njia kbs, Lamwai alikuwa mtu wa kukumbukwa sn lkn alipoamua kurudi jalalani kwa mafisadi ndo mwisho wake, kwani kutetea ufisadi ni kazi ngumu sn. kama Shitambala atakapo potea namuahidi kuwa ndiyo mwisho wake kwani matope floods siyo sawa na water floods, ccm ni matope mazito lkn cdm ni bahari shwari floods zake hugharikishankwa haraka sn