Viongozi waliofanya Mapinduzi Niger wakubali kuzungumza na ECOWAS

Viongozi waliofanya Mapinduzi Niger wakubali kuzungumza na ECOWAS

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1691993787452.png
Taarifa imethibitishwa na Wanazuoni wa Kiislamu waliokutana na Kiongozi wa Mapinduzi hayo, Jenerali Abdourahamane Tchiani kwaajili ta kutafuta suluhu ya mzozo unaoendelea.

Mazungumzo hayo yamefanyika wakati Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) ikiendelea kutafuta njia za kumrejesha Madarakani Rais Mohamed Bazoum licha ya muda wa wiki moja iliyotoa kwa Wanajeshi hao kumalizika.

Marekani na Ufaransa zimeungana na ECOWAS kutaka Niger ivamiwe Kijeshi ili kurejesha Utawala wa Kiraia. Nchi nyingine zilizokumbwa na Mapinduzi ndani ya miaka 3 kutoka Afrika Magharibi ni Burkina Faso, Mali, Chad, Guinea na Niger yenyewe.
 
Ukisikiliza hizi clip unatamani mapinduzi yaendelee kuleta ukombozi wa kiuchumi barani Africa, wazungu wanatufanya kitu kibaya sana Africa kutumia puppets wao hapa AfriKa.
 

Attachments

  • VID-20230807-WA0095.mp4
    25.1 MB
  • VID-20230813-WA0009.mp4
    14.7 MB
  • VID-20230814-WA0000.mp4
    10.2 MB
Mimi ninachofahamu ni kile alichokisema kaburu Pieter Bother kuhusu mwafrika mweusi na hayo mengine ni porojo tu.
 
Back
Top Bottom