Viongozi wangu wa Simba naomba mtupe kazi ya kwenda kuusafisha uwanja kesho vinginevyo yatatukuta kama wenzetu Yanga

Viongozi wangu wa Simba naomba mtupe kazi ya kwenda kuusafisha uwanja kesho vinginevyo yatatukuta kama wenzetu Yanga

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Wenzetu wamepigana pini wao kwa wao, uwanja wameshauchafua kwa mipango yao ya nje, naomba mtupe kazi kesho asubuhi tubebe mafagio na dawa zetu tunazozijua wenyewe tukausafisha uwanja ule ili aibu iliyowakuta wenzetu kesho isitukute.

Tafadhalini sana viongozi, mechi tulizocheza uwanja wa Taifa hatukucheza vizuri zote, mechi na Bravos hatukucheza vizuri uwanja wa Mkapa, mechi na mtunisia nayo imetulazimisha dakika za jioooooooni Kibu Dennis alete furaha, kesho tunahitaji ushindi mapema, ili tushinde lazima uwanja tuusafishe vinginevyo hata kama tumefuzu lakini itakuwa aibu sana.

Uwanja usafishwe kesho asubuhi na mashabiki wenyewe wa simba wachache nikiwemo mie ili nikawashikishe adabu watunisia hao, dawa yao ipo kama mtatuamini baadhi yetu.
 
Kilichomkuta Yanga amefurushwa kwenye mashindano

Option hiyo kesho haipo
 
Kuna shabiki wa utopolo nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba namuona kanyweea huku akivuta punzi ndefu🤣🤣🤣
 
Simba mwisho wao ni robo uko kombe la kina Mama. Huwezi kuwa na washambuliaji Kama Kibu na Ateba na wewe utake kucheza Fainali kama Yanga ya Mayele.

Ni akili za Ki mbumbumbu tu kuwa na matarajio ayo.
 
Simba mwisho wao ni robo uko kombe la kina Mama. Huwezi kuwa na washambuliaji Kama Kibu na Ateba na wewe utake kucheza Fainali kama Yanga ya Mayele.

Ni akili za Ki mbumbumbu tu kuwa na matarajio ayo.
Simba ya kublan ,bacary sarr,chama ,ilicheza club bingwa robo fainali yanga ya chama,Aziz,dube,auch imeishia makundi.tafuteni wachezaji hawa ni waganga wa jadi 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom