Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Mechi ambazo tunatoka sare unaona kabisa tumezidiwa mambo ya nje ya uwanja na nina wasiwasi sana kuelekea tarehe 8, tulikomaliwa na Fountain Gate kwa mambo ya nje ya uwanja, Azam naye akatuwekea ngumu kwa kusaidiwa na utopolo,
huwa mara nyingi sana Azam wanaombaga msaada utopolo wakitaka kuikabili Simba, nakumbuka nusu fainali ya Simba vs Azam kule Mtwara nilikuwepo, waganga wa utopolo ndio waliisaidia sana Azam wakishirikiana na watu wa Lindi, waganga walitokea Mtwara na Lindi, mechi ile Simba tulitolewa na Azam kwenye nusu fainali, mara nyingi mechi za Simba vs Azam ukiona sare ya 2 kwa 2 ujue mipang nje ya uwanja ilifanyika na kwetu haijakaa vizuri.
Wenzetu Utopolo wako kazini sasa hivi ili kutumaliza tarehe 8, wanasema wenyewe wajinga wajinga wao kuwa mpira unachezwa uwanjani lakini sio kweli, ndio maana wamefichuliwa siri zao kuwa hawaachi kwenda Pangani.
Leo Azam ametoka sare na Namungo pale Chamazi, lakini Azam yule ndio katuchomolea goli dakika za lala salama, huyu Azam hatatoka salama kwa Yanga.
Ushauri wangu lazima tujipange tuwe na watu wakatili, watu wetu wanaopewa kazi pia sio waaminifu, njaa zinawafanya wauze ishu zote, sio ajabu hata gemu na Yanga wanavujisha kila jambo.
Nimeumia sana leo.
huwa mara nyingi sana Azam wanaombaga msaada utopolo wakitaka kuikabili Simba, nakumbuka nusu fainali ya Simba vs Azam kule Mtwara nilikuwepo, waganga wa utopolo ndio waliisaidia sana Azam wakishirikiana na watu wa Lindi, waganga walitokea Mtwara na Lindi, mechi ile Simba tulitolewa na Azam kwenye nusu fainali, mara nyingi mechi za Simba vs Azam ukiona sare ya 2 kwa 2 ujue mipang nje ya uwanja ilifanyika na kwetu haijakaa vizuri.
Wenzetu Utopolo wako kazini sasa hivi ili kutumaliza tarehe 8, wanasema wenyewe wajinga wajinga wao kuwa mpira unachezwa uwanjani lakini sio kweli, ndio maana wamefichuliwa siri zao kuwa hawaachi kwenda Pangani.
Leo Azam ametoka sare na Namungo pale Chamazi, lakini Azam yule ndio katuchomolea goli dakika za lala salama, huyu Azam hatatoka salama kwa Yanga.
Ushauri wangu lazima tujipange tuwe na watu wakatili, watu wetu wanaopewa kazi pia sio waaminifu, njaa zinawafanya wauze ishu zote, sio ajabu hata gemu na Yanga wanavujisha kila jambo.
Nimeumia sana leo.