Viongozi wangu wa Simba,tafadhali tunaomba mrejesho wa FIFA kuhusu rufaa yetu!

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
Maana naona mnayatumia magazeti kwa kupamba usajiri wa Niyonzima.Siye tungependa mtupe na mrejesho wa rufaa yetu bhana acheni kutuona watoto wadogo sisi kwa kutudanganyishia pipi ili tulale!!
 
Maana naona mnayatumia magazeti kwa kupamba usajiri wa Niyonzima.Diye tungependa mtupe na mrejesho wa rufaa yetu bhana acheni kutuona watoto wadogo sisi kwa kutudanganyishia pipi ili tulale!!
Una akili sana....
 
Wewe ndio shabiki mwenye akili uliebakia hapo Mkiani,tena ndio Niyonzima kasajiliwa na Okwi anakuja badala ya kuulizia points zao za FIFA watauomba uongozi wao uombe match ya kirafiki na Yanga haraka sana ili waweze kuwafunga wafidie hizo point za FIFA.
 
Wewe ni mamluki, kwa sasa tunafanya usajili kwa ajili ya ligi za ndani na za kimataifa, usituhamishe kwenye lengo.
 
Hata msajili Messi, hili swali tutawauliza tu ....msifanye kila mtu ni mchumia tumbo km hao mliowazoesha !!

Okay, nadhani issue ya Niyonzima imewauma sana.

Tumeshakubali kwamba mmechukua ubingwa, sisi tunajikita kwa mambo ya mbeleni.
 
Mkuu kadi yako ya uanachama iko active?
Kwa nn, umezoea wale wa buku buku wa kuwaongopea kila siku ?. Ipo ingawa zilipoliwa hela za rambirambi ya mafisango niitupa !! Zile zilizofuatia si ndiyo zinafutika baada ya muda, yaani kuna mijizi ktk uongozi labda tuombe ngosha awatumbue..

Hao sasa hv mnapata kiki lkn itafika mahali kabla hata ya nusu msimu....nao mtasema wanauza, au wamezeeka...
 
Wewe ni mamluki, kwa sasa tunafanya usajili kwa ajili ya ligi za ndani na za kimataifa, usituhamishe kwenye lengo.
Tuachie timu yetu wewe dogo,unajua tumetoka nayo wapi?
Tunataka mrejesho wa pointi zetu fasta!
Mambo ya Niyonzima ni umbumbumbu tu!!
Hivi hao Niyonzima na Okwi ndio chanzo cha kuukosa ubingwa miaka yote hiyo!!!
Tunazitaka pointi zetu kutoka FIFA!!
 
Tuachie timu yetu wewe dogo,unajua tumetoka nayo wapi?
Tunataka mrejesho wa pointi zetu fasta!
Mambo ya Niyonzima ni umbumbumbu tu!!
Hivi hao Niyonzima na Okwi ndio chanzo cha kuukosa ubingwa miaka yote hiyo!!!
Tunazitaka pointi zetu kutoka FIFA!!

Sawa, ulizieni hizo point.

Watu mmepigwa uwanjani mnataka ushindi wa mezani?

Badala tujadili jinsi tulivyopoteza gap la point nane, leo tunalilia point za Kagera?
 
Jibu mujarabu
 
Eti wanakuja na single mpya ya D.Ngoma ya kutua msimbazi kwa mil 180 hawajui kuwa huyu ni master of injury.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…