Viongozi wangu wa Simba tusiende Kigoma kuikabili Mashujaa kitoto, jamaa wako vizuri msimu huu

Viongozi wangu wa Simba tusiende Kigoma kuikabili Mashujaa kitoto, jamaa wako vizuri msimu huu

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Moja ya mechi ngumu mikoani ni pamoja na hawa wanajeshi wa mpakani, Mashujaa, msimu huu wako vizuri sana, leo nimewaona wakiipelekesha Fountain Gate pale Kirumba na ilikuwa waondoke na point 3 lakini Salum Kihimbwa akasawazisha.

Mashujaa wamebadilika sana, msimu uliopita hawa jamaa kule kwao walitukazia tukatoka nao sare, msimu huu wako vizuri sana kuliko msimu uliopita, ombi langu viongozi wa Simba mechi hii tuipe uzito na tujue kabisa tunakwenda kupambana na timu ngumu sana msimu huu, hawa jamaa wametupania sana.

Kocha Fahdu aambiwe kuwa hii mechi ni ya kuweka watu wa kazi mwanzo mwisho, tunataka kumaliza mchezo kipindi cha kwanza tu.Inshaallah
 
Watu wakazi kina ahua? Machezi hawajui sehem gani yatoe pass sehem gani yapige shuti hivyo kabsa
 
Timu yoyote ikiweza kukabiliana na Simba kwa dakika 20 za mwanzo basi timu hiyo ina nafasi kubwa ya kupata sare au kushinda. Simba hucheza vizuri kwa dakika 20 za mwanzo tu
Hili la Simba kukata upepo dakika ya 70 linashtua mno
 
Simba ina kazi kwelikweli kila mtu anataka kuishauri hadi wehu wanataka kuishauri.
Kwani kwenye hii ligi timu inayotakiwa kushinda ni simba tu? Wengine hawatakiwi kushinda? Hawatakiwi kupewa ushauri?

Namungo,azam , dodoma jiji hawahitaji ushauri ?
 
Moja ya mechi ngumu mikoani ni pamoja na hawa wanajeshi wa mpakani, Mashujaa, msimu huu wako vizuri sana, leo nimewaona wakiipelekesha Fountain Gate pale Kirumba na ilikuwa waondoke na point 3 lakini Salum Kihimbwa akasawazisha.

Mashujaa wamebadilika sana, msimu uliopita hawa jamaa kule kwao walitukazia tukatoka nao sare, msimu huu wako vizuri sana kuliko msimu uliopita, ombi langu viongozi wa Simba mechi hii tuipe uzito na tujue kabisa tunakwenda kupambana na timu ngumu sana msimu huu, hawa jamaa wametupania sana.

Kocha Fahdu aambiwe kuwa hii mechi ni ya kuweka watu wa kazi mwanzo mwisho, tunataka kumaliza mchezo kipindi cha kwanza tu.Inshaallah

Mashujaa wapo vizuri aisee

Ile foward wao mweusi yenye upara inaitwa Ismail Mgunda ni hatari aisee,, ana nguvu, speed, good Ball control, mzuri chini mzuri juu kwenye kuruka, lazima achungwe sana

Pia wapo wasumbufu kina Seif Rashid Karihe, Hassan Ali na Stambuli mzee wa kazi chafu pale kati

Simba iende kwa tahadhari
 
Simba ina kazi kwelikweli kila mtu anataka kuishauri hadi wehu wanataka kuishauri.
Kwani kwenye hii ligi timu inayotakiwa kushinda ni simba tu? Wengine hawatakiwi kushinda? Hawatakiwi kupewa ushauri?

Namungo,azam , dodoma jiji hawahitaji ushauri ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hadi wehu .Nimwendo wa kugalagala
 
Watu wakazi kina ahua? Machezi hawajui sehem gani yatoe pass sehem gani yapige shuti hivyo kabsa
Kuna mchezaji wako yoyote wa eneo analocheza Ahoua kwenye hii Ligi mpaka sasa anamzidi perfomance Ahoua?

Acha chuki
 
Moja ya mechi ngumu mikoani ni pamoja na hawa wanajeshi wa mpakani, Mashujaa, msimu huu wako vizuri sana, leo nimewaona wakiipelekesha Fountain Gate pale Kirumba na ilikuwa waondoke na point 3 lakini Salum Kihimbwa akasawazisha.

Mashujaa wamebadilika sana, msimu uliopita hawa jamaa kule kwao walitukazia tukatoka nao sare, msimu huu wako vizuri sana kuliko msimu uliopita, ombi langu viongozi wa Simba mechi hii tuipe uzito na tujue kabisa tunakwenda kupambana na timu ngumu sana msimu huu, hawa jamaa wametupania sana.

Kocha Fahdu aambiwe kuwa hii mechi ni ya kuweka watu wa kazi mwanzo mwisho, tunataka kumaliza mchezo kipindi cha kwanza tu.Inshaallah
namungo kafa 3 wakimbizi lazima wafe4 nimwendo wa kuwapiga tu ndugu yangu hakuna namna
 
Moja ya mechi ngumu mikoani ni pamoja na hawa wanajeshi wa mpakani, Mashujaa, msimu huu wako vizuri sana, leo nimewaona wakiipelekesha Fountain Gate pale Kirumba na ilikuwa waondoke na point 3 lakini Salum Kihimbwa akasawazisha.

Mashujaa wamebadilika sana, msimu uliopita hawa jamaa kule kwao walitukazia tukatoka nao sare, msimu huu wako vizuri sana kuliko msimu uliopita, ombi langu viongozi wa Simba mechi hii tuipe uzito na tujue kabisa tunakwenda kupambana na timu ngumu sana msimu huu, hawa jamaa wametupania sana.

Kocha Fahdu aambiwe kuwa hii mechi ni ya kuweka watu wa kazi mwanzo mwisho, tunataka kumaliza mchezo kipindi cha kwanza tu.Inshaallah
Mtapigwa kama ngoma.
 
Kuna mchezaji wako yoyote wa eneo analocheza Ahoua kwenye hii Ligi mpaka sasa anamzidi perfomance Ahoua?

Acha chuki
Anaonekana tu kwenye mechi za mikakati pekee.
1) vs Tabora wachezaji wa kigeni hawakuruhusiwa kucheza
2) vs Fountain gate, wachezaji wa kigeni hawakuruhusiwa kucheza
3) vs Namungo tawi
4) vs Yanga msaada 0
5) vs Dodoma msaada 0
6) vs Coastal msaada 0
7) vs Prisons msaada 0
 
Anaonekana tu kwenye mechi za mikakati pekee.
1) vs Tabora wachezaji wa kigeni hawakuruhusiwa kucheza
2) vs Fountain gate, wachezaji wa kigeni hawakuruhusiwa kucheza
3) vs Namungo tawi
4) vs Yanga msaada 0
5) vs Dodoma msaada 0
6) vs Coastal msaada 0
7) vs Prisons msaada 0
Jibu swali achana na maneno ya kwenye kahawa

Taja mchezaji wako yoyote anaecheza nafasi ya Ahoua mwenye perfomance bora kumzidi kwenye hii ligi ilipofikia mpaka sasa?
 
Anaonekana tu kwenye mechi za mikakati pekee.
1) vs Tabora wachezaji wa kigeni hawakuruhusiwa kucheza
2) vs Fountain gate, wachezaji wa kigeni hawakuruhusiwa kucheza
3) vs Namungo tawi
4) vs Yanga msaada 0
5) vs Dodoma msaada 0
6) vs Coastal msaada 0
7) vs Prisons msaada 0
Huyo Dube hata game za Mikakati hafungi..Hata Yale magoli yenu Tata hawezi! Huyo Aziz Ki ni kama ana kinyama makalioni
 
Huyo Dube hata game za Mikakati hafungi..Hata Yale magoli yenu Tata hawezi! Huyo Aziz Ki ni kama ana kinyama makalioni
Ndio ujue Yanga haitegemei mchezaji mmoja mmoja, pamoja na performance mbovu ya Dube na Aziz Ki ila timu haijaruhusu goli na tokea msimu uanze imeshinda michezo yote ya kimashindano. Timu yako Mavambo akitepeta tu shughuli imeisha
 
Simba ina kazi kwelikweli kila mtu anataka kuishauri hadi wehu wanataka kuishauri.
Kwani kwenye hii ligi timu inayotakiwa kushinda ni simba tu? Wengine hawatakiwi kushinda? Hawatakiwi kupewa ushauri?

Namungo,azam , dodoma jiji hawahitaji ushauri ?
Kwahiyo mtoa uzi ni mwehu?
 
Back
Top Bottom