Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwenye chaguzi za kidemokrasia hakuna Jinsia ndio maana Rais wa Tanzania ni MwanamkeUongozi wa wanaume,,mwanamke yupo mmoja Tena msindikizaji
kwamba viongozi ndio hao, wamejibana kwenye kaofisi na kameza kadogoooTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba viongozi wapya waliochaguliwa hivi karibuni Kanda ya Nyasa, Wameanza Kazi Rasmi leo.
Wamefika kwenye ofisi za Kanda ya Nyasa na kuanza kazi mara moja, Vigogo hao wazito wameongozwa na Mwenyekiti wao Joseph Mbilinyi, yumo pia Makamu Mwenyekiti Frank Mwakajoka na kupokelewa na Mwenyeji wao Katibu wa Kanda hiyo Gwamaka Mbhughi
View attachment 3009602
Hatutakujulisha kila Jambo, tumekupa Dondoo tukwamba viongozi ndio hao, wamejibana kwenye kaofisi na kameza kadogooo
halafu huyo jamaa anataka kutuambia kwamba mwenyekiti wa kanda hana computer sio, yeye pekee ndio anayo dah
dah,Hatutakujulisha kila Jambo, tumekupa Dondoo tu
Rufaa haisimamishi shughuli za ChamaMchungaji Msigwa kakata Rufaa lakini viongozi wataendelea ππ
Ni kweli hata Rufaa ya akina Halima Mdee ππRufaa haisimamishi shughuli za Chama
Sugu ndio brain ya Chadema kanda yote ya Nyasa. Uko ni kuchanganyikiwa
Umefurahi tunakujua upo timu sugu!Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba viongozi wapya waliochaguliwa hivi karibuni Kanda ya Nyasa, Wameanza Kazi Rasmi leo.
Wamefika kwenye ofisi za Kanda ya Nyasa na kuanza kazi mara moja, Vigogo hao wazito wameongozwa na Mwenyekiti wao Joseph Mbilinyi, yumo pia Makamu Mwenyekiti Frank Mwakajoka na kupokelewa na Mwenyeji wao Katibu wa Kanda hiyo Gwamaka Mbughi.
PIA SOMA:
- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
- Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa
Chadema hakuna TimuUmefurahi tunakujua upo timu sugu!