Black Jesus
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 256
- 10
Hebu fafanua hapa patamu kidogo.
Black Jesus,Mw'falsafa1
kama ajenda za serikali moja ya muungano hilo wasubiri wrath na hasira ya wazanzibar wote inabidi mpaka sisi tulioko huku kwa "maza" Merkel turudi kusaidia "jeshi" la ukombozi, lakini kama ni serikali ya umoja wa kitaifa baina ya vyama vya siasa aaah! hilo kwa mikono miwili na lije.
Wacha ndoto zako za mchana...!Wale ambao hawatokubali serakali moja watajikuwa nje ya madaraka ifikapo uchaguzi ujao wa 2010 .