Viongozi wenye dhamana waache utapeli ajira mpya

Viongozi wenye dhamana waache utapeli ajira mpya

MAKUNJA1

Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
5
Reaction score
0
Unapokuwa unasubiri jambo,na kwa mapana yake ,wahusika wenye dhamana haswa viongozi walio na dhamana ya kuaminisha au kuondolea utata jambo hilo wanapokuja na kauli za kilaghai na kitapeli,huu ni utesaji na kutoa mateso kwa yule anayesubiri jambo hilo tena kwa muda mrefu sana.Hapa nazungumzia kauli yenye utata wa kutokutimia malengo kama ilivyotolewa na katibu mkuu wa OWM TAMISEMI-KUHUSU AJIRA MPYA ZA WALIMU,kama isipotimia kauli yake hiyo aliyotoa,tena kwa tarehe rasmi kama ya leo,KIONGOZI HUYU ATAKUWA NI MTESAJI WA KIFIKRA,KIMWILI NA KIUTENDAJI KWA WATANZANIA WENGI AMBAO MACHO YAO YOTE YAKO MTANDAONI KUSUBIRI HATMA ZAO.KIONGOZI HUYU ATAKUWA AMEDHALILISHA OFISI YA WAZIRI MKUU,ATAKUWA NI MROPOKAJI NA TAPELI KWA MINAJILI YA KUTETEA JAMBO AMBALO HANA UHAKIKA NALO NA HATEGEMEI KAMA HATA LITAKUWA NA UHAKIKA JAMBO HILO.Kiongozi mkubwa kama yeye asije kuwaweka Watanzania WAALIMU waishi maisha ya kubahatisha kama yeye ANAVYOBAHATISHA KAULI ZAKE KWA KUTUFANYA WALIMU WAJINGA.
 
Unapokuwa unasubiri jambo,na kwa mapana yake ,wahusika wenye dhamana haswa viongozi walio na dhamana ya kuaminisha au kuondolea utata jambo hilo wanapokuja na kauli za kilaghai na kitapeli,huu ni utesaji na kutoa mateso kwa yule anayesubiri jambo hilo tena kwa muda mrefu sana.Hapa nazungumzia kauli yenye utata wa kutokutimia malengo kama ilivyotolewa na katibu mkuu wa OWM TAMISEMI-KUHUSU AJIRA MPYA ZA WALIMU,kama isipotimia kauli yake hiyo aliyotoa,tena kwa tarehe rasmi kama ya leo,KIONGOZI HUYU ATAKUWA NI MTESAJI WA KIFIKRA,KIMWILI NA KIUTENDAJI KWA WATANZANIA WENGI AMBAO MACHO YAO YOTE YAKO MTANDAONI KUSUBIRI HATMA ZAO.KIONGOZI HUYU ATAKUWA AMEDHALILISHA OFISI YA WAZIRI MKUU,ATAKUWA NI MROPOKAJI NA TAPELI KWA MINAJILI YA KUTETEA JAMBO AMBALO HANA UHAKIKA NALO NA HATEGEMEI KAMA HATA LITAKUWA NA UHAKIKA JAMBO HILO.Kiongozi mkubwa kama yeye asije kuwaweka Watanzania WAALIMU waishi maisha ya kubahatisha kama yeye ANAVYOBAHATISHA KAULI ZAKE KWA KUTUFANYA WALIMU WAJINGA.

usipaniki siku haijaisha
 
Ccm oyeeee!!! ndo mjifunze sasa ninyi walimu.
 
hatuzungumzii itikadi ya chama,ila somo TUMEJIFUNZA NA MPAKA SASA NI WALIMU
 
Sasa haya mambo gani up to now no any good news? Asaa kwani si bora asingesema tu,,michongo gani sasa hii ya kiboyaaaaa huuu ni uhuni sasa eee lazima niseme uhuni bwana.Tena akatoa na tangazo kubwa kwenye tovuti ya Tamisemi,,,,mkubwa daaah sikutegemeaaa siasa hadi kwenye maisha ya watu zaidi ya elfu 40 haswaa huu ni ufedhuli mkubwaa eee ufedhuli!!! Hata ukisema siku haijaishaaaa but hivi unaijuaa tension ya kusubiri matokeo wewe? haswa kwenye jambo lenye utata kama hili? hatujui kama jina litakuwemo amaaa laaah kwani mlishaanza FIGISUFIGISU oooh arts mmejaa sawa sisi tumejaa haya mtoee basi tujuee tunahusika au hatuhusiki aaaaagh.
Watu since jana hatujalala kwa KIMUHEMUHE CHA AJIRA but ndompaka sasa peuuupeeeeee daaah kiukweli hii nchi bora ingekua kama urusi tu full kijeshi aaaaaaah filderi castro njoo bongo uwafunze viongozi wetu kuwa acuracy
 
Walimu wenzangu wa mwaka huu wazee wa Poli kwa poli ( PKP) naona viroho juu, presha inazidi kupanda.
Tutulie walimu siku ikiisha ndo tuanze kuchonga.
 
Kwa mara ya kwanza leo ndo naunga mkono ule usemi wa '' bora kuzaliwa mbwa ulaya lakini siyo binadam tz''
 
lile tangazo lilikuwa la kisiasa walitoa ili kuwajibu tz daima
 
umaskini!kama we TAJIRI KIVYAKO!TUNAONGELEA AJIRA MPYA WE UNAZUNGUMZIA UMASKINI!KAMA WE TAJIRI UNGEKUWA UNAISHI DUNIA YA KWANZA,LAKINI DUNIA YA TATU NA UNAWAONGEA WENZAKO MASKIN............POOR MIND...................UMEFILISIKA HOJA.....NA UNAPRETEND TAJIRI
 
Back
Top Bottom