Tunawaomba sana Viongozi wetu wa dini kwa imani zote wakemee vitendo vya kishirikina na ramli chonganishi vinavyo chagizwa zaidi na Wanasiasa wenye uchu wa kutafuta nafasi za teuzi, wasaka vyeo/madaraka na wasaka utajiri, makundi hayo baadhi yao ndio wanao chochea kwa kiasi kikubwa wimbi la watoto wetu kuuwawa na kunyofolewa viungo vyao.
Bado tuna kundi kubwa sana la watu wanao amini Ushirikina/nguvu za giza. wanaamini bila ushirikina hawezi kufanikiwa kwenye siasa, uteuzi, vyeo, kutetea nafasi aliyo nayo na hata utajiri.
Tukemee vikali na pia tuwabainishi watu wanao jihusisha na mambo ya kishirikina.
Hakuna cheo wala uteuzi utakao patikana kwa nguvu za giza/kishirikina.
Tuwakatae wanasiasa wanao tegemea nguvu za kishirikina.
Bado tuna kundi kubwa sana la watu wanao amini Ushirikina/nguvu za giza. wanaamini bila ushirikina hawezi kufanikiwa kwenye siasa, uteuzi, vyeo, kutetea nafasi aliyo nayo na hata utajiri.
Tukemee vikali na pia tuwabainishi watu wanao jihusisha na mambo ya kishirikina.
Hakuna cheo wala uteuzi utakao patikana kwa nguvu za giza/kishirikina.
Tuwakatae wanasiasa wanao tegemea nguvu za kishirikina.