Awali mlianzisha propaganda kwamba kumbakiza Aziz ki ni ngumu maana timu nyingi kubwa afrika zinamuwania.Lengo muonekano mmempambania sana mpaka mmewin vita ya kuzishinda timu kubwa za Afrika.
Lengo mashabiki na wanachama wawaone "mnafight" sana kumbe nyuma ya pazia mufanikishe exploitation Kwa unahisi! Sasa hivi story kubwa wydad wanamhitaji mzize๐.Tengenezeni timu tu hizi comedy Zina majukwaa yake.
Soma Pia: Clement Mzize huyu hapa kwenye rada ya Wydad Casablanca