Vioo vya OEM vya iPhone

Vioo vya OEM vya iPhone

Wilhelm Johnny

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2016
Posts
1,368
Reaction score
1,325
Wakuu katika kutafuta kioo cha iPhone xr online nikakutana na hii Aina mpya ya kioo inaitwa OEM Na bei yake imechangamka kidogo kuliko OLED.

Naombeni msaada wa aina ya hicho kioo kabla sijanunua.
 
OEM maana yake ni Original Equipment Manufacturer

Kioo cha OEM maana yake ni KIOO kilichotengenezwa na Mtengenezaji Sahihi.
Vioo vingi ni vya makampuni tofauti na aliyeteuliwa na Apple
 
OEM maana yake ni Original Equipment Manufacturer

Kioo cha OEM maana yake ni KIOO kilichotengenezwa na Mtengenezaji Sahihi.
Vioo vingi ni vya makampuni tofauti na aliyeteuliwa na Apple
Sawa sawa na cha iPhone XR kinakua ni retina LCD au oled
 
Xr og ni lcd, cheki specs gsmarena kujua simu gani inakuja na kioo kipi.
 
Kwa hiyo nikitaka kununua niagize oled na sio oem si ndio nikiagiza OEM si kinakuja lcd

mwanangu kuna concept hujaielewa inakuchanganya sana.

OEM ni Original equipment manufacturer
Kwa kifupi ni mtengenezaji original wa kifaa/ spare

hii term OEM inatumika kwenye nyanja nyingi hasa kwa vitu vinavyotumia spare Especial magari hata vifaa vingine.

neno OEM lipo kwa sababu kuna watengenezaji wengine wa spare ambao sio wazalishaji wa bidhaa.

Natoa mfano.

Toyota anatengeneza gari. Gari lina brake na zinaisha. Toyota anatengeneza brake za kuuza kama spare (Hizo brake ndio OEM). kuna makampuni mengine zaidi ya 20 yanatengeneza brake hizo hizo kwa ajili ya Toyota ( After market)

Sasa ukitaka kununua Kioo either ununue alichotengeneza Apple mwenyewe (OEM) au walichotengeneza watengenezaji wengine (After market).

So usikalili OEM kuwa ni aina ya Kioo, No ni neno la kibiashara kwa spare parts zozote za kitu chochocte.

Pia kuna faida na hasara za kununua OEM na after market. kuna baadhi ya vitu vya after market vinaboresha muonekano na thamani, lakini kuna baadhi vinashusha.

Mfano ukinunua kioo ambacho sio OG cha iphone, ni wazi simu yako itashuka thamani.

IMG_4646.jpg

Hiii ni taa original (OEM) ya toyota Kluger

IMG_4647.jpg

Na hii nitaa after market ya kluger. So utachagua wewe
 
Kwa hiyo nikitaka kununua niagize oled na sio oem si ndio nikiagiza OEM si kinakuja lcd
Kama OG chenyewe ni LCD ukinunua Oled inamaana kitakuwa sio Og. Na wachina sio wa kuaminika mkuu, kama kuna chance ya kupata kioo chenyewe hata kama ni LCD weka chenyewe.
 
Nina Samsung j7 nilifungiwa kioo hakishushi mwanga may be siyo OEM

Yaani kinaumiza macho mno
 
Wakuu katika kutafuta kioo cha iPhone xr online nikakutana na hii Aina mpya ya kioo inaitwa OEM Na bei yake ime Chang amka kidogo kuliko OLED naombeni msaada wa Aina ya hicho kioo kabla sijanunua

😁OEM sio Aina ya kioo

Hata Mimi nimenunua shockup za gari yangu OEM
 
mwanangu kuna concept hujaielewa inakuchanganya sana.

OEM ni Original equipment manufacturer
Kwa kifupi ni mtengenezaji original wa kifaa/ spare

hii term OEM inatumika kwenye nyanja nyingi hasa kwa vitu vinavyotumia spare Especial magari hata vifaa vingine.

neno OEM lipo kwa sababu kuna watengenezaji wengine wa spare ambao sio wazalishaji wa bidhaa.

Natoa mfano.

Toyota anatengeneza gari. Gari lina brake na zinaisha. Toyota anatengeneza brake za kuuza kama spare (Hizo brake ndio OEM). kuna makampuni mengine zaidi ya 20 yanatengeneza brake hizo hizo kwa ajili ya Toyota ( After market)

Sasa ukitaka kununua Kioo either ununue alichotengeneza Apple mwenyewe (OEM) au walichotengeneza watengenezaji wengine (After market).

So usikalili OEM kuwa ni aina ya Kioo, No ni neno la kibiashara kwa spare parts zozote za kitu chochocte.

Pia kuna faida na hasara za kununua OEM na after market. kuna baadhi ya vitu vya after market vinaboresha muonekano na thamani, lakini kuna baadhi vinashusha.

Mfano ukinunua kioo ambacho sio OG cha iphone, ni wazi simu yako itashuka thamani.

View attachment 2442865
Hiii ni taa original (OEM) ya toyota Kluger

View attachment 2442866
Na hii nitaa after market ya kluger. So utachagua wewe
Maelezo yako yamenyooka kama rula
 
mwanangu kuna concept hujaielewa inakuchanganya sana.

OEM ni Original equipment manufacturer
Kwa kifupi ni mtengenezaji original wa kifaa/ spare

hii term OEM inatumika kwenye nyanja nyingi hasa kwa vitu vinavyotumia spare Especial magari hata vifaa vingine.

neno OEM lipo kwa sababu kuna watengenezaji wengine wa spare ambao sio wazalishaji wa bidhaa.

Natoa mfano.

Toyota anatengeneza gari. Gari lina brake na zinaisha. Toyota anatengeneza brake za kuuza kama spare (Hizo brake ndio OEM). kuna makampuni mengine zaidi ya 20 yanatengeneza brake hizo hizo kwa ajili ya Toyota ( After market)

Sasa ukitaka kununua Kioo either ununue alichotengeneza Apple mwenyewe (OEM) au walichotengeneza watengenezaji wengine (After market).

So usikalili OEM kuwa ni aina ya Kioo, No ni neno la kibiashara kwa spare parts zozote za kitu chochocte.

Pia kuna faida na hasara za kununua OEM na after market. kuna baadhi ya vitu vya after market vinaboresha muonekano na thamani, lakini kuna baadhi vinashusha.

Mfano ukinunua kioo ambacho sio OG cha iphone, ni wazi simu yako itashuka thamani.

View attachment 2442865
Hiii ni taa original (OEM) ya toyota Kluger

View attachment 2442866
Na hii nitaa after market ya kluger. So utachagua wewe
Jf bhana..Nzuri sana

Kuna watu wanaelekeza kitu kama umewalipa aisee..

Big up mkuu.
 
Back
Top Bottom