Hiyo shule inaongoza kwa wanafunzi wake kupigana wenyewe kwa wenyewe mf. O-lvl bifu na a-level(hadi inafungwaga) pia magomvi ya wanafunzi na raia...
Tafuta shule nyingine hapo sio, taaluma ufaulu ni wakawaida tu
Jamani mi nimechaguliwa Bagamoyo sec naombeni mnisaidie details zake kama skuli ni nzuli au la