Vip kuhusu mkopo law school?

Jipemoyo

Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
30
Reaction score
16
Nimekua nikikutana na swali ili kwa vijana mbal mbali, ati bod ya mikopo ya vyuo vikuu nchini inatoa mkopo kwa wanaojiunga kwa masomo ya law xul?
 
Mpaka mwaka huu 2012 Cohort ya 11, Bodi ya mikopo haihusiki na mikopo ya Law School of Tanzania.Kama mtu anaahitaji mkopo basi wanafunzi wanajiorganise na kuomba mkopo kupitia chuo na kama mkopo ukikubaliwa basi huwa unatoka wizara ya Sheria na Katiba kupitia Law School.
Lakini nasikia kuanzia Cohort ya 12 wanaweza kuanza kupewa mikopo kupitia Bodi ya Mikopo.....fuatilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…