SoC02 Vipaji vya umisseta na umitashumta vinavyoweza kutukomboa kimichezo katika anga la kimataifa

SoC02 Vipaji vya umisseta na umitashumta vinavyoweza kutukomboa kimichezo katika anga la kimataifa

Stories of Change - 2022 Competition

cupvich

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
408
Reaction score
247
UTANGULIZI.
Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya Fedha ( silver) katika mbio za mita 3000, katika Mashindano ya OLYMPICS ambayo ni mashindano makubwa ya kimichezo duniani.Hii ikiwa ni medali ya pili kwa Tanzania katika michezo ya OLYMPICS .Hakika hii ni Simulizi ya kusisimua iliyowaacha wazungu midomo wazi.

Ni Shujaa huyu ambaye mwaka 1973 na 1978 katika mashindano ya AFRICAN GAMES alishinda medali ya Dhahabu katika mashindano hayo yote. Mwaka 1974 katika mashindano ya COMMON WEALTH GAMES yaliyofanyika CHRISTCHURCH "New zealand" aliweka rekodi ya kukimbia mita 1500 kwa dakika 3 na sekunde 32.2 mbele ya Mwanariadha kutoka New zealand John walker na Mkenya Ben Jipcho hivyo kushinda medali ya Dhahabu, Huyu ndiye Shujaa wa Tanzania FILBERT BAYI SANKA mwanajeshi mstaafu wa Tanzania ambaye alistaafu jeshi mwaka 2001 katika cheo cha Meja kitengo cha ufundi wa ndege jeshini.

Kipindi chote hicho cha Mafanikio ya Riadha na Michezo kwa ujumla Nchini kupitia kwa wanariadha FILBERT BAYI SANKA,JUMA IKANGAA,SULEIMAN NYAMBUI, GIDAMIS SHAGANGA, MWINGA MWANJALA,NAZAELI KYOMO na wengine wengi Alikuwepo Jenerali MRISHO HAGAI SARAKIKYA ambaye alikuwa mkuu wa majeshi wa kwanza( CDF) mara baada ya Tanganyika kupata uhuru na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi kutoka mwaka 1964 hadi 1974 alipostaafu, Wakati akiwa mkuu wa majeshi alikuwa pia ndiye mweyekiti wa chama cha riadha Tanzania (TAA) kuanzia mwaka 1962 hadi 1972. Na Baada ya kustaafu jeshi mwaka 1974 mwalimu Julius kambarage nyerere ambaye alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimteua kuwa Waziri wa Michezo, vijana na Utamaduni.

2017-07-20-PHOTO-00017430 (1).jpg

Waziri wa michezo, vijana na utamaduni(1974) katikati, akiwa na filbert bayi( kushoto) pamoja na Juma Ikangaa (Kulia). PICHA NA ISSA MICHUZI BLOGSPORT.COM

JINSI UMISSETA NA UMITASHUMTA INAVYOIBUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO.
Umoja wa michezo ya shule za sekondari( UMISSETA) ni eneo la mpito kwa wanamichezo wanaochipukia, wakiwa wametokea ngazi ya chini ya UMITASHUMTA ambayo ni umoja wa michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania. Kutoka katika ngazi hizo wanamichezo hao vijana wanaweza sasa kuingia kwenye ushindani zaidi wa michezo ndani hata nje ya Nchi. UMISSETA na UMITASHUMTA ni viwanda vya kuwapita vijana wangali wadogo katika michezo mbalimbali kama vile Michezo ya Bao, Kikapu, kurusha tufe, Netiboli, mpira wa mikono, Riadha, Soka, wavu pamoja na Sanaa za maonesho. Serikali kupitia katika wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na ile ya Elimu, sayansi na teknolojia imekuwa ikisimamia na kuendeleza michezo hii ya UMISSETA na UMITASHUMTA mwaka hadi mwaka. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika kuboresha michezo hii muhimu kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari nchini.
Geita_Bingwa_Netiboli_UTMITASHUMTA_2022%0A%0AMkoa_wa_Geita_umeibuka_Bingwa_katika_mchezo_wa_Ne...jpg

MIKOA_YAJIFUA_MCHEZO_WA_RIADHA_UMISSETA__2022%0A%0AOR_-_TAMISEMI%0A%0AMikoa_inaendelea_kujifua...jpg

Mashindano_ya_ngoma__za_asili_hayapo_nyumba__katika_Michuano_ya_UMITASHUMTA__inayoendelea__Mko...jpg

MTWARA,_NJOMBE_ZATINGA_FAINALI_YA_SOKA_MAALUM.%0A%0ATIMU_za_Mpira_wa_Miguu_kwa_wanafunzi_wenye...jpg

Picha mbalimbali zikionesha wanafunzi wakiwa katika michezo ya Umisseta na Umitashumta mwaka huu 2022 Tabora.(picha zote kutoka ORTAMISEMI)

NI KWA NAMNA GANI VIPAJI VYA UMISSETA NA UMITASHUMTA VINAWEZA KUENDELEZWA ILI KUTUKOMBOA KIMICHEZO.
Hili ndilo swali ambalo mimi na wewe msomaji tunapaswa kujiuliza kwa manufaa mapana ya Taifa letu katika medali za kimichezo ndani na nje ya Nchi. Michezo ya Umisseta na Umitashumta inatakiwa kuwa yenye tija kwa taifa kwa kutengeneza wanamichezo ambao wataliwakilisha taifa baadae katika Mashindano mbali mbali ya kimichezo kama vile michezo ya OLYMPICS, michezo ya JUMUIYA YA MADOLA, KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ( AFCON), pamoja na michuano mikubwa ya KOMBE LA DUNIA. Ni kupitia UMISSETA NA UMITASHUMTA tutaweza kupata wanamichezo wengine mashuhuri kama akina FILBERT BAYI, ZAMOYONI MOGELA,MBWANA SAMATTA na ALPHONCE SIMBU .Ili yote haya yaweze kufanikiwa mambo yafuatayo ni muhimu kutekelezwa.

Moja, Kutengwa kwa shule za michezo kila Mkoa kwa ngazi zote za Msingi na sekondari.
Naipongeza serikali yetu kwani Tayari imetenga bajeti na kuanza ujenzi wa shule hizi maalumu za michezo katika kila mkoa, hili ni jambo jema na lenye afya kwa taifa letu katika michezo. Shule hizi zitakuwa na walimu wabobezi katika michezo mbalimbali hivyo pamoja na kutoa Taaluma ya Darasani wanafunzi watapata wasaa wa kusoma MICHEZO kwa nadharia na vitendo hivyo kuwafanya kuwa bora kimichezo. Pamoja na kupata elimu ya michezo wataweza pia kufundishwa LUGHA mbalimbali za Kimataifa kama vile KIFARANSA, KIINGEREZA, KIJERUMANI na KICHINA hivyo kuwaandaa Kushindana vyema kimataifa. Ni wajibu kwa serikali kupitia mamlaka husika kuwafuatilia wanafunzi watakao hitimu katika shule hizi ili kujua maendeleo yao na kuwaunga mkono ili Vipaji vyao visife wanapomaliza masomo yao.

Mbili, Washindi wa UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa wahamishiwe katika SHULE MAALUMU ZA MICHEZO.

Kama tunavyojua baada ya kukamilika kwa michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA washindi hupewa zawadi na pongezi, na baada ya hapo hurudi katika shule zao kwa ajili ya kuendelea na masomo yao na kusubiri mashindano mengine kama hayo mwaka mwingine. Utaratibu huu hautoi nafasi kwa mshindi huyu kuendeleza kipaji chake kwasababu awapo shuleni anapata muda mchache kuonesha na kukuza kipaji chake. Hivyo itakuwa vizuri kama washindi wote watapewa nafasi ya kujiunga na shule maalumu za michezo kama mpango mkakati wa serikali katika kuendeleza vipaji vyao.

Tatu, Serikali ikaribishe Wadhamini na wadau mbalimbali ili kuunga mkono michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.
Ili mashindano haya yafanyike kwa ubora na kuongeza hali kwa Washiriki na wadau wote wa michezo, serikali haina budi sasa kutafuta wadhamini watakao ongeza nguvu katika kuunga mkono michezo hii ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.

Hii ni pamoja na kuwasaidia wanamichezo wote Vifaa vya mashindano, kuboresha viwanja vinavyotumika katika michezo hii, kuboresha zawadi kwa washindi na kuwawezesha kwa namna zote wasimamizi wa michezo hii wakiwemo Walimu wanao Safiri na wanafunzi kutoka mashuleni. Tunatambua mchango mkubwa wa serikali, lakini ni lazima nguvu iongezwe ili kuboresha zaidi.

MWISHO
Kama ilivyo kauli mbiu isemayo" MICHEZO NI AFYA, MICHEZO NI AJIRA" Hatuna budi kama taifa kuifanya michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA kama ajira kwa vijana wetu wanapomaliza masomo yao na hivyo kuliwakilisha taifa katika Anga la kimichezo KITAIFA na KIMATAIFA.
 
Upvote 24
UTANGULIZI.
Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya Fedha ( silver) katika mbio za mita 3000, katika Mashindano ya OLYMPICS ambayo ni mashindano makubwa ya kimichezo duniani.Hii ikiwa ni medali ya pili kwa Tanzania katika michezo ya OLYMPICS .Hakika hii ni Simulizi ya kusisimua iliyowaacha wazungu midomo wazi.

Ni Shujaa huyu ambaye mwaka 1973 na 1978 katika mashindano ya AFRICAN GAMES alishinda medali ya Dhahabu katika mashindano hayo yote. Mwaka 1974 katika mashindano ya COMMON WEALTH GAMES yaliyofanyika CHRISTCHURCH "New zealand" aliweka rekodi ya kukimbia mita 1500 kwa dakika 3 na sekunde 32.2 mbele ya Mwanariadha kutoka New zealand John walker na Mkenya Ben Jipcho hivyo kushinda medali ya Dhahabu, Huyu ndiye Shujaa wa Tanzania FILBERT BAYI SANKA mwanajeshi mstaafu wa Tanzania ambaye alistaafu jeshi mwaka 2001 katika cheo cha Meja kitengo cha ufundi wa ndege jeshini.

Kipindi chote hicho cha Mafanikio ya Riadha na Michezo kwa ujumla Nchini kupitia kwa wanariadha FILBERT BAYI SANKA,JUMA IKANGAA,SULEIMAN NYAMBUI, GIDAMIS SHAGANGA, MWINGA MWANJALA,NAZAELI KYOMO na wengine wengi Alikuwepo Jenerali MRISHO HAGAI SARAKIKYA ambaye alikuwa mkuu wa majeshi wa kwanza( CDF) mara baada ya Tanganyika kupata uhuru na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi kutoka mwaka 1964 hadi 1974 alipostaafu, Wakati akiwa mkuu wa majeshi alikuwa pia ndiye mweyekiti wa chama cha riadha Tanzania (TAA) kuanzia mwaka 1962 hadi 1972. Na Baada ya kustaafu jeshi mwaka 1974 mwalimu Julius kambarage nyerere ambaye alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimteua kuwa Waziri wa Michezo, vijana na Utamaduni.

View attachment 2337905
Waziri wa michezo, vijana na utamaduni(1974) katikati, akiwa na filbert bayi( kushoto) pamoja na Juma Ikangaa (Kulia). PICHA NA ISSA MICHUZI BLOGSPORT.COM

JINSI UMISSETA NA UMITASHUMTA INAVYOIBUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO.
Umoja wa michezo ya shule za sekondari( UMISSETA) ni eneo la mpito kwa wanamichezo wanaochipukia, wakiwa wametokea ngazi ya chini ya UMITASHUMTA ambayo ni umoja wa michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania. Kutoka katika ngazi hizo wanamichezo hao vijana wanaweza sasa kuingia kwenye ushindani zaidi wa michezo ndani hata nje ya Nchi. UMISSETA na UMITASHUMTA ni viwanda vya kuwapita vijana wangali wadogo katika michezo mbalimbali kama vile Michezo ya Bao, Kikapu, kurusha tufe, Netiboli, mpira wa mikono, Riadha, Soka, wavu pamoja na Sanaa za maonesho. Serikali kupitia katika wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na ile ya Elimu, sayansi na teknolojia imekuwa ikisimamia na kuendeleza michezo hii ya UMISSETA na UMITASHUMTA mwaka hadi mwaka. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika kuboresha michezo hii muhimu kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari nchini.
View attachment 2337910
View attachment 2337940
View attachment 2337950
Picha mbalimbali zikionesha wanafunzi wakiwa katika michezo ya Umisseta na Umitashumta mwaka huu 2022 Tabora.(picha zote kutoka ORTAMISEMI)

NI KWA NAMNA GANI VIPAJI VYA UMISSETA NA UMITASHUMTA VINAWEZA KUENDELEZWA ILI KUTUKOMBOA KIMICHEZO.
Hili ndilo swali ambalo mimi na wewe msomaji tunapaswa kujiuliza kwa manufaa mapana ya Taifa letu katika medali za kimichezo ndani na nje ya Nchi. Michezo ya Umisseta na Umitashumta inatakiwa kuwa yenye tija kwa taifa kwa kutengeneza wanamichezo ambao wataliwakilisha taifa baadae katika Mashindano mbali mbali ya kimichezo kama vile michezo ya OLYMPICS, michezo ya JUMUIYA YA MADOLA, KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ( AFCON), pamoja na michuano mikubwa ya KOMBE LA DUNIA. Ni kupitia UMISSETA NA UMITASHUMTA tutaweza kupata wanamichezo wengine mashuhuri kama akina FILBERT BAYI, ZAMOYONI MOGELA,MBWANA SAMATTA na ALPHONCE SIMBU .Ili yote haya yaweze kufanikiwa mambo yafuatayo ni muhimu kutekelezwa.

Moja, Kutengwa kwa shule za michezo kila Mkoa kwa ngazi zote za Msingi na sekondari.
Naipongeza serikali yetu kwani Tayari imetenga bajeti na kuanza ujenzi wa shule hizi maalumu za michezo katika kila mkoa, hili ni jambo jema na lenye afya kwa taifa letu katika michezo. Shule hizi zitakuwa na walimu wabobezi katika michezo mbalimbali hivyo pamoja na kutoa Taaluma ya Darasani wanafunzi watapata wasaa wa kusoma MICHEZO kwa nadharia na vitendo hivyo kuwafanya kuwa bora kimichezo. Pamoja na kupata elimu ya michezo wataweza pia kufundishwa LUGHA mbalimbali za Kimataifa kama vile KIFARANSA, KIINGEREZA, KIJERUMANI na KICHINA hivyo kuwaandaa Kushindana vyema kimataifa. Ni wajibu kwa serikali kupitia mamlaka husika kuwafuatilia wanafunzi watakao hitimu katika shule hizi ili kujua maendeleo yao na kuwaunga mkono ili Vipaji vyao visife wanapomaliza masomo yao.

Mbili, Washindi wa UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa wahamishiwe katika SHULE MAALUMU ZA MICHEZO.

Kama tunavyojua baada ya kukamilika kwa michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA washindi hupewa zawadi na pongezi, na baada ya hapo hurudi katika shule zao kwa ajili ya kuendelea na masomo yao na kusubiri mashindano mengine kama hayo mwaka mwingine. Utaratibu huu hautoi nafasi kwa mshindi huyu kuendeleza kipaji chake kwasababu awapo shuleni anapata muda mchache kuonesha na kukuza kipaji chake. Hivyo itakuwa vizuri kama washindi wote watapewa nafasi ya kujiunga na shule maalumu za michezo kama mpango mkakati wa serikali katika kuendeleza vipaji vyao.

Tatu, Serikali ikaribishe Wadhamini na wadau mbalimbali ili kuunga mkono michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.
Ili mashindano haya yafanyike kwa ubora na kuongeza hali kwa Washiriki na wadau wote wa michezo, serikali haina budi sasa kutafuta wadhamini watakao ongeza nguvu katika kuunga mkono michezo hii ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.

Hii ni pamoja na kuwasaidia wanamichezo wote Vifaa vya mashindano, kuboresha viwanja vinavyotumika katika michezo hii, kuboresha zawadi kwa washindi na kuwawezesha kwa namna zote wasimamizi wa michezo hii wakiwemo Walimu wanao Safiri na wanafunzi kutoka mashuleni. Tunatambua mchango mkubwa wa serikali, lakini ni lazima nguvu iongezwe ili kuboresha zaidi.

MWISHO
Kama ilivyo kauli mbiu isemayo" MICHEZO NI AFYA, MICHEZO NI AJIRA" Hatuna budi kama taifa kuifanya michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA kama ajira kwa vijana wetu wanapomaliza masomo yao na hivyo kuliwakilisha taifa katika Anga la kimichezo KITAIFA na KIMATAIFA.
Ndugu mwanajukwaa. Chukua muda wako kusoma makala hii Nzuri na Chanya kwa Taifa letu.

Usisahau kulike na kupiga kura yako katika makala hii. Vilevile usiache kucomment na kuuliza lolote kwa ufafanuzi.
 
UTANGULIZI.
Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya Fedha ( silver) katika mbio za mita 3000, katika Mashindano ya OLYMPICS ambayo ni mashindano makubwa ya kimichezo duniani.Hii ikiwa ni medali ya pili kwa Tanzania katika michezo ya OLYMPICS .Hakika hii ni Simulizi ya kusisimua iliyowaacha wazungu midomo wazi.

Ni Shujaa huyu ambaye mwaka 1973 na 1978 katika mashindano ya AFRICAN GAMES alishinda medali ya Dhahabu katika mashindano hayo yote. Mwaka 1974 katika mashindano ya COMMON WEALTH GAMES yaliyofanyika CHRISTCHURCH "New zealand" aliweka rekodi ya kukimbia mita 1500 kwa dakika 3 na sekunde 32.2 mbele ya Mwanariadha kutoka New zealand John walker na Mkenya Ben Jipcho hivyo kushinda medali ya Dhahabu, Huyu ndiye Shujaa wa Tanzania FILBERT BAYI SANKA mwanajeshi mstaafu wa Tanzania ambaye alistaafu jeshi mwaka 2001 katika cheo cha Meja kitengo cha ufundi wa ndege jeshini.

Kipindi chote hicho cha Mafanikio ya Riadha na Michezo kwa ujumla Nchini kupitia kwa wanariadha FILBERT BAYI SANKA,JUMA IKANGAA,SULEIMAN NYAMBUI, GIDAMIS SHAGANGA, MWINGA MWANJALA,NAZAELI KYOMO na wengine wengi Alikuwepo Jenerali MRISHO HAGAI SARAKIKYA ambaye alikuwa mkuu wa majeshi wa kwanza( CDF) mara baada ya Tanganyika kupata uhuru na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi kutoka mwaka 1964 hadi 1974 alipostaafu, Wakati akiwa mkuu wa majeshi alikuwa pia ndiye mweyekiti wa chama cha riadha Tanzania (TAA) kuanzia mwaka 1962 hadi 1972. Na Baada ya kustaafu jeshi mwaka 1974 mwalimu Julius kambarage nyerere ambaye alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimteua kuwa Waziri wa Michezo, vijana na Utamaduni.

View attachment 2337905
Waziri wa michezo, vijana na utamaduni(1974) katikati, akiwa na filbert bayi( kushoto) pamoja na Juma Ikangaa (Kulia). PICHA NA ISSA MICHUZI BLOGSPORT.COM

JINSI UMISSETA NA UMITASHUMTA INAVYOIBUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO.
Umoja wa michezo ya shule za sekondari( UMISSETA) ni eneo la mpito kwa wanamichezo wanaochipukia, wakiwa wametokea ngazi ya chini ya UMITASHUMTA ambayo ni umoja wa michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania. Kutoka katika ngazi hizo wanamichezo hao vijana wanaweza sasa kuingia kwenye ushindani zaidi wa michezo ndani hata nje ya Nchi. UMISSETA na UMITASHUMTA ni viwanda vya kuwapita vijana wangali wadogo katika michezo mbalimbali kama vile Michezo ya Bao, Kikapu, kurusha tufe, Netiboli, mpira wa mikono, Riadha, Soka, wavu pamoja na Sanaa za maonesho. Serikali kupitia katika wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na ile ya Elimu, sayansi na teknolojia imekuwa ikisimamia na kuendeleza michezo hii ya UMISSETA na UMITASHUMTA mwaka hadi mwaka. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika kuboresha michezo hii muhimu kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari nchini.
View attachment 2337910
View attachment 2337940
View attachment 2337950
Picha mbalimbali zikionesha wanafunzi wakiwa katika michezo ya Umisseta na Umitashumta mwaka huu 2022 Tabora.(picha zote kutoka ORTAMISEMI)

NI KWA NAMNA GANI VIPAJI VYA UMISSETA NA UMITASHUMTA VINAWEZA KUENDELEZWA ILI KUTUKOMBOA KIMICHEZO.
Hili ndilo swali ambalo mimi na wewe msomaji tunapaswa kujiuliza kwa manufaa mapana ya Taifa letu katika medali za kimichezo ndani na nje ya Nchi. Michezo ya Umisseta na Umitashumta inatakiwa kuwa yenye tija kwa taifa kwa kutengeneza wanamichezo ambao wataliwakilisha taifa baadae katika Mashindano mbali mbali ya kimichezo kama vile michezo ya OLYMPICS, michezo ya JUMUIYA YA MADOLA, KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ( AFCON), pamoja na michuano mikubwa ya KOMBE LA DUNIA. Ni kupitia UMISSETA NA UMITASHUMTA tutaweza kupata wanamichezo wengine mashuhuri kama akina FILBERT BAYI, ZAMOYONI MOGELA,MBWANA SAMATTA na ALPHONCE SIMBU .Ili yote haya yaweze kufanikiwa mambo yafuatayo ni muhimu kutekelezwa.

Moja, Kutengwa kwa shule za michezo kila Mkoa kwa ngazi zote za Msingi na sekondari.
Naipongeza serikali yetu kwani Tayari imetenga bajeti na kuanza ujenzi wa shule hizi maalumu za michezo katika kila mkoa, hili ni jambo jema na lenye afya kwa taifa letu katika michezo. Shule hizi zitakuwa na walimu wabobezi katika michezo mbalimbali hivyo pamoja na kutoa Taaluma ya Darasani wanafunzi watapata wasaa wa kusoma MICHEZO kwa nadharia na vitendo hivyo kuwafanya kuwa bora kimichezo. Pamoja na kupata elimu ya michezo wataweza pia kufundishwa LUGHA mbalimbali za Kimataifa kama vile KIFARANSA, KIINGEREZA, KIJERUMANI na KICHINA hivyo kuwaandaa Kushindana vyema kimataifa. Ni wajibu kwa serikali kupitia mamlaka husika kuwafuatilia wanafunzi watakao hitimu katika shule hizi ili kujua maendeleo yao na kuwaunga mkono ili Vipaji vyao visife wanapomaliza masomo yao.

Mbili, Washindi wa UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa wahamishiwe katika SHULE MAALUMU ZA MICHEZO.

Kama tunavyojua baada ya kukamilika kwa michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA washindi hupewa zawadi na pongezi, na baada ya hapo hurudi katika shule zao kwa ajili ya kuendelea na masomo yao na kusubiri mashindano mengine kama hayo mwaka mwingine. Utaratibu huu hautoi nafasi kwa mshindi huyu kuendeleza kipaji chake kwasababu awapo shuleni anapata muda mchache kuonesha na kukuza kipaji chake. Hivyo itakuwa vizuri kama washindi wote watapewa nafasi ya kujiunga na shule maalumu za michezo kama mpango mkakati wa serikali katika kuendeleza vipaji vyao.

Tatu, Serikali ikaribishe Wadhamini na wadau mbalimbali ili kuunga mkono michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.
Ili mashindano haya yafanyike kwa ubora na kuongeza hali kwa Washiriki na wadau wote wa michezo, serikali haina budi sasa kutafuta wadhamini watakao ongeza nguvu katika kuunga mkono michezo hii ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.

Hii ni pamoja na kuwasaidia wanamichezo wote Vifaa vya mashindano, kuboresha viwanja vinavyotumika katika michezo hii, kuboresha zawadi kwa washindi na kuwawezesha kwa namna zote wasimamizi wa michezo hii wakiwemo Walimu wanao Safiri na wanafunzi kutoka mashuleni. Tunatambua mchango mkubwa wa serikali, lakini ni lazima nguvu iongezwe ili kuboresha zaidi.

MWISHO
Kama ilivyo kauli mbiu isemayo" MICHEZO NI AFYA, MICHEZO NI AJIRA" Hatuna budi kama taifa kuifanya michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA kama ajira kwa vijana wetu wanapomaliza masomo yao na hivyo kuliwakilisha taifa katika Anga la kimichezo KITAIFA na KIMATAIFA.
Safi sana ndugu kwa andiko ZURI sana.
Nimependa sana mpangilio wake, hakika ni andiko lililobeba ujumbe mkubwa sana.

Tokea nimeanza kusoma Maandiko mbalimbali katika jukwaa hili. Andiko hili ni moja ya andiko bora kwangu.

Kura yangu nimekwisha kupigia kiongozi
 
Safi sana ndugu kwa andiko ZURI sana.
Nimependa sana mpangilio wake, hakika ni andiko lililobeba ujumbe mkubwa sana.

Tokea nimeanza kusoma Maandiko mbalimbali katika jukwaa hili. Andiko hili ni moja ya andiko bora kwangu.

Kura yangu nimekwisha kupigia kiongozi
Asante kwa kulisoma andiko hili mwanajukwaa.

Nawakaribisha wengine kuendelea kulisoma andiko hili na kulipigia Kura.
 
UTANGULIZI.
Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya Fedha ( silver) katika mbio za mita 3000, katika Mashindano ya OLYMPICS ambayo ni mashindano makubwa ya kimichezo duniani.Hii ikiwa ni medali ya pili kwa Tanzania katika michezo ya OLYMPICS .Hakika hii ni Simulizi ya kusisimua iliyowaacha wazungu midomo wazi.

Ni Shujaa huyu ambaye mwaka 1973 na 1978 katika mashindano ya AFRICAN GAMES alishinda medali ya Dhahabu katika mashindano hayo yote. Mwaka 1974 katika mashindano ya COMMON WEALTH GAMES yaliyofanyika CHRISTCHURCH "New zealand" aliweka rekodi ya kukimbia mita 1500 kwa dakika 3 na sekunde 32.2 mbele ya Mwanariadha kutoka New zealand John walker na Mkenya Ben Jipcho hivyo kushinda medali ya Dhahabu, Huyu ndiye Shujaa wa Tanzania FILBERT BAYI SANKA mwanajeshi mstaafu wa Tanzania ambaye alistaafu jeshi mwaka 2001 katika cheo cha Meja kitengo cha ufundi wa ndege jeshini.

Kipindi chote hicho cha Mafanikio ya Riadha na Michezo kwa ujumla Nchini kupitia kwa wanariadha FILBERT BAYI SANKA,JUMA IKANGAA,SULEIMAN NYAMBUI, GIDAMIS SHAGANGA, MWINGA MWANJALA,NAZAELI KYOMO na wengine wengi Alikuwepo Jenerali MRISHO HAGAI SARAKIKYA ambaye alikuwa mkuu wa majeshi wa kwanza( CDF) mara baada ya Tanganyika kupata uhuru na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi kutoka mwaka 1964 hadi 1974 alipostaafu, Wakati akiwa mkuu wa majeshi alikuwa pia ndiye mweyekiti wa chama cha riadha Tanzania (TAA) kuanzia mwaka 1962 hadi 1972. Na Baada ya kustaafu jeshi mwaka 1974 mwalimu Julius kambarage nyerere ambaye alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimteua kuwa Waziri wa Michezo, vijana na Utamaduni.

View attachment 2337905
Waziri wa michezo, vijana na utamaduni(1974) katikati, akiwa na filbert bayi( kushoto) pamoja na Juma Ikangaa (Kulia). PICHA NA ISSA MICHUZI BLOGSPORT.COM

JINSI UMISSETA NA UMITASHUMTA INAVYOIBUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO.
Umoja wa michezo ya shule za sekondari( UMISSETA) ni eneo la mpito kwa wanamichezo wanaochipukia, wakiwa wametokea ngazi ya chini ya UMITASHUMTA ambayo ni umoja wa michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania. Kutoka katika ngazi hizo wanamichezo hao vijana wanaweza sasa kuingia kwenye ushindani zaidi wa michezo ndani hata nje ya Nchi. UMISSETA na UMITASHUMTA ni viwanda vya kuwapita vijana wangali wadogo katika michezo mbalimbali kama vile Michezo ya Bao, Kikapu, kurusha tufe, Netiboli, mpira wa mikono, Riadha, Soka, wavu pamoja na Sanaa za maonesho. Serikali kupitia katika wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na ile ya Elimu, sayansi na teknolojia imekuwa ikisimamia na kuendeleza michezo hii ya UMISSETA na UMITASHUMTA mwaka hadi mwaka. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika kuboresha michezo hii muhimu kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari nchini.
View attachment 2337910
View attachment 2337940
View attachment 2337950
Picha mbalimbali zikionesha wanafunzi wakiwa katika michezo ya Umisseta na Umitashumta mwaka huu 2022 Tabora.(picha zote kutoka ORTAMISEMI)

NI KWA NAMNA GANI VIPAJI VYA UMISSETA NA UMITASHUMTA VINAWEZA KUENDELEZWA ILI KUTUKOMBOA KIMICHEZO.
Hili ndilo swali ambalo mimi na wewe msomaji tunapaswa kujiuliza kwa manufaa mapana ya Taifa letu katika medali za kimichezo ndani na nje ya Nchi. Michezo ya Umisseta na Umitashumta inatakiwa kuwa yenye tija kwa taifa kwa kutengeneza wanamichezo ambao wataliwakilisha taifa baadae katika Mashindano mbali mbali ya kimichezo kama vile michezo ya OLYMPICS, michezo ya JUMUIYA YA MADOLA, KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ( AFCON), pamoja na michuano mikubwa ya KOMBE LA DUNIA. Ni kupitia UMISSETA NA UMITASHUMTA tutaweza kupata wanamichezo wengine mashuhuri kama akina FILBERT BAYI, ZAMOYONI MOGELA,MBWANA SAMATTA na ALPHONCE SIMBU .Ili yote haya yaweze kufanikiwa mambo yafuatayo ni muhimu kutekelezwa.

Moja, Kutengwa kwa shule za michezo kila Mkoa kwa ngazi zote za Msingi na sekondari.
Naipongeza serikali yetu kwani Tayari imetenga bajeti na kuanza ujenzi wa shule hizi maalumu za michezo katika kila mkoa, hili ni jambo jema na lenye afya kwa taifa letu katika michezo. Shule hizi zitakuwa na walimu wabobezi katika michezo mbalimbali hivyo pamoja na kutoa Taaluma ya Darasani wanafunzi watapata wasaa wa kusoma MICHEZO kwa nadharia na vitendo hivyo kuwafanya kuwa bora kimichezo. Pamoja na kupata elimu ya michezo wataweza pia kufundishwa LUGHA mbalimbali za Kimataifa kama vile KIFARANSA, KIINGEREZA, KIJERUMANI na KICHINA hivyo kuwaandaa Kushindana vyema kimataifa. Ni wajibu kwa serikali kupitia mamlaka husika kuwafuatilia wanafunzi watakao hitimu katika shule hizi ili kujua maendeleo yao na kuwaunga mkono ili Vipaji vyao visife wanapomaliza masomo yao.

Mbili, Washindi wa UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa wahamishiwe katika SHULE MAALUMU ZA MICHEZO.

Kama tunavyojua baada ya kukamilika kwa michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA washindi hupewa zawadi na pongezi, na baada ya hapo hurudi katika shule zao kwa ajili ya kuendelea na masomo yao na kusubiri mashindano mengine kama hayo mwaka mwingine. Utaratibu huu hautoi nafasi kwa mshindi huyu kuendeleza kipaji chake kwasababu awapo shuleni anapata muda mchache kuonesha na kukuza kipaji chake. Hivyo itakuwa vizuri kama washindi wote watapewa nafasi ya kujiunga na shule maalumu za michezo kama mpango mkakati wa serikali katika kuendeleza vipaji vyao.

Tatu, Serikali ikaribishe Wadhamini na wadau mbalimbali ili kuunga mkono michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.
Ili mashindano haya yafanyike kwa ubora na kuongeza hali kwa Washiriki na wadau wote wa michezo, serikali haina budi sasa kutafuta wadhamini watakao ongeza nguvu katika kuunga mkono michezo hii ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.

Hii ni pamoja na kuwasaidia wanamichezo wote Vifaa vya mashindano, kuboresha viwanja vinavyotumika katika michezo hii, kuboresha zawadi kwa washindi na kuwawezesha kwa namna zote wasimamizi wa michezo hii wakiwemo Walimu wanao Safiri na wanafunzi kutoka mashuleni. Tunatambua mchango mkubwa wa serikali, lakini ni lazima nguvu iongezwe ili kuboresha zaidi.

MWISHO
Kama ilivyo kauli mbiu isemayo" MICHEZO NI AFYA, MICHEZO NI AJIRA" Hatuna budi kama taifa kuifanya michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA kama ajira kwa vijana wetu wanapomaliza masomo yao na hivyo kuliwakilisha taifa katika Anga la kimichezo KITAIFA na KIMATAIFA.

UTANGULIZI.
Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya Fedha ( silver) katika mbio za mita 3000, katika Mashindano ya OLYMPICS ambayo ni mashindano makubwa ya kimichezo duniani.Hii ikiwa ni medali ya pili kwa Tanzania katika michezo ya OLYMPICS .Hakika hii ni Simulizi ya kusisimua iliyowaacha wazungu midomo wazi.

Ni Shujaa huyu ambaye mwaka 1973 na 1978 katika mashindano ya AFRICAN GAMES alishinda medali ya Dhahabu katika mashindano hayo yote. Mwaka 1974 katika mashindano ya COMMON WEALTH GAMES yaliyofanyika CHRISTCHURCH "New zealand" aliweka rekodi ya kukimbia mita 1500 kwa dakika 3 na sekunde 32.2 mbele ya Mwanariadha kutoka New zealand John walker na Mkenya Ben Jipcho hivyo kushinda medali ya Dhahabu, Huyu ndiye Shujaa wa Tanzania FILBERT BAYI SANKA mwanajeshi mstaafu wa Tanzania ambaye alistaafu jeshi mwaka 2001 katika cheo cha Meja kitengo cha ufundi wa ndege jeshini.

Kipindi chote hicho cha Mafanikio ya Riadha na Michezo kwa ujumla Nchini kupitia kwa wanariadha FILBERT BAYI SANKA,JUMA IKANGAA,SULEIMAN NYAMBUI, GIDAMIS SHAGANGA, MWINGA MWANJALA,NAZAELI KYOMO na wengine wengi Alikuwepo Jenerali MRISHO HAGAI SARAKIKYA ambaye alikuwa mkuu wa majeshi wa kwanza( CDF) mara baada ya Tanganyika kupata uhuru na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi kutoka mwaka 1964 hadi 1974 alipostaafu, Wakati akiwa mkuu wa majeshi alikuwa pia ndiye mweyekiti wa chama cha riadha Tanzania (TAA) kuanzia mwaka 1962 hadi 1972. Na Baada ya kustaafu jeshi mwaka 1974 mwalimu Julius kambarage nyerere ambaye alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimteua kuwa Waziri wa Michezo, vijana na Utamaduni.

View attachment 2337905
Waziri wa michezo, vijana na utamaduni(1974) katikati, akiwa na filbert bayi( kushoto) pamoja na Juma Ikangaa (Kulia). PICHA NA ISSA MICHUZI BLOGSPORT.COM

JINSI UMISSETA NA UMITASHUMTA INAVYOIBUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO.
Umoja wa michezo ya shule za sekondari( UMISSETA) ni eneo la mpito kwa wanamichezo wanaochipukia, wakiwa wametokea ngazi ya chini ya UMITASHUMTA ambayo ni umoja wa michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania. Kutoka katika ngazi hizo wanamichezo hao vijana wanaweza sasa kuingia kwenye ushindani zaidi wa michezo ndani hata nje ya Nchi. UMISSETA na UMITASHUMTA ni viwanda vya kuwapita vijana wangali wadogo katika michezo mbalimbali kama vile Michezo ya Bao, Kikapu, kurusha tufe, Netiboli, mpira wa mikono, Riadha, Soka, wavu pamoja na Sanaa za maonesho. Serikali kupitia katika wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na ile ya Elimu, sayansi na teknolojia imekuwa ikisimamia na kuendeleza michezo hii ya UMISSETA na UMITASHUMTA mwaka hadi mwaka. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika kuboresha michezo hii muhimu kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari nchini.
View attachment 2337910
View attachment 2337940
View attachment 2337950
Picha mbalimbali zikionesha wanafunzi wakiwa katika michezo ya Umisseta na Umitashumta mwaka huu 2022 Tabora.(picha zote kutoka ORTAMISEMI)

NI KWA NAMNA GANI VIPAJI VYA UMISSETA NA UMITASHUMTA VINAWEZA KUENDELEZWA ILI KUTUKOMBOA KIMICHEZO.
Hili ndilo swali ambalo mimi na wewe msomaji tunapaswa kujiuliza kwa manufaa mapana ya Taifa letu katika medali za kimichezo ndani na nje ya Nchi. Michezo ya Umisseta na Umitashumta inatakiwa kuwa yenye tija kwa taifa kwa kutengeneza wanamichezo ambao wataliwakilisha taifa baadae katika Mashindano mbali mbali ya kimichezo kama vile michezo ya OLYMPICS, michezo ya JUMUIYA YA MADOLA, KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ( AFCON), pamoja na michuano mikubwa ya KOMBE LA DUNIA. Ni kupitia UMISSETA NA UMITASHUMTA tutaweza kupata wanamichezo wengine mashuhuri kama akina FILBERT BAYI, ZAMOYONI MOGELA,MBWANA SAMATTA na ALPHONCE SIMBU .Ili yote haya yaweze kufanikiwa mambo yafuatayo ni muhimu kutekelezwa.

Moja, Kutengwa kwa shule za michezo kila Mkoa kwa ngazi zote za Msingi na sekondari.
Naipongeza serikali yetu kwani Tayari imetenga bajeti na kuanza ujenzi wa shule hizi maalumu za michezo katika kila mkoa, hili ni jambo jema na lenye afya kwa taifa letu katika michezo. Shule hizi zitakuwa na walimu wabobezi katika michezo mbalimbali hivyo pamoja na kutoa Taaluma ya Darasani wanafunzi watapata wasaa wa kusoma MICHEZO kwa nadharia na vitendo hivyo kuwafanya kuwa bora kimichezo. Pamoja na kupata elimu ya michezo wataweza pia kufundishwa LUGHA mbalimbali za Kimataifa kama vile KIFARANSA, KIINGEREZA, KIJERUMANI na KICHINA hivyo kuwaandaa Kushindana vyema kimataifa. Ni wajibu kwa serikali kupitia mamlaka husika kuwafuatilia wanafunzi watakao hitimu katika shule hizi ili kujua maendeleo yao na kuwaunga mkono ili Vipaji vyao visife wanapomaliza masomo yao.

Mbili, Washindi wa UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa wahamishiwe katika SHULE MAALUMU ZA MICHEZO.

Kama tunavyojua baada ya kukamilika kwa michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA washindi hupewa zawadi na pongezi, na baada ya hapo hurudi katika shule zao kwa ajili ya kuendelea na masomo yao na kusubiri mashindano mengine kama hayo mwaka mwingine. Utaratibu huu hautoi nafasi kwa mshindi huyu kuendeleza kipaji chake kwasababu awapo shuleni anapata muda mchache kuonesha na kukuza kipaji chake. Hivyo itakuwa vizuri kama washindi wote watapewa nafasi ya kujiunga na shule maalumu za michezo kama mpango mkakati wa serikali katika kuendeleza vipaji vyao.

Tatu, Serikali ikaribishe Wadhamini na wadau mbalimbali ili kuunga mkono michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.
Ili mashindano haya yafanyike kwa ubora na kuongeza hali kwa Washiriki na wadau wote wa michezo, serikali haina budi sasa kutafuta wadhamini watakao ongeza nguvu katika kuunga mkono michezo hii ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.

Hii ni pamoja na kuwasaidia wanamichezo wote Vifaa vya mashindano, kuboresha viwanja vinavyotumika katika michezo hii, kuboresha zawadi kwa washindi na kuwawezesha kwa namna zote wasimamizi wa michezo hii wakiwemo Walimu wanao Safiri na wanafunzi kutoka mashuleni. Tunatambua mchango mkubwa wa serikali, lakini ni lazima nguvu iongezwe ili kuboresha zaidi.

MWISHO
Kama ilivyo kauli mbiu isemayo" MICHEZO NI AFYA, MICHEZO NI AJIRA" Hatuna budi kama taifa kuifanya michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA kama ajira kwa vijana wetu wanapomaliza masomo yao na hivyo kuliwakilisha taifa katika Anga la kimichezo KITAIFA na KIMATAIFA.
Nakukaribisha mwanajukwaa kuendelea kupitia Uzi huu.
Usisahau kulipigia kura andiko hili na kulike.
 
UTANGULIZI.
Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya Fedha ( silver) katika mbio za mita 3000, katika Mashindano ya OLYMPICS ambayo ni mashindano makubwa ya kimichezo duniani.Hii ikiwa ni medali ya pili kwa Tanzania katika michezo ya OLYMPICS .Hakika hii ni Simulizi ya kusisimua iliyowaacha wazungu midomo wazi.

Ni Shujaa huyu ambaye mwaka 1973 na 1978 katika mashindano ya AFRICAN GAMES alishinda medali ya Dhahabu katika mashindano hayo yote. Mwaka 1974 katika mashindano ya COMMON WEALTH GAMES yaliyofanyika CHRISTCHURCH "New zealand" aliweka rekodi ya kukimbia mita 1500 kwa dakika 3 na sekunde 32.2 mbele ya Mwanariadha kutoka New zealand John walker na Mkenya Ben Jipcho hivyo kushinda medali ya Dhahabu, Huyu ndiye Shujaa wa Tanzania FILBERT BAYI SANKA mwanajeshi mstaafu wa Tanzania ambaye alistaafu jeshi mwaka 2001 katika cheo cha Meja kitengo cha ufundi wa ndege jeshini.

Kipindi chote hicho cha Mafanikio ya Riadha na Michezo kwa ujumla Nchini kupitia kwa wanariadha FILBERT BAYI SANKA,JUMA IKANGAA,SULEIMAN NYAMBUI, GIDAMIS SHAGANGA, MWINGA MWANJALA,NAZAELI KYOMO na wengine wengi Alikuwepo Jenerali MRISHO HAGAI SARAKIKYA ambaye alikuwa mkuu wa majeshi wa kwanza( CDF) mara baada ya Tanganyika kupata uhuru na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi kutoka mwaka 1964 hadi 1974 alipostaafu, Wakati akiwa mkuu wa majeshi alikuwa pia ndiye mweyekiti wa chama cha riadha Tanzania (TAA) kuanzia mwaka 1962 hadi 1972. Na Baada ya kustaafu jeshi mwaka 1974 mwalimu Julius kambarage nyerere ambaye alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimteua kuwa Waziri wa Michezo, vijana na Utamaduni.

View attachment 2337905
Waziri wa michezo, vijana na utamaduni(1974) katikati, akiwa na filbert bayi( kushoto) pamoja na Juma Ikangaa (Kulia). PICHA NA ISSA MICHUZI BLOGSPORT.COM

JINSI UMISSETA NA UMITASHUMTA INAVYOIBUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO.
Umoja wa michezo ya shule za sekondari( UMISSETA) ni eneo la mpito kwa wanamichezo wanaochipukia, wakiwa wametokea ngazi ya chini ya UMITASHUMTA ambayo ni umoja wa michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania. Kutoka katika ngazi hizo wanamichezo hao vijana wanaweza sasa kuingia kwenye ushindani zaidi wa michezo ndani hata nje ya Nchi. UMISSETA na UMITASHUMTA ni viwanda vya kuwapita vijana wangali wadogo katika michezo mbalimbali kama vile Michezo ya Bao, Kikapu, kurusha tufe, Netiboli, mpira wa mikono, Riadha, Soka, wavu pamoja na Sanaa za maonesho. Serikali kupitia katika wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na ile ya Elimu, sayansi na teknolojia imekuwa ikisimamia na kuendeleza michezo hii ya UMISSETA na UMITASHUMTA mwaka hadi mwaka. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika kuboresha michezo hii muhimu kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari nchini.
View attachment 2337910
View attachment 2337940
View attachment 2337950
Picha mbalimbali zikionesha wanafunzi wakiwa katika michezo ya Umisseta na Umitashumta mwaka huu 2022 Tabora.(picha zote kutoka ORTAMISEMI)

NI KWA NAMNA GANI VIPAJI VYA UMISSETA NA UMITASHUMTA VINAWEZA KUENDELEZWA ILI KUTUKOMBOA KIMICHEZO.
Hili ndilo swali ambalo mimi na wewe msomaji tunapaswa kujiuliza kwa manufaa mapana ya Taifa letu katika medali za kimichezo ndani na nje ya Nchi. Michezo ya Umisseta na Umitashumta inatakiwa kuwa yenye tija kwa taifa kwa kutengeneza wanamichezo ambao wataliwakilisha taifa baadae katika Mashindano mbali mbali ya kimichezo kama vile michezo ya OLYMPICS, michezo ya JUMUIYA YA MADOLA, KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ( AFCON), pamoja na michuano mikubwa ya KOMBE LA DUNIA. Ni kupitia UMISSETA NA UMITASHUMTA tutaweza kupata wanamichezo wengine mashuhuri kama akina FILBERT BAYI, ZAMOYONI MOGELA,MBWANA SAMATTA na ALPHONCE SIMBU .Ili yote haya yaweze kufanikiwa mambo yafuatayo ni muhimu kutekelezwa.

Moja, Kutengwa kwa shule za michezo kila Mkoa kwa ngazi zote za Msingi na sekondari.
Naipongeza serikali yetu kwani Tayari imetenga bajeti na kuanza ujenzi wa shule hizi maalumu za michezo katika kila mkoa, hili ni jambo jema na lenye afya kwa taifa letu katika michezo. Shule hizi zitakuwa na walimu wabobezi katika michezo mbalimbali hivyo pamoja na kutoa Taaluma ya Darasani wanafunzi watapata wasaa wa kusoma MICHEZO kwa nadharia na vitendo hivyo kuwafanya kuwa bora kimichezo. Pamoja na kupata elimu ya michezo wataweza pia kufundishwa LUGHA mbalimbali za Kimataifa kama vile KIFARANSA, KIINGEREZA, KIJERUMANI na KICHINA hivyo kuwaandaa Kushindana vyema kimataifa. Ni wajibu kwa serikali kupitia mamlaka husika kuwafuatilia wanafunzi watakao hitimu katika shule hizi ili kujua maendeleo yao na kuwaunga mkono ili Vipaji vyao visife wanapomaliza masomo yao.

Mbili, Washindi wa UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa wahamishiwe katika SHULE MAALUMU ZA MICHEZO.

Kama tunavyojua baada ya kukamilika kwa michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA washindi hupewa zawadi na pongezi, na baada ya hapo hurudi katika shule zao kwa ajili ya kuendelea na masomo yao na kusubiri mashindano mengine kama hayo mwaka mwingine. Utaratibu huu hautoi nafasi kwa mshindi huyu kuendeleza kipaji chake kwasababu awapo shuleni anapata muda mchache kuonesha na kukuza kipaji chake. Hivyo itakuwa vizuri kama washindi wote watapewa nafasi ya kujiunga na shule maalumu za michezo kama mpango mkakati wa serikali katika kuendeleza vipaji vyao.

Tatu, Serikali ikaribishe Wadhamini na wadau mbalimbali ili kuunga mkono michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.
Ili mashindano haya yafanyike kwa ubora na kuongeza hali kwa Washiriki na wadau wote wa michezo, serikali haina budi sasa kutafuta wadhamini watakao ongeza nguvu katika kuunga mkono michezo hii ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.

Hii ni pamoja na kuwasaidia wanamichezo wote Vifaa vya mashindano, kuboresha viwanja vinavyotumika katika michezo hii, kuboresha zawadi kwa washindi na kuwawezesha kwa namna zote wasimamizi wa michezo hii wakiwemo Walimu wanao Safiri na wanafunzi kutoka mashuleni. Tunatambua mchango mkubwa wa serikali, lakini ni lazima nguvu iongezwe ili kuboresha zaidi.

MWISHO
Kama ilivyo kauli mbiu isemayo" MICHEZO NI AFYA, MICHEZO NI AJIRA" Hatuna budi kama taifa kuifanya michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA kama ajira kwa vijana wetu wanapomaliza masomo yao na hivyo kuliwakilisha taifa katika Anga la kimichezo KITAIFA na KIMATAIFA.
Its fantastic article. Hongera sana mwandishi kwa makala hii nzuri inayoelezea umuhimu wa michezo ya umisseta na Umitashumta mashuleni na namna inavyoweza kuibua vipaji vingi.

Big up sana. Kura yangu nimekupa
 
Its fantastic article. Hongera sana mwandishi kwa makala hii nzuri inayoelezea umuhimu wa michezo ya umisseta na Umitashumta mashuleni na namna inavyoweza kuibua vipaji vingi.

Big up sana. Kura yangu nimekupa
Okay tuko pamoja mwana jukwaa.
 
UTANGULIZI.
Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya Fedha ( silver) katika mbio za mita 3000, katika Mashindano ya OLYMPICS ambayo ni mashindano makubwa ya kimichezo duniani.Hii ikiwa ni medali ya pili kwa Tanzania katika michezo ya OLYMPICS .Hakika hii ni Simulizi ya kusisimua iliyowaacha wazungu midomo wazi.

Ni Shujaa huyu ambaye mwaka 1973 na 1978 katika mashindano ya AFRICAN GAMES alishinda medali ya Dhahabu katika mashindano hayo yote. Mwaka 1974 katika mashindano ya COMMON WEALTH GAMES yaliyofanyika CHRISTCHURCH "New zealand" aliweka rekodi ya kukimbia mita 1500 kwa dakika 3 na sekunde 32.2 mbele ya Mwanariadha kutoka New zealand John walker na Mkenya Ben Jipcho hivyo kushinda medali ya Dhahabu, Huyu ndiye Shujaa wa Tanzania FILBERT BAYI SANKA mwanajeshi mstaafu wa Tanzania ambaye alistaafu jeshi mwaka 2001 katika cheo cha Meja kitengo cha ufundi wa ndege jeshini.

Kipindi chote hicho cha Mafanikio ya Riadha na Michezo kwa ujumla Nchini kupitia kwa wanariadha FILBERT BAYI SANKA,JUMA IKANGAA,SULEIMAN NYAMBUI, GIDAMIS SHAGANGA, MWINGA MWANJALA,NAZAELI KYOMO na wengine wengi Alikuwepo Jenerali MRISHO HAGAI SARAKIKYA ambaye alikuwa mkuu wa majeshi wa kwanza( CDF) mara baada ya Tanganyika kupata uhuru na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi kutoka mwaka 1964 hadi 1974 alipostaafu, Wakati akiwa mkuu wa majeshi alikuwa pia ndiye mweyekiti wa chama cha riadha Tanzania (TAA) kuanzia mwaka 1962 hadi 1972. Na Baada ya kustaafu jeshi mwaka 1974 mwalimu Julius kambarage nyerere ambaye alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimteua kuwa Waziri wa Michezo, vijana na Utamaduni.

View attachment 2337905
Waziri wa michezo, vijana na utamaduni(1974) katikati, akiwa na filbert bayi( kushoto) pamoja na Juma Ikangaa (Kulia). PICHA NA ISSA MICHUZI BLOGSPORT.COM

JINSI UMISSETA NA UMITASHUMTA INAVYOIBUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO.
Umoja wa michezo ya shule za sekondari( UMISSETA) ni eneo la mpito kwa wanamichezo wanaochipukia, wakiwa wametokea ngazi ya chini ya UMITASHUMTA ambayo ni umoja wa michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania. Kutoka katika ngazi hizo wanamichezo hao vijana wanaweza sasa kuingia kwenye ushindani zaidi wa michezo ndani hata nje ya Nchi. UMISSETA na UMITASHUMTA ni viwanda vya kuwapita vijana wangali wadogo katika michezo mbalimbali kama vile Michezo ya Bao, Kikapu, kurusha tufe, Netiboli, mpira wa mikono, Riadha, Soka, wavu pamoja na Sanaa za maonesho. Serikali kupitia katika wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na ile ya Elimu, sayansi na teknolojia imekuwa ikisimamia na kuendeleza michezo hii ya UMISSETA na UMITASHUMTA mwaka hadi mwaka. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika kuboresha michezo hii muhimu kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari nchini.
View attachment 2337910
View attachment 2337940
View attachment 2337950
Picha mbalimbali zikionesha wanafunzi wakiwa katika michezo ya Umisseta na Umitashumta mwaka huu 2022 Tabora.(picha zote kutoka ORTAMISEMI)

NI KWA NAMNA GANI VIPAJI VYA UMISSETA NA UMITASHUMTA VINAWEZA KUENDELEZWA ILI KUTUKOMBOA KIMICHEZO.
Hili ndilo swali ambalo mimi na wewe msomaji tunapaswa kujiuliza kwa manufaa mapana ya Taifa letu katika medali za kimichezo ndani na nje ya Nchi. Michezo ya Umisseta na Umitashumta inatakiwa kuwa yenye tija kwa taifa kwa kutengeneza wanamichezo ambao wataliwakilisha taifa baadae katika Mashindano mbali mbali ya kimichezo kama vile michezo ya OLYMPICS, michezo ya JUMUIYA YA MADOLA, KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ( AFCON), pamoja na michuano mikubwa ya KOMBE LA DUNIA. Ni kupitia UMISSETA NA UMITASHUMTA tutaweza kupata wanamichezo wengine mashuhuri kama akina FILBERT BAYI, ZAMOYONI MOGELA,MBWANA SAMATTA na ALPHONCE SIMBU .Ili yote haya yaweze kufanikiwa mambo yafuatayo ni muhimu kutekelezwa.

Moja, Kutengwa kwa shule za michezo kila Mkoa kwa ngazi zote za Msingi na sekondari.
Naipongeza serikali yetu kwani Tayari imetenga bajeti na kuanza ujenzi wa shule hizi maalumu za michezo katika kila mkoa, hili ni jambo jema na lenye afya kwa taifa letu katika michezo. Shule hizi zitakuwa na walimu wabobezi katika michezo mbalimbali hivyo pamoja na kutoa Taaluma ya Darasani wanafunzi watapata wasaa wa kusoma MICHEZO kwa nadharia na vitendo hivyo kuwafanya kuwa bora kimichezo. Pamoja na kupata elimu ya michezo wataweza pia kufundishwa LUGHA mbalimbali za Kimataifa kama vile KIFARANSA, KIINGEREZA, KIJERUMANI na KICHINA hivyo kuwaandaa Kushindana vyema kimataifa. Ni wajibu kwa serikali kupitia mamlaka husika kuwafuatilia wanafunzi watakao hitimu katika shule hizi ili kujua maendeleo yao na kuwaunga mkono ili Vipaji vyao visife wanapomaliza masomo yao.

Mbili, Washindi wa UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa wahamishiwe katika SHULE MAALUMU ZA MICHEZO.

Kama tunavyojua baada ya kukamilika kwa michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA washindi hupewa zawadi na pongezi, na baada ya hapo hurudi katika shule zao kwa ajili ya kuendelea na masomo yao na kusubiri mashindano mengine kama hayo mwaka mwingine. Utaratibu huu hautoi nafasi kwa mshindi huyu kuendeleza kipaji chake kwasababu awapo shuleni anapata muda mchache kuonesha na kukuza kipaji chake. Hivyo itakuwa vizuri kama washindi wote watapewa nafasi ya kujiunga na shule maalumu za michezo kama mpango mkakati wa serikali katika kuendeleza vipaji vyao.

Tatu, Serikali ikaribishe Wadhamini na wadau mbalimbali ili kuunga mkono michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.
Ili mashindano haya yafanyike kwa ubora na kuongeza hali kwa Washiriki na wadau wote wa michezo, serikali haina budi sasa kutafuta wadhamini watakao ongeza nguvu katika kuunga mkono michezo hii ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.

Hii ni pamoja na kuwasaidia wanamichezo wote Vifaa vya mashindano, kuboresha viwanja vinavyotumika katika michezo hii, kuboresha zawadi kwa washindi na kuwawezesha kwa namna zote wasimamizi wa michezo hii wakiwemo Walimu wanao Safiri na wanafunzi kutoka mashuleni. Tunatambua mchango mkubwa wa serikali, lakini ni lazima nguvu iongezwe ili kuboresha zaidi.

MWISHO
Kama ilivyo kauli mbiu isemayo" MICHEZO NI AFYA, MICHEZO NI AJIRA" Hatuna budi kama taifa kuifanya michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA kama ajira kwa vijana wetu wanapomaliza masomo yao na hivyo kuliwakilisha taifa katika Anga la kimichezo KITAIFA na KIMATAIFA.
Tenga muda wako kupitia makala hii na kutoa maoni na mapendekezo pia.

Tafadhari usiache kulipigia andiko hili KURA yako.
 
Tenga muda wako kupitia makala hii na kutoa maoni na mapendekezo pia.

Tafadhari usiache kulipigia andiko hili KURA yako.
Tuendelee tuendele kusoma na HAKIKISHA UMEBONYEZA SEHEMU ILIYOANDIKWA VOTE ILI UWEZE KULIPIGIA KURA ANDIKO HILI
 
Safi sana ndugu kwa andiko ZURI sana.
Nimependa sana mpangilio wake, hakika ni andiko lililobeba ujumbe mkubwa sana.

Tokea nimeanza kusoma Maandiko mbalimbali katika jukwaa hili. Andiko hili ni moja ya andiko bora kwangu.

Kura yangu nimekwisha kupigia kiongozi
Asante mwana jukwaa kwa kupitia andiko hili na kulipigia kura.

Nawakaribisha wanajukwaa kupitia andiko hili.kisha kubonyeza sehemu iliyoandikwa VOTE ili kulipigia kura.
 
UTANGULIZI.
Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya Fedha ( silver) katika mbio za mita 3000, katika Mashindano ya OLYMPICS ambayo ni mashindano makubwa ya kimichezo duniani.Hii ikiwa ni medali ya pili kwa Tanzania katika michezo ya OLYMPICS .Hakika hii ni Simulizi ya kusisimua iliyowaacha wazungu midomo wazi.

Ni Shujaa huyu ambaye mwaka 1973 na 1978 katika mashindano ya AFRICAN GAMES alishinda medali ya Dhahabu katika mashindano hayo yote. Mwaka 1974 katika mashindano ya COMMON WEALTH GAMES yaliyofanyika CHRISTCHURCH "New zealand" aliweka rekodi ya kukimbia mita 1500 kwa dakika 3 na sekunde 32.2 mbele ya Mwanariadha kutoka New zealand John walker na Mkenya Ben Jipcho hivyo kushinda medali ya Dhahabu, Huyu ndiye Shujaa wa Tanzania FILBERT BAYI SANKA mwanajeshi mstaafu wa Tanzania ambaye alistaafu jeshi mwaka 2001 katika cheo cha Meja kitengo cha ufundi wa ndege jeshini.

Kipindi chote hicho cha Mafanikio ya Riadha na Michezo kwa ujumla Nchini kupitia kwa wanariadha FILBERT BAYI SANKA,JUMA IKANGAA,SULEIMAN NYAMBUI, GIDAMIS SHAGANGA, MWINGA MWANJALA,NAZAELI KYOMO na wengine wengi Alikuwepo Jenerali MRISHO HAGAI SARAKIKYA ambaye alikuwa mkuu wa majeshi wa kwanza( CDF) mara baada ya Tanganyika kupata uhuru na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi kutoka mwaka 1964 hadi 1974 alipostaafu, Wakati akiwa mkuu wa majeshi alikuwa pia ndiye mweyekiti wa chama cha riadha Tanzania (TAA) kuanzia mwaka 1962 hadi 1972. Na Baada ya kustaafu jeshi mwaka 1974 mwalimu Julius kambarage nyerere ambaye alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimteua kuwa Waziri wa Michezo, vijana na Utamaduni.

View attachment 2337905
Waziri wa michezo, vijana na utamaduni(1974) katikati, akiwa na filbert bayi( kushoto) pamoja na Juma Ikangaa (Kulia). PICHA NA ISSA MICHUZI BLOGSPORT.COM

JINSI UMISSETA NA UMITASHUMTA INAVYOIBUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO.
Umoja wa michezo ya shule za sekondari( UMISSETA) ni eneo la mpito kwa wanamichezo wanaochipukia, wakiwa wametokea ngazi ya chini ya UMITASHUMTA ambayo ni umoja wa michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania. Kutoka katika ngazi hizo wanamichezo hao vijana wanaweza sasa kuingia kwenye ushindani zaidi wa michezo ndani hata nje ya Nchi. UMISSETA na UMITASHUMTA ni viwanda vya kuwapita vijana wangali wadogo katika michezo mbalimbali kama vile Michezo ya Bao, Kikapu, kurusha tufe, Netiboli, mpira wa mikono, Riadha, Soka, wavu pamoja na Sanaa za maonesho. Serikali kupitia katika wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na ile ya Elimu, sayansi na teknolojia imekuwa ikisimamia na kuendeleza michezo hii ya UMISSETA na UMITASHUMTA mwaka hadi mwaka. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika kuboresha michezo hii muhimu kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari nchini.
View attachment 2337910
View attachment 2337940
View attachment 2337950
Picha mbalimbali zikionesha wanafunzi wakiwa katika michezo ya Umisseta na Umitashumta mwaka huu 2022 Tabora.(picha zote kutoka ORTAMISEMI)

NI KWA NAMNA GANI VIPAJI VYA UMISSETA NA UMITASHUMTA VINAWEZA KUENDELEZWA ILI KUTUKOMBOA KIMICHEZO.
Hili ndilo swali ambalo mimi na wewe msomaji tunapaswa kujiuliza kwa manufaa mapana ya Taifa letu katika medali za kimichezo ndani na nje ya Nchi. Michezo ya Umisseta na Umitashumta inatakiwa kuwa yenye tija kwa taifa kwa kutengeneza wanamichezo ambao wataliwakilisha taifa baadae katika Mashindano mbali mbali ya kimichezo kama vile michezo ya OLYMPICS, michezo ya JUMUIYA YA MADOLA, KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ( AFCON), pamoja na michuano mikubwa ya KOMBE LA DUNIA. Ni kupitia UMISSETA NA UMITASHUMTA tutaweza kupata wanamichezo wengine mashuhuri kama akina FILBERT BAYI, ZAMOYONI MOGELA,MBWANA SAMATTA na ALPHONCE SIMBU .Ili yote haya yaweze kufanikiwa mambo yafuatayo ni muhimu kutekelezwa.

Moja, Kutengwa kwa shule za michezo kila Mkoa kwa ngazi zote za Msingi na sekondari.
Naipongeza serikali yetu kwani Tayari imetenga bajeti na kuanza ujenzi wa shule hizi maalumu za michezo katika kila mkoa, hili ni jambo jema na lenye afya kwa taifa letu katika michezo. Shule hizi zitakuwa na walimu wabobezi katika michezo mbalimbali hivyo pamoja na kutoa Taaluma ya Darasani wanafunzi watapata wasaa wa kusoma MICHEZO kwa nadharia na vitendo hivyo kuwafanya kuwa bora kimichezo. Pamoja na kupata elimu ya michezo wataweza pia kufundishwa LUGHA mbalimbali za Kimataifa kama vile KIFARANSA, KIINGEREZA, KIJERUMANI na KICHINA hivyo kuwaandaa Kushindana vyema kimataifa. Ni wajibu kwa serikali kupitia mamlaka husika kuwafuatilia wanafunzi watakao hitimu katika shule hizi ili kujua maendeleo yao na kuwaunga mkono ili Vipaji vyao visife wanapomaliza masomo yao.

Mbili, Washindi wa UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa wahamishiwe katika SHULE MAALUMU ZA MICHEZO.

Kama tunavyojua baada ya kukamilika kwa michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA washindi hupewa zawadi na pongezi, na baada ya hapo hurudi katika shule zao kwa ajili ya kuendelea na masomo yao na kusubiri mashindano mengine kama hayo mwaka mwingine. Utaratibu huu hautoi nafasi kwa mshindi huyu kuendeleza kipaji chake kwasababu awapo shuleni anapata muda mchache kuonesha na kukuza kipaji chake. Hivyo itakuwa vizuri kama washindi wote watapewa nafasi ya kujiunga na shule maalumu za michezo kama mpango mkakati wa serikali katika kuendeleza vipaji vyao.

Tatu, Serikali ikaribishe Wadhamini na wadau mbalimbali ili kuunga mkono michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.
Ili mashindano haya yafanyike kwa ubora na kuongeza hali kwa Washiriki na wadau wote wa michezo, serikali haina budi sasa kutafuta wadhamini watakao ongeza nguvu katika kuunga mkono michezo hii ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.

Hii ni pamoja na kuwasaidia wanamichezo wote Vifaa vya mashindano, kuboresha viwanja vinavyotumika katika michezo hii, kuboresha zawadi kwa washindi na kuwawezesha kwa namna zote wasimamizi wa michezo hii wakiwemo Walimu wanao Safiri na wanafunzi kutoka mashuleni. Tunatambua mchango mkubwa wa serikali, lakini ni lazima nguvu iongezwe ili kuboresha zaidi.

MWISHO
Kama ilivyo kauli mbiu isemayo" MICHEZO NI AFYA, MICHEZO NI AJIRA" Hatuna budi kama taifa kuifanya michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA kama ajira kwa vijana wetu wanapomaliza masomo yao na hivyo kuliwakilisha taifa katika Anga la kimichezo KITAIFA na KIMATAIFA.
Endelea kuchukua Muda wako KUSOMA andiko hili na kumbuku KUBONYEZA SEHEMU ILIYOANDIKWA "VOTE" ili kulipigia kura andiko hili.
 
UTANGULIZI.
Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya Fedha ( silver) katika mbio za mita 3000, katika Mashindano ya OLYMPICS ambayo ni mashindano makubwa ya kimichezo duniani.Hii ikiwa ni medali ya pili kwa Tanzania katika michezo ya OLYMPICS .Hakika hii ni Simulizi ya kusisimua iliyowaacha wazungu midomo wazi.

Ni Shujaa huyu ambaye mwaka 1973 na 1978 katika mashindano ya AFRICAN GAMES alishinda medali ya Dhahabu katika mashindano hayo yote. Mwaka 1974 katika mashindano ya COMMON WEALTH GAMES yaliyofanyika CHRISTCHURCH "New zealand" aliweka rekodi ya kukimbia mita 1500 kwa dakika 3 na sekunde 32.2 mbele ya Mwanariadha kutoka New zealand John walker na Mkenya Ben Jipcho hivyo kushinda medali ya Dhahabu, Huyu ndiye Shujaa wa Tanzania FILBERT BAYI SANKA mwanajeshi mstaafu wa Tanzania ambaye alistaafu jeshi mwaka 2001 katika cheo cha Meja kitengo cha ufundi wa ndege jeshini.

Kipindi chote hicho cha Mafanikio ya Riadha na Michezo kwa ujumla Nchini kupitia kwa wanariadha FILBERT BAYI SANKA,JUMA IKANGAA,SULEIMAN NYAMBUI, GIDAMIS SHAGANGA, MWINGA MWANJALA,NAZAELI KYOMO na wengine wengi Alikuwepo Jenerali MRISHO HAGAI SARAKIKYA ambaye alikuwa mkuu wa majeshi wa kwanza( CDF) mara baada ya Tanganyika kupata uhuru na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi kutoka mwaka 1964 hadi 1974 alipostaafu, Wakati akiwa mkuu wa majeshi alikuwa pia ndiye mweyekiti wa chama cha riadha Tanzania (TAA) kuanzia mwaka 1962 hadi 1972. Na Baada ya kustaafu jeshi mwaka 1974 mwalimu Julius kambarage nyerere ambaye alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimteua kuwa Waziri wa Michezo, vijana na Utamaduni.

View attachment 2337905
Waziri wa michezo, vijana na utamaduni(1974) katikati, akiwa na filbert bayi( kushoto) pamoja na Juma Ikangaa (Kulia). PICHA NA ISSA MICHUZI BLOGSPORT.COM

JINSI UMISSETA NA UMITASHUMTA INAVYOIBUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO.
Umoja wa michezo ya shule za sekondari( UMISSETA) ni eneo la mpito kwa wanamichezo wanaochipukia, wakiwa wametokea ngazi ya chini ya UMITASHUMTA ambayo ni umoja wa michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania. Kutoka katika ngazi hizo wanamichezo hao vijana wanaweza sasa kuingia kwenye ushindani zaidi wa michezo ndani hata nje ya Nchi. UMISSETA na UMITASHUMTA ni viwanda vya kuwapita vijana wangali wadogo katika michezo mbalimbali kama vile Michezo ya Bao, Kikapu, kurusha tufe, Netiboli, mpira wa mikono, Riadha, Soka, wavu pamoja na Sanaa za maonesho. Serikali kupitia katika wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na ile ya Elimu, sayansi na teknolojia imekuwa ikisimamia na kuendeleza michezo hii ya UMISSETA na UMITASHUMTA mwaka hadi mwaka. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika kuboresha michezo hii muhimu kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari nchini.
View attachment 2337910
View attachment 2337940
View attachment 2337950
Picha mbalimbali zikionesha wanafunzi wakiwa katika michezo ya Umisseta na Umitashumta mwaka huu 2022 Tabora.(picha zote kutoka ORTAMISEMI)

NI KWA NAMNA GANI VIPAJI VYA UMISSETA NA UMITASHUMTA VINAWEZA KUENDELEZWA ILI KUTUKOMBOA KIMICHEZO.
Hili ndilo swali ambalo mimi na wewe msomaji tunapaswa kujiuliza kwa manufaa mapana ya Taifa letu katika medali za kimichezo ndani na nje ya Nchi. Michezo ya Umisseta na Umitashumta inatakiwa kuwa yenye tija kwa taifa kwa kutengeneza wanamichezo ambao wataliwakilisha taifa baadae katika Mashindano mbali mbali ya kimichezo kama vile michezo ya OLYMPICS, michezo ya JUMUIYA YA MADOLA, KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ( AFCON), pamoja na michuano mikubwa ya KOMBE LA DUNIA. Ni kupitia UMISSETA NA UMITASHUMTA tutaweza kupata wanamichezo wengine mashuhuri kama akina FILBERT BAYI, ZAMOYONI MOGELA,MBWANA SAMATTA na ALPHONCE SIMBU .Ili yote haya yaweze kufanikiwa mambo yafuatayo ni muhimu kutekelezwa.

Moja, Kutengwa kwa shule za michezo kila Mkoa kwa ngazi zote za Msingi na sekondari.
Naipongeza serikali yetu kwani Tayari imetenga bajeti na kuanza ujenzi wa shule hizi maalumu za michezo katika kila mkoa, hili ni jambo jema na lenye afya kwa taifa letu katika michezo. Shule hizi zitakuwa na walimu wabobezi katika michezo mbalimbali hivyo pamoja na kutoa Taaluma ya Darasani wanafunzi watapata wasaa wa kusoma MICHEZO kwa nadharia na vitendo hivyo kuwafanya kuwa bora kimichezo. Pamoja na kupata elimu ya michezo wataweza pia kufundishwa LUGHA mbalimbali za Kimataifa kama vile KIFARANSA, KIINGEREZA, KIJERUMANI na KICHINA hivyo kuwaandaa Kushindana vyema kimataifa. Ni wajibu kwa serikali kupitia mamlaka husika kuwafuatilia wanafunzi watakao hitimu katika shule hizi ili kujua maendeleo yao na kuwaunga mkono ili Vipaji vyao visife wanapomaliza masomo yao.

Mbili, Washindi wa UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa wahamishiwe katika SHULE MAALUMU ZA MICHEZO.

Kama tunavyojua baada ya kukamilika kwa michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA washindi hupewa zawadi na pongezi, na baada ya hapo hurudi katika shule zao kwa ajili ya kuendelea na masomo yao na kusubiri mashindano mengine kama hayo mwaka mwingine. Utaratibu huu hautoi nafasi kwa mshindi huyu kuendeleza kipaji chake kwasababu awapo shuleni anapata muda mchache kuonesha na kukuza kipaji chake. Hivyo itakuwa vizuri kama washindi wote watapewa nafasi ya kujiunga na shule maalumu za michezo kama mpango mkakati wa serikali katika kuendeleza vipaji vyao.

Tatu, Serikali ikaribishe Wadhamini na wadau mbalimbali ili kuunga mkono michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.
Ili mashindano haya yafanyike kwa ubora na kuongeza hali kwa Washiriki na wadau wote wa michezo, serikali haina budi sasa kutafuta wadhamini watakao ongeza nguvu katika kuunga mkono michezo hii ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.

Hii ni pamoja na kuwasaidia wanamichezo wote Vifaa vya mashindano, kuboresha viwanja vinavyotumika katika michezo hii, kuboresha zawadi kwa washindi na kuwawezesha kwa namna zote wasimamizi wa michezo hii wakiwemo Walimu wanao Safiri na wanafunzi kutoka mashuleni. Tunatambua mchango mkubwa wa serikali, lakini ni lazima nguvu iongezwe ili kuboresha zaidi.

MWISHO
Kama ilivyo kauli mbiu isemayo" MICHEZO NI AFYA, MICHEZO NI AJIRA" Hatuna budi kama taifa kuifanya michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA kama ajira kwa vijana wetu wanapomaliza masomo yao na hivyo kuliwakilisha taifa katika Anga la kimichezo KITAIFA na KIMATAIFA.
Niwakaribishe kusoma makala hii yenye ujumbe wa kutosha.

USIACHE KUIPIGIA KURA. Bonyeza sehemu iliyoandikwa VOTE chini ya makala ili uweze kupiga kura yako.
 
UTANGULIZI.
Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya Fedha ( silver) katika mbio za mita 3000, katika Mashindano ya OLYMPICS ambayo ni mashindano makubwa ya kimichezo duniani.Hii ikiwa ni medali ya pili kwa Tanzania katika michezo ya OLYMPICS .Hakika hii ni Simulizi ya kusisimua iliyowaacha wazungu midomo wazi.

Ni Shujaa huyu ambaye mwaka 1973 na 1978 katika mashindano ya AFRICAN GAMES alishinda medali ya Dhahabu katika mashindano hayo yote. Mwaka 1974 katika mashindano ya COMMON WEALTH GAMES yaliyofanyika CHRISTCHURCH "New zealand" aliweka rekodi ya kukimbia mita 1500 kwa dakika 3 na sekunde 32.2 mbele ya Mwanariadha kutoka New zealand John walker na Mkenya Ben Jipcho hivyo kushinda medali ya Dhahabu, Huyu ndiye Shujaa wa Tanzania FILBERT BAYI SANKA mwanajeshi mstaafu wa Tanzania ambaye alistaafu jeshi mwaka 2001 katika cheo cha Meja kitengo cha ufundi wa ndege jeshini.

Kipindi chote hicho cha Mafanikio ya Riadha na Michezo kwa ujumla Nchini kupitia kwa wanariadha FILBERT BAYI SANKA,JUMA IKANGAA,SULEIMAN NYAMBUI, GIDAMIS SHAGANGA, MWINGA MWANJALA,NAZAELI KYOMO na wengine wengi Alikuwepo Jenerali MRISHO HAGAI SARAKIKYA ambaye alikuwa mkuu wa majeshi wa kwanza( CDF) mara baada ya Tanganyika kupata uhuru na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi kutoka mwaka 1964 hadi 1974 alipostaafu, Wakati akiwa mkuu wa majeshi alikuwa pia ndiye mweyekiti wa chama cha riadha Tanzania (TAA) kuanzia mwaka 1962 hadi 1972. Na Baada ya kustaafu jeshi mwaka 1974 mwalimu Julius kambarage nyerere ambaye alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimteua kuwa Waziri wa Michezo, vijana na Utamaduni.

View attachment 2337905
Waziri wa michezo, vijana na utamaduni(1974) katikati, akiwa na filbert bayi( kushoto) pamoja na Juma Ikangaa (Kulia). PICHA NA ISSA MICHUZI BLOGSPORT.COM

JINSI UMISSETA NA UMITASHUMTA INAVYOIBUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO.
Umoja wa michezo ya shule za sekondari( UMISSETA) ni eneo la mpito kwa wanamichezo wanaochipukia, wakiwa wametokea ngazi ya chini ya UMITASHUMTA ambayo ni umoja wa michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania. Kutoka katika ngazi hizo wanamichezo hao vijana wanaweza sasa kuingia kwenye ushindani zaidi wa michezo ndani hata nje ya Nchi. UMISSETA na UMITASHUMTA ni viwanda vya kuwapita vijana wangali wadogo katika michezo mbalimbali kama vile Michezo ya Bao, Kikapu, kurusha tufe, Netiboli, mpira wa mikono, Riadha, Soka, wavu pamoja na Sanaa za maonesho. Serikali kupitia katika wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na ile ya Elimu, sayansi na teknolojia imekuwa ikisimamia na kuendeleza michezo hii ya UMISSETA na UMITASHUMTA mwaka hadi mwaka. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika kuboresha michezo hii muhimu kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari nchini.
View attachment 2337910
View attachment 2337940
View attachment 2337950
Picha mbalimbali zikionesha wanafunzi wakiwa katika michezo ya Umisseta na Umitashumta mwaka huu 2022 Tabora.(picha zote kutoka ORTAMISEMI)

NI KWA NAMNA GANI VIPAJI VYA UMISSETA NA UMITASHUMTA VINAWEZA KUENDELEZWA ILI KUTUKOMBOA KIMICHEZO.
Hili ndilo swali ambalo mimi na wewe msomaji tunapaswa kujiuliza kwa manufaa mapana ya Taifa letu katika medali za kimichezo ndani na nje ya Nchi. Michezo ya Umisseta na Umitashumta inatakiwa kuwa yenye tija kwa taifa kwa kutengeneza wanamichezo ambao wataliwakilisha taifa baadae katika Mashindano mbali mbali ya kimichezo kama vile michezo ya OLYMPICS, michezo ya JUMUIYA YA MADOLA, KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ( AFCON), pamoja na michuano mikubwa ya KOMBE LA DUNIA. Ni kupitia UMISSETA NA UMITASHUMTA tutaweza kupata wanamichezo wengine mashuhuri kama akina FILBERT BAYI, ZAMOYONI MOGELA,MBWANA SAMATTA na ALPHONCE SIMBU .Ili yote haya yaweze kufanikiwa mambo yafuatayo ni muhimu kutekelezwa.

Moja, Kutengwa kwa shule za michezo kila Mkoa kwa ngazi zote za Msingi na sekondari.
Naipongeza serikali yetu kwani Tayari imetenga bajeti na kuanza ujenzi wa shule hizi maalumu za michezo katika kila mkoa, hili ni jambo jema na lenye afya kwa taifa letu katika michezo. Shule hizi zitakuwa na walimu wabobezi katika michezo mbalimbali hivyo pamoja na kutoa Taaluma ya Darasani wanafunzi watapata wasaa wa kusoma MICHEZO kwa nadharia na vitendo hivyo kuwafanya kuwa bora kimichezo. Pamoja na kupata elimu ya michezo wataweza pia kufundishwa LUGHA mbalimbali za Kimataifa kama vile KIFARANSA, KIINGEREZA, KIJERUMANI na KICHINA hivyo kuwaandaa Kushindana vyema kimataifa. Ni wajibu kwa serikali kupitia mamlaka husika kuwafuatilia wanafunzi watakao hitimu katika shule hizi ili kujua maendeleo yao na kuwaunga mkono ili Vipaji vyao visife wanapomaliza masomo yao.

Mbili, Washindi wa UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa wahamishiwe katika SHULE MAALUMU ZA MICHEZO.

Kama tunavyojua baada ya kukamilika kwa michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA washindi hupewa zawadi na pongezi, na baada ya hapo hurudi katika shule zao kwa ajili ya kuendelea na masomo yao na kusubiri mashindano mengine kama hayo mwaka mwingine. Utaratibu huu hautoi nafasi kwa mshindi huyu kuendeleza kipaji chake kwasababu awapo shuleni anapata muda mchache kuonesha na kukuza kipaji chake. Hivyo itakuwa vizuri kama washindi wote watapewa nafasi ya kujiunga na shule maalumu za michezo kama mpango mkakati wa serikali katika kuendeleza vipaji vyao.

Tatu, Serikali ikaribishe Wadhamini na wadau mbalimbali ili kuunga mkono michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.
Ili mashindano haya yafanyike kwa ubora na kuongeza hali kwa Washiriki na wadau wote wa michezo, serikali haina budi sasa kutafuta wadhamini watakao ongeza nguvu katika kuunga mkono michezo hii ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.

Hii ni pamoja na kuwasaidia wanamichezo wote Vifaa vya mashindano, kuboresha viwanja vinavyotumika katika michezo hii, kuboresha zawadi kwa washindi na kuwawezesha kwa namna zote wasimamizi wa michezo hii wakiwemo Walimu wanao Safiri na wanafunzi kutoka mashuleni. Tunatambua mchango mkubwa wa serikali, lakini ni lazima nguvu iongezwe ili kuboresha zaidi.

MWISHO
Kama ilivyo kauli mbiu isemayo" MICHEZO NI AFYA, MICHEZO NI AJIRA" Hatuna budi kama taifa kuifanya michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA kama ajira kwa vijana wetu wanapomaliza masomo yao na hivyo kuliwakilisha taifa katika Anga la kimichezo KITAIFA na KIMATAIFA.
KURA YAKO NI MUHIMU KATIKA ANDIKO HILI MWANAJUKWAA.

Bonyeza sehemu iliyoandikwa VOTE chini ya andiko ili kulipigia kura
 
UTANGULIZI.
Mnamo mwaka 1980 katika jiji la MOSCOW nchini URUSI, historia isiyoweza kusahaulika na Watanzania iliandikwa. Pale mwanariadha wa kitanzania FILBERT BAYI SANKA aliposhinda medali ya Fedha ( silver) katika mbio za mita 3000, katika Mashindano ya OLYMPICS ambayo ni mashindano makubwa ya kimichezo duniani.Hii ikiwa ni medali ya pili kwa Tanzania katika michezo ya OLYMPICS .Hakika hii ni Simulizi ya kusisimua iliyowaacha wazungu midomo wazi.

Ni Shujaa huyu ambaye mwaka 1973 na 1978 katika mashindano ya AFRICAN GAMES alishinda medali ya Dhahabu katika mashindano hayo yote. Mwaka 1974 katika mashindano ya COMMON WEALTH GAMES yaliyofanyika CHRISTCHURCH "New zealand" aliweka rekodi ya kukimbia mita 1500 kwa dakika 3 na sekunde 32.2 mbele ya Mwanariadha kutoka New zealand John walker na Mkenya Ben Jipcho hivyo kushinda medali ya Dhahabu, Huyu ndiye Shujaa wa Tanzania FILBERT BAYI SANKA mwanajeshi mstaafu wa Tanzania ambaye alistaafu jeshi mwaka 2001 katika cheo cha Meja kitengo cha ufundi wa ndege jeshini.

Kipindi chote hicho cha Mafanikio ya Riadha na Michezo kwa ujumla Nchini kupitia kwa wanariadha FILBERT BAYI SANKA,JUMA IKANGAA,SULEIMAN NYAMBUI, GIDAMIS SHAGANGA, MWINGA MWANJALA,NAZAELI KYOMO na wengine wengi Alikuwepo Jenerali MRISHO HAGAI SARAKIKYA ambaye alikuwa mkuu wa majeshi wa kwanza( CDF) mara baada ya Tanganyika kupata uhuru na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi kutoka mwaka 1964 hadi 1974 alipostaafu, Wakati akiwa mkuu wa majeshi alikuwa pia ndiye mweyekiti wa chama cha riadha Tanzania (TAA) kuanzia mwaka 1962 hadi 1972. Na Baada ya kustaafu jeshi mwaka 1974 mwalimu Julius kambarage nyerere ambaye alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimteua kuwa Waziri wa Michezo, vijana na Utamaduni.

View attachment 2337905
Waziri wa michezo, vijana na utamaduni(1974) katikati, akiwa na filbert bayi( kushoto) pamoja na Juma Ikangaa (Kulia). PICHA NA ISSA MICHUZI BLOGSPORT.COM

JINSI UMISSETA NA UMITASHUMTA INAVYOIBUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO.
Umoja wa michezo ya shule za sekondari( UMISSETA) ni eneo la mpito kwa wanamichezo wanaochipukia, wakiwa wametokea ngazi ya chini ya UMITASHUMTA ambayo ni umoja wa michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania. Kutoka katika ngazi hizo wanamichezo hao vijana wanaweza sasa kuingia kwenye ushindani zaidi wa michezo ndani hata nje ya Nchi. UMISSETA na UMITASHUMTA ni viwanda vya kuwapita vijana wangali wadogo katika michezo mbalimbali kama vile Michezo ya Bao, Kikapu, kurusha tufe, Netiboli, mpira wa mikono, Riadha, Soka, wavu pamoja na Sanaa za maonesho. Serikali kupitia katika wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) na ile ya Elimu, sayansi na teknolojia imekuwa ikisimamia na kuendeleza michezo hii ya UMISSETA na UMITASHUMTA mwaka hadi mwaka. Ni ukweli usiopingika kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika kuboresha michezo hii muhimu kwa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari nchini.
View attachment 2337910
View attachment 2337940
View attachment 2337950
Picha mbalimbali zikionesha wanafunzi wakiwa katika michezo ya Umisseta na Umitashumta mwaka huu 2022 Tabora.(picha zote kutoka ORTAMISEMI)

NI KWA NAMNA GANI VIPAJI VYA UMISSETA NA UMITASHUMTA VINAWEZA KUENDELEZWA ILI KUTUKOMBOA KIMICHEZO.
Hili ndilo swali ambalo mimi na wewe msomaji tunapaswa kujiuliza kwa manufaa mapana ya Taifa letu katika medali za kimichezo ndani na nje ya Nchi. Michezo ya Umisseta na Umitashumta inatakiwa kuwa yenye tija kwa taifa kwa kutengeneza wanamichezo ambao wataliwakilisha taifa baadae katika Mashindano mbali mbali ya kimichezo kama vile michezo ya OLYMPICS, michezo ya JUMUIYA YA MADOLA, KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ( AFCON), pamoja na michuano mikubwa ya KOMBE LA DUNIA. Ni kupitia UMISSETA NA UMITASHUMTA tutaweza kupata wanamichezo wengine mashuhuri kama akina FILBERT BAYI, ZAMOYONI MOGELA,MBWANA SAMATTA na ALPHONCE SIMBU .Ili yote haya yaweze kufanikiwa mambo yafuatayo ni muhimu kutekelezwa.

Moja, Kutengwa kwa shule za michezo kila Mkoa kwa ngazi zote za Msingi na sekondari.
Naipongeza serikali yetu kwani Tayari imetenga bajeti na kuanza ujenzi wa shule hizi maalumu za michezo katika kila mkoa, hili ni jambo jema na lenye afya kwa taifa letu katika michezo. Shule hizi zitakuwa na walimu wabobezi katika michezo mbalimbali hivyo pamoja na kutoa Taaluma ya Darasani wanafunzi watapata wasaa wa kusoma MICHEZO kwa nadharia na vitendo hivyo kuwafanya kuwa bora kimichezo. Pamoja na kupata elimu ya michezo wataweza pia kufundishwa LUGHA mbalimbali za Kimataifa kama vile KIFARANSA, KIINGEREZA, KIJERUMANI na KICHINA hivyo kuwaandaa Kushindana vyema kimataifa. Ni wajibu kwa serikali kupitia mamlaka husika kuwafuatilia wanafunzi watakao hitimu katika shule hizi ili kujua maendeleo yao na kuwaunga mkono ili Vipaji vyao visife wanapomaliza masomo yao.

Mbili, Washindi wa UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa wahamishiwe katika SHULE MAALUMU ZA MICHEZO.

Kama tunavyojua baada ya kukamilika kwa michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA washindi hupewa zawadi na pongezi, na baada ya hapo hurudi katika shule zao kwa ajili ya kuendelea na masomo yao na kusubiri mashindano mengine kama hayo mwaka mwingine. Utaratibu huu hautoi nafasi kwa mshindi huyu kuendeleza kipaji chake kwasababu awapo shuleni anapata muda mchache kuonesha na kukuza kipaji chake. Hivyo itakuwa vizuri kama washindi wote watapewa nafasi ya kujiunga na shule maalumu za michezo kama mpango mkakati wa serikali katika kuendeleza vipaji vyao.

Tatu, Serikali ikaribishe Wadhamini na wadau mbalimbali ili kuunga mkono michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.
Ili mashindano haya yafanyike kwa ubora na kuongeza hali kwa Washiriki na wadau wote wa michezo, serikali haina budi sasa kutafuta wadhamini watakao ongeza nguvu katika kuunga mkono michezo hii ya UMISSETA NA UMITASHUMTA.

Hii ni pamoja na kuwasaidia wanamichezo wote Vifaa vya mashindano, kuboresha viwanja vinavyotumika katika michezo hii, kuboresha zawadi kwa washindi na kuwawezesha kwa namna zote wasimamizi wa michezo hii wakiwemo Walimu wanao Safiri na wanafunzi kutoka mashuleni. Tunatambua mchango mkubwa wa serikali, lakini ni lazima nguvu iongezwe ili kuboresha zaidi.

MWISHO
Kama ilivyo kauli mbiu isemayo" MICHEZO NI AFYA, MICHEZO NI AJIRA" Hatuna budi kama taifa kuifanya michezo ya UMISSETA NA UMITASHUMTA kama ajira kwa vijana wetu wanapomaliza masomo yao na hivyo kuliwakilisha taifa katika Anga la kimichezo KITAIFA na KIMATAIFA.
KURA YAKO NI MUHIMU KATIKA ANDIKO HILI MWANA JUKWAA
 
Back
Top Bottom