Vipara na wahaya ni dam dam.

Vipara na wahaya ni dam dam.

gwego1

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2023
Posts
265
Reaction score
897
Wakuu kwema?
Kipi kimejificha kwa hili kabila la kihaya! Kila mmoja wao akifikisha kuanzia miaka 30 tayari anakuwa na upaa.

Shida itakuwa Nini wakuu.

Merry Christmas.
 
Wakuu kwema?
Kipi kimejificha kwa hili kabila la kihaya! Kila mmoja wao akifikisha kuanzia miaka 30 tayari anakuwa na upaa.

Shida itakuwa Nini wakuu.

Merry Christmas.
Tembea maeneo mbalimbali ya nchi uutafute ukweli.
NB;Jielimishe chanzo cha kipara kumtokea mtu.
 
sikukuu imepoa wakirisito hawana hela ☹️☹️☹️☹️
Pesa wanazo waisiharamu...wakati nyinyi wakristo mkidanganyana na mitume wenu wa kuchambia na kupotezeana muda ...wenzenu waisiharamu wanazidi kujipenyeza serikalini tena kufanya ufisadi wa kutisha na kuanzisha makampuni ya kifisadi na kupeana tenda za kiserikali....wakristo mtakuja kulia na kusaga meno siku si nyingi.mnadanganywa na wapumbavu kinamwamposa kuwa ni mitume mshinde makanisani siku 7 zote za week ni kanisa kanisa kanisa ...wakati amri ya mungu wa biblia ipo wazi kabisa kuwa siku sita fanya kazi zako ya saba ni ya bwana
 
Back
Top Bottom