Vipaumbele vya Serikali ya Rais Magufuli havitoshi kutokomeza matatizo tuliyonayo

Vipaumbele vya Serikali ya Rais Magufuli havitoshi kutokomeza matatizo tuliyonayo

DaudiAiko

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
372
Reaction score
310
Wana bodi,

Nina mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kunipa nafasi ku wasiliana na wote tena siku ya leo. Katika kipindi hiki ni vyema kwa wote kufahamu kwamba Rais Magufuli ku wasiliana na wananchi kupitia vyombo vya habari ni kitu ambacho hakipo ndani ya uwezo wetu.

Ratiba ya Rais, kwasababu za usalama, lazima inapangwa siku nyingi sana kabla ya hafla yoyote kanakwamba haya yote yanayo endelea sasa hivi yanaweza yakawa yame pangwa na taarifa za muda muafaka kwa yeye kurejea tena hatharani zitatufikia zitakapo kuwepo.

Mada ya leo na kitu ambacho ningependa kujadili na wote ni kama vipaumbele vya serikali ya Rais Magufuli vinatosha katika undeshaji wa nchi. Serikali ya awamu ya tano imejikita zaidi kwenye ujenzi wa miundo mbinu kuliko vitu vingine vyovyote.

Sikatai umuhimu wa miundombinu hiyo lakini ninaona kwamba kuna kazi kubwa sana isiyo onekana kwa macho ambayo ni ya muhimu zaidi. Mfano mikubwa ni kwamba, serikali ina taasisi na shirika nyingi zinazo milikiwa zaidi na nchi za nje.

Tungekuwa tunamiliki wizara zote na taasisi zote kwa asilimia mia, tungepiga hatua kubwa ndani ya muda mfupi. Tanzania ilitajwa kuwa nchi yenye kipato cha kati. Hiki ni kitu kizuri cha kuanzia lakini umasikini bado upo sana nchini.


Tafakari,
Jumapili njema.
 
Naona mmejipanga kuja kujaribu kubadilisha kinachojadiliwa mitandaoni. Suluhu ni kupata katiba mpya itakayoipa nguvu taasisi imara, na sio majizi machache ya kura kuongoza kwa shuruti na mitazamo yao.
 
Naona mmejipanga kuja kujaribu kubadilisha kinachojadiliwa mitandaoni. Suluhu ni kupata katiba mpya itakayoipa nguvu taasisi imara, na sio majizi machache ya kura kuongoza kwa shuruti na mitazamo yao.
Uchaguzi umekutia hasara kubwa, ulitumia sh ngapi?
 
Ahaaa, $2m? Pole sana ni halali uwe na machungu.

Nenda mahakamani kama muda unaruhusu.

Mahakama ipi? Sheria inasema ndani ya miezi sita baada ya uchaguzi unaweza kwenda mahakamani. Hiyo ndio sheria, ila kwa hizi mahakama za ccm usitegemee haki yoyote kutendeka. Na madictator huwa hawaogopi mahakama bali huogopa nguvu ya umma tu.
 
Mahakama ipi? Sheria inasema ndani ya miezi sita baada ya uchaguzi unaweza kwenda mahakamani. Hiyo ndio sheria, ila kwa hizi mahakama za ccm usitegemee haki yoyote kutendeka. Na madictator huwa hawaogopi mahakama bali huogopa nguvu ya umma tu.
We bwege umebaki kulia na wizi wa kura, wakati watu wanadhurumiwa haki zao.
 
Kila awamu na mambo yake... kila zama na zama zake...
 
Wana bodi,

Nina mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kunipa nafasi ku wasiliana na wote tena siku ya leo. Katika kipindi hiki ni vyema kwa wote kufahamu kwamba Rais Magufuli ku wasiliana na wananchi kupitia vyombo vya habari ni kitu ambacho hakipo ndani ya uwezo wetu.

Ratiba ya Rais, kwasababu za usalama, lazima inapangwa siku nyingi sana kabla ya hafla yoyote kanakwamba haya yote yanayo endelea sasa hivi yanaweza yakawa yame pangwa na taarifa za muda muafaka kwa yeye kurejea tena hatharani zitatufikia zitakapo kuwepo.

Mada ya leo na kitu ambacho ningependa kujadili na wote ni kama vipaumbele vya serikali ya Rais Magufuli vinatosha katika undeshaji wa nchi. Serikali ya awamu ya tano imejikita zaidi kwenye ujenzi wa miundo mbinu kuliko vitu vingine vyovyote.

Sikatai umuhimu wa miundombinu hiyo lakini ninaona kwamba kuna kazi kubwa sana isiyo onekana kwa macho ambayo ni ya muhimu zaidi. Mfano mikubwa ni kwamba, serikali ina taasisi na shirika nyingi zinazo milikiwa zaidi na nchi za nje.

Tungekuwa tunamiliki wizara zote na taasisi zote kwa asilimia mia, tungepiga hatua kubwa ndani ya muda mfupi. Tanzania ilitajwa kuwa nchi yenye kipato cha kati. Hiki ni kitu kizuri cha kuanzia lakini umasikini bado upo sana nchini.


Tafakari,
Jumapili njema.
Mkuu raisi MAGUFULI hana vikao mbele. Yule anahisi nchi au mahitaji ya binadamu ni madaraja. Namchukia sana
 
Subiri mwanao afundishwe kwa kina kuhusu Magufuli kwenye somo la historia kuanzia mwezi Julai
Katika somo la historia ua Tanzania itakuwepo mada inasema maraisi wetu na kutakuwa subtopic inasema raisi wa awamu ya 5 aliaga dunia akiwa madarakani akiiyonga nchi yetu maika 6 pekee.
 
Back
Top Bottom