Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Wanabaraza nimewazua kuhusu vipaumbele halisi tunavyoviendekeza sisi kama Watanzania
1.ULALAMISHI (ilhali tangu tuanze kulalamika hatujapata suluhisho)
2.RUSHWA (katika tafsiri na aina zote za rushwa)
3.NIDHAMU YA UOGA (kwa minajili ya kulinda kitumbua kisiingie mchanga)
4.MAJIBU MEPESI KWA MASWALI MAGUMU
5.KUMPINGA SHETANI KWA MANENO NA KUMKUMBATIA KIVITENDO
6.KURIDHIKA TUKITARAJI SHETANI ATABADILIKA SIKU MOJA KUWA MALAIKA WA NURU
7.KUPIGA SOGA ZISIZO NA TIJA
8.NGONO (tena ngono zembe kweli kweli)
9.KUPENDA UMAARUFU (hata ukiwa ni wa kijuha)
10.UONGOZI (ingawa tumeshindwa kuongoza familia zetu kuwa ktk maadili na utu)
11.WIZI (wa aina zote)
12.UONGO (bila kujali athari zake)
13.VISINGIZIO (visivyo na mashiko yeyote)
14.KUKURUPUKA (mf: angalia watu wanavyokurupuka ikipigwa mbinja ya mwivi… hawareason)
15.KUKATAA KUKOSOLEWA
16.KUAMINI KWAMBA MUNGU ATASHUKA NA KUYAONDOA MATATIZO YETU SIKU MOJA.
orodha iendelee.....
1.ULALAMISHI (ilhali tangu tuanze kulalamika hatujapata suluhisho)
2.RUSHWA (katika tafsiri na aina zote za rushwa)
3.NIDHAMU YA UOGA (kwa minajili ya kulinda kitumbua kisiingie mchanga)
4.MAJIBU MEPESI KWA MASWALI MAGUMU
5.KUMPINGA SHETANI KWA MANENO NA KUMKUMBATIA KIVITENDO
6.KURIDHIKA TUKITARAJI SHETANI ATABADILIKA SIKU MOJA KUWA MALAIKA WA NURU
7.KUPIGA SOGA ZISIZO NA TIJA
8.NGONO (tena ngono zembe kweli kweli)
9.KUPENDA UMAARUFU (hata ukiwa ni wa kijuha)
10.UONGOZI (ingawa tumeshindwa kuongoza familia zetu kuwa ktk maadili na utu)
11.WIZI (wa aina zote)
12.UONGO (bila kujali athari zake)
13.VISINGIZIO (visivyo na mashiko yeyote)
14.KUKURUPUKA (mf: angalia watu wanavyokurupuka ikipigwa mbinja ya mwivi… hawareason)
15.KUKATAA KUKOSOLEWA
16.KUAMINI KWAMBA MUNGU ATASHUKA NA KUYAONDOA MATATIZO YETU SIKU MOJA.
orodha iendelee.....