Vipele ambavyo haviishi toka January, naomba ushauri

Kokwa kavu

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
220
Reaction score
41
nilianza kutokewa na vipelele kwenye vidole ambavyo kukiwa na joto vinawasha nikaanza kutumia cream kama gentrizone lakin havikuisha nikawa naogoe detol lakin wapi nikaenda hospital doctor akasema nipime mpaka kaswendwe kwenda kuchukua majibu asubuh negative nikamkuta doctor mwngne akanipa cetrizen antibiotics na dawa ya maji ya kupaka vikaisha ila baada ya muda vikarud tena kuwasha kukazid vikawa vingi kwenye mapaja na kwenye na kwenye kichwa cha uume vikatoka vyekund vikubwa vinawasha kwel na kutoa maji ucku ndo hua vinawasha sana nicpo lala kwenye feni nitajikuna ucku kucha nikaenda hospital nyngne akanipa sawa nyngne na ya fungus ya kupaka lakin havijaisha now vimetoka vikubwa kwenye miguu kwasababu navaa socks na viatu cku nzima vinaisha kunabaki muwasho nikikuna vinatoka vingne tena nimepiga picha muone vimetokea mkonon na mguun vikubwa naomba ushaur nopate tiba maana vinaninyima raha
 

Attachments

  • 20140507_080048.jpg
    500.6 KB · Views: 1,178
  • 20140507_080020.jpg
    448.1 KB · Views: 1,176
mkuu pole sana
fanya haraka ukachukue vipimo vya HIV
baada ya hapo mtafute dokta MziziMkavu anaweza akawa suruhu ya tatizo lako
 
Last edited by a moderator:
duh pole mkuu niliwahi kupatwa na hivi vipele lakini zamani sana nikiwa bado shule hata sikumbuki dawa gani nilitumia vikaisha.....ila hapa umefika hakuna tabu mambo yatakuwa mazuri hii ndo jamiiforums bana.....
 
duh pole mkuu niliwahi kupatwa na hivi vipele lakini zamani sana nikiwa bado shule hata sikumbuki dawa gani nilitumia vikaisha.....ila hapa umefika hakuna tabu mambo yatakuwa mazuri hii ndo jamiiforums bana.....

japo vjapata dawa ila nimepata moyo maana miezi mitano haviishi
 

hizo lesions zinaitwa herpetic whitlow zinasababishwa na herpes virus..

very contagious mkuu tafuta dawa inaitwa acyclovir itasaidia kuvituliza ila hua ukipata hao virus hua ndo moja kwa moja!! hamna dawa ya kuviondoa kabisa bali ni kuvituliza...

hua hivyo vipile vinaamka kama ukiwa na stress, homa au kwenye jua kali kwa mda mrefu..
 

Tumia dawa yangu kwa muda wa siku 7 utapona.

Nunua kitunguu Swaumu kimoja kizima . Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama

saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili

vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.


Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri

unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika)


Ukishakaa kama dk 15 hali yako itarudi kutotapika kawaida.Baada ya SIKU 7 utapona

Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda

unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha!
 
Asante sana kwa dawa naomba kuuliza kila cku nanunia kitunguu kingne au hcho kimoja unatumia punje zake kwa cku saba
 
mkuu pole sana
fanya haraka ukachukue vipimo vya HIV
baada ya hapo mtafute dokta MziziMkavu anaweza akawa suruhu ya tatizo lako
kwa akiwa postve je .huyo bwn mkubwa ana dawa ya ukimwi
au mnaleta kiin macho maana hamkawii kuagza watumie vtunguu
 
Last edited by a moderator:
Hata mm huwa nasubuliwa sana na hivyo vipele miguuni, nashukuru kwa hiyo dawa ngoja nianze leo kutumia
 
Nimekufahamu, juzi nilienda hospital, huwezi amini nilikuelewa sana.

ana kuna presha zingine tunazipata kwa kujitakia.

Halafu unaambiwa kuna hivyo virusi ukivipata havikutoki, unaweza kuvipoza tu.

Hata nikikosa ngwengwe uso wangu nimeambiwa unafanana na Denzel Washington, ya nini kutafuta kukongoroka na mipele hata miaka 40 bado?

Na huo mchuano utakuwa na utamu gani kuwa worth the risk of life and limb like that?

Usawa huu ni kuwa mdogo tu. It is a matter of basic intelligence, and sometimes it is better to refuse to think by using the anaconda that couldn't ponder.
 
Naomba kujua kama mdau alipona kwa hiyo dawa ya kitunguu saumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…