Wakuacha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 2,046
- 1,337
Habari wakuu
Hivi karbuni takribani wiki mbili zilizopita nimekuwa nikitokwa na vijipele vidogo vidogo, ambavyo vinawasha kweli kweli ukivikuna vinatoa maji halafu vinazaa vingine kama vitano hivi. Hali hii imeendelea nimeenda hospital nikapewa dawa lakn sasa vimekauka sehemu zingne ila kwenye pumbu bado vipo, na panawasha kweli kweli hadi kumekuwa na kama vi uvimbe fulani hivi... Halafu na mkonono kama picha inavyoonesha hapo
Hivi karbuni takribani wiki mbili zilizopita nimekuwa nikitokwa na vijipele vidogo vidogo, ambavyo vinawasha kweli kweli ukivikuna vinatoa maji halafu vinazaa vingine kama vitano hivi. Hali hii imeendelea nimeenda hospital nikapewa dawa lakn sasa vimekauka sehemu zingne ila kwenye pumbu bado vipo, na panawasha kweli kweli hadi kumekuwa na kama vi uvimbe fulani hivi... Halafu na mkonono kama picha inavyoonesha hapo