kuna vipele vimenitokea sehemu ya makalioni...vimekaa mithili ya 'shilingi'..kwa mnaofahamu,,nikivigusa vinatoa maji..na wkat fulani panawaka moto ivi...au kuuma in other words..inaweza kuwa ni infection au ni ugonjwa gani labda kabla sijaenda kuonana na wataalam..asanteni
ingia google tafuta kitu inaitwa herpes...hii ni kati ya magonjwa ya sehemu za siri/ zinaa ila inatibika...pole sana ila mie sio dr.. niliisoma hukoooo nilikokuelekeza... ukimaliza nenda sipitali kamwone daktari...kama nakuona vile...ukute nawe ni demu inshallaaah mnyaazi mungu kakujaaaalia uwani kunapendeza kisha dokta ndio mie full mi-udenda nitakutibu siku nzima mpaka wagonjwa wengine waandamane kupinga huduma utayopata... AHHAHAAAA JUST KIDDING