Tuwaite kab.wil fc maana jina la utopolo tumelichokaTuwaite ZUWENA la makolo tumelichoka
Hapana, ili la Zuwena fc limekaa poa sana. mwanzilishi ajengewe sanamu BUNJUTuwaite kab.wil fc maana jina la utopolo tumelichoka
Ushabiki wa timu badala ya mpira ni mbaya sana😂 anyway nakukumbusha amesema timu kubwa Uganda mkuu sio AfricaVipers imekuwa timu kubwa kwasababu ilikuchapa bao 2 ukiwa nyumbani?
Mwqzilishi kabw.il alisema ameacha wenzake wengi hapo utopoloni ukiwemo na weweHapana, ili la Zuwena fc limekaa poa sana. mwanzilishi ajengewe sanamu BUNJU
Mbona umemkomalia sana huyo `kabwili'' kila nyuzi lazima nione unamtajataja. Nina mashaka juu yakoMwqzilishi kabw.il alisema ameacha wenzake wengi hapo utopoloni ukiwemo na wewe
Nakukumbusha kuwa kigezo kimoja wapo cha kuitambua Vipers kama timu kubwa ni pamoja na kuuza wachezaji ulayaUshabiki wa timu badala ya mpira ni mbaya sana😂 anyway nakukumbusha amesema timu kubwa Uganda mkuu sio Africa
Sawa mkuu Simba na yanga wameuza wachezaji gani?Nakukumbusha kuwa kigezo kimoja wapo cha kuitambua Vipers kama timu kubwa ni pamoja na kuuza wachezaji ulaya
Yanga kanunua mchezaji kutoka ulayaSawa mkuu Simba na yanga wameuza wachezaji gani?
Umegeuka tena kununua sio kuuzaYanga kanunua mchezaji kutoka ulaya
Kuuza mchezaji ulaya na kununua mchezaji ulaya, ipi yenye uzito sana?Umegeuka tena kununua sio kuuza
Kuuza mchezaji ulaya na kununua mchezaji ulaya, ipi yenye uzito sana?
Kwasababu mchezaji aliyepo ulaya yupo kwenye radar za watu wengi, kila mmoja ana muangalia kwasababu ligi ya ulaya inafuatilia zaidi
Inapotokea kuna Club ya Afrika mashariki imenasa saini ya mchezaji kutoka ulaya sio habari ndogo, kwasababu umeweza ku competit na vilabu vingi vyenye uchumi
Kuuza Ina uzito zaidi kwasababu ukiuza means una wachezaji wenye viwango vikubwa hivyo wanaenda ku compete na watu wenye viwango vikubwa zaidi na hiyo ipo wazi. Ila kununua hiyo tusidanganyane ukinunua mchezaji ulaya sio kwamba umewin game competition na timu za ulaya ni kuwa hawana uhitaji nae tena(useless)(kiwango kimeshuka) hatuna timu Tz inaweza kucompete kusajili mchezaji eti kwenye kumlipa na timu za ulaya au uarabuni hakuna sana sana utauza kwasababu utapewa Hela nyingi. Kununua aliye na performance nzuri aje huku toka ulaya hiyo bado sanaKuuza mchezaji ulaya na kununua mchezaji ulaya, ipi yenye uzito sana?
Kwasababu mchezaji aliyepo ulaya yupo kwenye radar za watu wengi, kila mmoja ana muangalia kwasababu ligi ya ulaya inafuatilia zaidi
Inapotokea kuna Club ya Afrika mashariki imenasa saini ya mchezaji kutoka ulaya sio habari ndogo, kwasababu umeweza ku competit na vilabu vingi vyenye uchumi mkubwa
Scars na vipers tayari wameuza ulaya sisi hamna usiibeze mkuu ni timu kubwaKuuza Ina uzito zaidi kwasababu ukiuza means una wachezaji wenye viwango vikubwa hivyo wanaenda ku compete na watu wenye viwango vikubwa zaidi na hiyo ipo wazi. Ila kununua hiyo tusidanganyane ukinunua mchezaji ulaya sio kwamba umewin game competition na timu za ulaya ni kuwa hawana uhitaji nae tena(useless)(kiwango kimeshuka) hatuna timu Tz inaweza kucompete kusajili mchezaji eti kwenye kumlipa na timu za ulaya au uarabuni hakuna sana sana utauza kwasababu utapewa Hela nyingi. Kununua aliye na performance nzuri aje huku toka ulaya hiyo bado sana
Hapana mkuu, kuuza haiwezi kuwa na uzito kwasababu ili ionekane ina uzito itabidi tuangalie competition ya clubs za kutoka ulaya zilizoonesha kugombea wachezaji kwenye club yakoKuuza Ina uzito zaidi kwasababu ukiuza means una wachezaji wenye viwango vikubwa hivyo wanaenda ku compete na watu wenye viwango vikubwa zaidi na hiyo ipo wazi. Ila kununua hiyo tusidanganyane ukinunua mchezaji ulaya sio kwamba umewin game competition na timu za ulaya ni kuwa hawana uhitaji nae tena(useless)(kiwango kimeshuka) hatuna timu Tz inaweza kucompete kusajili mchezaji eti kwenye kumlipa na timu za ulaya au uarabuni hakuna sana sana utauza kwasababu utapewa Hela nyingi. Kununua aliye na performance nzuri aje huku toka ulaya hiyo bado sana
Unaumia wapi dogo ka.bwil beki hazikabi kwakoMbona umemkomalia sana huyo `kabwili'' kila nyuzi lazima nione unamtajataja. Nina mashaka juu yako
1. Huenda jamaa ni mume wako wa zamani. amekubwaga ndio unatolea stress humu
2. Unamshobokea/unatamani kuwa mke wake wa pili.
3. Alikufanya kitu kibaya huko nyuma ndio maana hutaki kumsahau.?
Labda za vilio vya kwikwi chooni kwa kilichowapataBado wanapiga kelele?
Utopolo ndo jina baya na maarufAchana na utopolo kuna ingizo jipya ZUWENA FC.
Wakuu maajabu huwa hayaishi Bunju. Baada ya majina kadhaa kupita Msimbazi kama makolo FC, mbumbumbu FC, mikia FC.
Leo timu kubwa ya Uganda, Vipers sc kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wamewapa jina jipya hawa ndugu zetu.
Jina ilo ni Zuwena fc.
Hapo vipi watani tuendelee na makolo au zuwena fc?